Tusisahau mjomba ni mama,nikusema mama hawezi kuona mwanae akiuingia mlango wa jela akakaa kimya so hapa ndipo tutakaposikia blah blah blah kama risasi ilipigwa kutoka kusikojulikana mara alikuwa anajihami au ktk hao askari jeshi pori alioongozana nao mmoja atatolewa kafara ya uwongo na kweli kuwa ndiye suspect refer case ya Khashog waliotumwa ndo wamegeuzwa kuwa washtakiwa wakuu.Mtoto wa dada.
Damu nzito kuliko maji Mkuu, Hii issue ingetokea "Diwani wa Chadema huko Kishumundu ampiga risasi mchungaji Shija na kupoteza maisha" muda huu tungekua tunaongea mengine.Tusisahau mjomba ni mama,nikusema mama hawezi kuona mwanae akiuingia mlango wa jela akakaa kimya so hapa ndipo tutakaposikia blah blah blah kama risasi ilipigwa kutoka kusikojulikana mara alikuwa anajihami au ktk hao askari jeshi pori alioongozana nao mmoja atatolewa kafara ya uwongo na kweli kuwa ndiye suspect refer case ya Khashog waliotumwa ndo wamegeuzwa kuwa washtakiwa wakuu.
Naisikitikia tu familia ya huyu marehemu,wanabaki ktk umaskini wao huku baba yao aliyemtoa uhai atakuwa somewhere akila nchi ila Mungu ni mwema wote tutakufa no matter what aliyefanya hili ipo siku yake nayo itafika.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Ni zamu yao kutamba kwani walimu adopt myarwanda anayejiita msukumaWasukuma hawashtakiwi ?
Kisheria, RC ni kiongozi wa serikali mwenye majukumu ya msingi ya kuwa kiongozi wa kisiasa katika mkoa kwa niaba ya chama 'dume'. Kwake yeye maslahi ya chama ni ya kwanza kabla ya wananchi na hawezi kwa urahisi kutofautisha shighuli za kiserikali na za kisiasa na ndo maana anaona hiyo ishu ya mauaji siyo ya kisiasa na hivyo yeye hawezi kuwa na cha kusema. Hii ndiyo awamu ya Tano!
Atashinda, majaji nimechagua juzi, Wilbard mashauri atatenda, yupoJumamosi iliyopita Mkurugenzi wa itigi Mr luhende Pius shija alifanya mauaji ya muumini ndani ya kabisa la sabato .Leo ni jumatano kusema kuwa mpakaleo yupo hospitali anatibiwa presha na sukari ,hivi kwa sheria za nchi yetu ,haki imetendeka? na he mbele safari haki itatendeka ikizingatiwa huyu Mkurugenzi ni msukuma vilevile mtoto wa Dada .
Jumamosi iliyopita Mkurugenzi wa itigi Mr luhende Pius shija alifanya mauaji ya muumini ndani ya kabisa la sabato .Leo ni jumatano kusema kuwa mpakaleo yupo hospitali anatibiwa presha na sukari ,hivi kwa sheria za nchi yetu ,haki imetendeka? na he mbele safari haki itatendeka ikizingatiwa huyu Mkurugenzi ni msukuma vilevile mtoto wa Dada .
Kwa kawaida kesi za mauaji utasikia anaisaidia polisi, sasa nikashangaa huyu ded Mbona yeye anaisaidia hospitali aaaah just a joke umeeleka mkuu.Mtuhumiwa kutitibiwa ni jambo la kawaida. Anatibiwa chini ya ulinzi wa askari polisi au magereza kulingana stage ya shitaka lake, hata mfungwa wa kunyongwa akiumwa anatibiwa hospitalini na hata kulazwa.
Kuhusu haki itatendeka au la, ni swala la wakati, yote yatakuwa bayana.
Ingekuwa wewe ndo namba moja, yakamkuta hayo mpwa wako ungetenda vipi?
Kwa Dito kesi ilipofanywa kuwa ngumu Mungu akasema msinitanie!Basi kesi itakuwa ngumu