It's me, Rose

It's me, Rose

b16aec21d2fa80ed66f3481ce2f5b41e.jpg

Sitaki shobo na mtu, JF is a stress free zone
Nataka nianze kutumia sura yangu halisi. Naomba maoni yenu
Aisee we mzuri hadi nikikuangalia najiona mm
 
Acha kumtaja taja kaka angu mshana jr ntamwambia aliamshe dude ohooooo
aaaaa haniwezi weewe. n
yule kwangu ni kama mkate kwenye chai.. nikisema tu fayaaaaaa. chomaaaa.. wote wanaungua
 
Jamani, kubadili kwanza pale kijini kwa mama kwanza Kisha njoo kwa Rose Montana Nazjaz.
Vinginevyo utakuwa umekosa blessings za mama
rose naomba unichum hata nusu tu roho yango itulie
 
Alafu tunajaza apa uzi wa watu ndo kwenye ule wako tuongelee mambo yetu...sikujibu tena apa
unaondoka kwenye huu uzi? basi nakuja ngoja nimsalimie rose kwanza. hapa ulikuwa unanizibia rizki
 
Jamani, kubadili kwanza pale kijini kwa mama kwanza Kisha njoo kwa Rose Montana Nazjaz.
Vinginevyo utakuwa umekosa blessings za mama
Mm kweli noma akabadili kwanza kwa bimkubwa kijijini sigimbi.

Sent from my TRENDY using JamiiForums mobile app
 
Dude lishachaji huku, sijui litatulizwa vipi, Nazjaz eeeeh, sio poa hivyo
 
Back
Top Bottom