Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
Alikiba ni Msani Mwenye self respect sijawai Kusikia Sehemu Alikiba Kashindwa kulipa Kodi au Kumtapeli Mwenye Nyumba Hii Kitu inamfanya Aendelee Kuwa King of Bongo Flavor All the Time hajawai Kuchuja hata siku moja kila siku ni mtu mpya
Alikiba ni mtu Unique sana anafanya kitu bila kuangalia sehemu yeyote hii inafanya awe identity yake sio Msanii anayecopy copy hovyo kama Harmonize hii inafanya aendelee kupendwa na mashabiki na kuendelea kujipatia Mashabiki kutoka sehemu tofauti na Rika tofauti tofauti
Alikiba Anatanguliza Mziki Mzuri na Sio Kik za Kishamba inshort sio Kik Digger
Alikiba Sio mtu wa Mashindano ila Wasanii ndo wanajishindanisha nae ili waendelee kuwa mjini
Alikiba Sio mtu wa kuachia kazi zake kwa Msukumo wa Mashabiki au Page za Udaku Instagram ila anatoa kwa timing anayotaka yeye na ngoma zake zinafika kila chochote na zinadumu
Alikiba hategemea Kik ili kutrend au Kuongelewa kwenye Page za Udaku Instagram
Alikiba Sio mtu wa Kujimwambafai hovyo Instagram kuonyesha Micheni inayowaka taa kama traffic light
Alikiba Yuko Very smart huwezi kutakavaa kichafu chafu manguo yasieleweka na anatoka very classy
Alikiba sio mtu mwenye tamaa yani kila kitu afanye yeye au kila kitu apate yeye kama hao wengine
Alikiba sio mtu wa kusajili wasanii hovyo hili ashindane na wengine mfano harmo (kajaza wasani hadi wanamshinda akili)
Alikiba Sio Mtu wa Kulipa page za Udaku Instagram hili Wamsifie Kutwa nzima hata visivyostahili Kusifiwa mfano harmo kutwa kuwalipa kina Carry mastory, Jaymaudaku Wamsifie Wakati hata Kodi Kashindwa kulipa
Itoshe Kusema ALIKIBA Ndo King of Bongo Flavor ana deserve Kwa Kila kitu
Alikiba ni mtu Unique sana anafanya kitu bila kuangalia sehemu yeyote hii inafanya awe identity yake sio Msanii anayecopy copy hovyo kama Harmonize hii inafanya aendelee kupendwa na mashabiki na kuendelea kujipatia Mashabiki kutoka sehemu tofauti na Rika tofauti tofauti
Alikiba Anatanguliza Mziki Mzuri na Sio Kik za Kishamba inshort sio Kik Digger
Alikiba Sio mtu wa Mashindano ila Wasanii ndo wanajishindanisha nae ili waendelee kuwa mjini
Alikiba Sio mtu wa kuachia kazi zake kwa Msukumo wa Mashabiki au Page za Udaku Instagram ila anatoa kwa timing anayotaka yeye na ngoma zake zinafika kila chochote na zinadumu
Alikiba hategemea Kik ili kutrend au Kuongelewa kwenye Page za Udaku Instagram
Alikiba Sio mtu wa Kujimwambafai hovyo Instagram kuonyesha Micheni inayowaka taa kama traffic light
Alikiba Yuko Very smart huwezi kutakavaa kichafu chafu manguo yasieleweka na anatoka very classy
Alikiba sio mtu mwenye tamaa yani kila kitu afanye yeye au kila kitu apate yeye kama hao wengine
Alikiba sio mtu wa kusajili wasanii hovyo hili ashindane na wengine mfano harmo (kajaza wasani hadi wanamshinda akili)
Alikiba Sio Mtu wa Kulipa page za Udaku Instagram hili Wamsifie Kutwa nzima hata visivyostahili Kusifiwa mfano harmo kutwa kuwalipa kina Carry mastory, Jaymaudaku Wamsifie Wakati hata Kodi Kashindwa kulipa
Itoshe Kusema ALIKIBA Ndo King of Bongo Flavor ana deserve Kwa Kila kitu