- Thread starter
- #41
Sidhani!
Hureeei! mwisho wa mwenzi na wikienda....Nimeshatangaziwa nia kama kumi hivi nitapona kweli.....
Hureeei! mwisho wa mwenzi na wikienda....Nimeshatangaziwa nia kama kumi hivi nitapona kweli.....
Me nina furaha sana wkend hii mana naolewa kesho wkend hii ni nzuri kwangu nina furaha,amani,kwakuwa atlast mtu ninayempenda kutoka moyoni ndie atakuwa mume wangu for better for worse hureeeeeeeeeeeee
hongera!Me nina furaha sana wkend hii mana naolewa kesho wkend hii ni nzuri kwangu nina furaha,amani,kwakuwa atlast mtu ninayempenda kutoka moyoni ndie atakuwa mume wangu for better for worse hureeeeeeeeeeeee
hehehe wewe unaolewa kesho , mida hii upo JF ! au unasubiria kiPM cha mwisho. wapi aspirin ?Me nina furaha sana wkend hii mana naolewa kesho wkend hii ni nzuri kwangu nina furaha,amani,kwakuwa atlast mtu ninayempenda kutoka moyoni ndie atakuwa mume wangu for better for worse hureeeeeeeeeeeee
Me nina furaha sana wkend hii mana naolewa kesho wkend hii ni nzuri kwangu nina furaha,amani,kwakuwa atlast mtu ninayempenda kutoka moyoni ndie atakuwa mume wangu for better for worse hureeeeeeeeeeeee
unaolewa kesho, unafanya nini mida hii huku ?JFMe nina furaha sana wkend hii mana naolewa kesho wkend hii ni nzuri kwangu nina furaha,amani,kwakuwa atlast mtu ninayempenda kutoka moyoni ndie atakuwa mume wangu for better for worse hureeeeeeeeeeeee
Nimeshafika mponyaji mwenzangu. Samahani kwa kuchelewa kufika.hehehe wewe unaolewa kesho , mida hii upo JF ! au unasubiria kiPM cha mwisho. wapi aspirin ?
Ngozi hebu twende PM tafadhali....:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:unaolewa kesho, unafanya nini mida hii huku ?JF
:A S-smoking:Ngozi hebu twende PM tafadhali....:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
jaribu kumpatia kicheni pati dume, hizi kicheni pati za kike zinafelisha ndoa sana.Nimeshafika mponyaji mwenzangu. Samahani kwa kuchelewa kufika.
Ngozi hebu twende PM tafadhali....:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
acha tumpatie baraka biharusi kupitia PM. tusemeni amen:A S-smoking:
:laser::laser:acha tumpatie baraka biharusi kupitia PM. tusemeni amen
Huu muunganiko unaweza leta maafa...:yell:Nimeshafika mponyaji mwenzangu. Samahani kwa kuchelewa kufika.
Ngozi hebu twende PM tafadhali....:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
acha tumpatie baraka biharusi kupitia PM. tusemeni amen
jamani niko ndani sitoki mwali mie ndo nikaona bora nipite hapa niwajulie hali marafiki na kuwapa taarifa nzuriunaolewa kesho, unafanya nini mida hii huku ?JF
Kitchen party nshafanyiwa bwana jpili iliyopitajaribu kumpatia kicheni pati dume, hizi kicheni pati za kike zinafelisha ndoa sana.
Worry not till its time to worry hvo acha nifurahie ikifika muda wa kuli anitalia ila kwasasa nina furaha na rahaaaaaa zooooote na namshukuru mungu kwa hatua hii am happyhongera!
nasikitika kuwa unafurahia kuolewa
:ranger::ranger::ranger::ranger::ranger: