Luhende sio msukuma kabisa mfipa wa Namanyere namfahamu vizuri usipotoshe watuTaarifa zilizothibitishwa zinadokeza kwamba selo atakayowekwa imepigwa deki na mahabusu wengine wameondolewa kumpisha mjomba wa mtukufu sultan
Hawa ni wapiga kura wanguWasukuma hawashtakiwi ?
duhh!! wataweka na godoro na sofa setTaarifa zilizothibitishwa zinadokeza kwamba selo atakayowekwa imepigwa deki na mahabusu wengine wameondolewa kumpisha mjomba wa mtukufu sultan
Ndio,Refer to Lugumi,Kitwanga,Kisena/UDA.Wasukuma hawashtakiwi ?
wapi nimesema msukuma ? mjomba wako aweza kuwa kabila lolote la shemeji yako , kwa mfano mnyakyusa kama mimi aweza kuwa na wajomba hata wakinga , wangoni , wachaga au hata wagogo kutokana na kupuyanga kwa dadaakeLuhende sio msukuma kabisa mfipa wa Namanyere namfahamu vizuri usipotoshe watu
Hawa ni wapiga kura wanguWasukuma hawashtakiwi ?
Ngumu kwa Jaji, rahisi kwa mtuhumiwa.Basi kesi itakuwa ngumu
Aiseee !! umenikumbusha ya Mwangosi , mwanzo tuliambiwa ametupiwa kitu chenye ncha kali kutoka kwa wafuasi wa chadema , kumbe uongo mtupu !
Pambaneni na hali zenu , sisi tunakula bata ikulu - KakobePole wafiwa. Siku nyingine itakosea shabaha itampata anaye ongoza ibada, labda akili zitawarudi ili mkialikwa jumba jeupe tena, mkaongee huu unyama unaoshamiri kwa wananchi. Kama vipi endeleeni kupongeza...
Kisheria, RC ni kiongozi wa serikali mwenye majukumu ya msingi ya kuwa kiongozi wa kisiasa katika mkoa kwa niaba ya chama 'dume'. Kwake yeye maslahi ya chama ni ya kwanza kabla ya wananchi na hawezi kwa urahisi kutofautisha shighuli za kiserikali na za kisiasa na ndo maana anaona hiyo ishu ya mauaji siyo ya kisiasa na hivyo yeye hawezi kuwa na cha kusema. Hii ndiyo awamu ya Tano!
... 'A bullet was fired'....Hakuna cha rangers au mgambo ,muuaji anajulikana ni ded Mr Luhende Pius waache kutafuta mbinu za kumuokoa .