Itifaki za kumchumbia Binti mkisto ili aolewe ndo ya Kiislam

Zekoddo

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
1,831
4,498
Habari wakuu,,
Tuna kijana mwezetu hapa Muislam, mashaallah kapata Binti RC na bahatinzuri Binti amekubali kubadili dini(Imani) yake ili shughuli yenye barakah(Ndoa) iweze kupitia/kufanyika.

Binafsi sijaoa na Wala sijui protocols za case kama hii, hivyo nashindwa kumpa mwelekeo sahihi. Kwa hiyo wakuu Kijana anahitaji kufahamu kipi kianze na kipi kitangulie ili aweze kufanikisha hili, Kwa maana inahitajika Binti abadili dini, mambo ya posa, namna ya kuandika barua ya posa na mambo yote muhimu kama hayo.
Hivyo tunaomba tufahamu itifaki "Protocols" za kumchumbia Binti kama Huyu "Mkristo" ili aolewe Ndoa ya Kiislam.
 
Habari wakuu,,
Tuna kijana mwezetu hapa Muislam, mashaallah kapata Binti RC na bahatai nzuri Binti amekubali kubadili dini(Imani) yake ili shughuli yenye barakah(Ndoa) iweze kupitia.

Binafsi sijaoa na Wala sijui protocols za na case kama hii so nashindwa kumpa mwelekeo sahihi. Kwa hiyo wakuu Kijana anahitaji kufahamu kipi kianze na kipiti kitangulie ilia kufanikisha ili kwa sababu inahitajika Binti abadili dini, mambo ya posa, namna ya kuandika barua ya posa na mambo yote muhimu kama hayo.
Hivyo tunaomba tufahamu itifaki "Protocols" za kumchumbia Binti kama Huyu "Mkristo" ili aolewe Ndoa ya Kiislam.

Wanaobadili ndoa ni wasumbufu hao. Kila wakati unakuta karudi Ukristo mara Muislam mnajikuta mnajadili dini maisha yenu yote.

Nakwambia hili tokana na uzoefu, miaka mitano ijayo utakuja kuninukuu kuwa!! Yule bibi harusi anaota kanisa kila leo.

Lakini pia, lazima kashindana na wazazi kwa ajili upendo wako kwa sasa, akikaa sawa akazoea atawaza kuwaangukia wazazi wake bila kujali maumivu yake.

NB: Sikukatishi tamaa, endelea na process inawezekana ukawa ni miongoni mwa waliobahatika kupata wale wanaobadili moja kwa moja!!
 
Wamependana sana?Binti kahiyari kubadili dini na kuslimu!Wazazi wa binti wanasemaje?Wameridhia?Roman Catholic utaratibu wao ukoje?Wazazi wa mwanaume wanasemaje kwa taratibu zao za kiislamu?Ngoja@Faizafoxy aje hapa.
Kuhusu "Kupendana sana" hyo ni siri ya wao wenyewe wawili, Ila Kwa nafsi yangu mimi ninachojua ni kuwa "WAMEELEWANA"😃😃 na wanahitaji wawe pamojah kindoa ya kiislam
 
Wanaobadili ndoa ni wasumbufu hao. Kila wakati unakuta karudi Ukristo mara Muislam mnajikuta mnajadili dini maisha yenu yote.

Nakwambia hili tokana na uzoefu, miaka mitano ijayo utakuja kuninukuu kuwa!! Yule bibi harusi anaota kanisa kila leo.

Lakini pia, lazima kashindana na wazazi kwa ajili upendo wako kwa sasa, akikaa sawa akazoea atawaza kuwaangukia wazazi wake bila kujali maumivu yake.

NB: Sikukatishi tamaa, endelea na process inawezekana ukawa ni miongoni mwa waliobahatika kupata wale wanaobadili moja kwa moja!!
Upo sahihi kwa kadiri nilivyokusoma na kwa uzoefu tuuonao mitaani.Ndoa ni sehemu muhimu sana maishani.Kabla mtu hajaingia huko,ni vema akafanya uchaguzi kwa umakini na kumuomba Mungu wake amuongoze badala ya jicho au akili za kibinadamu.Ndoa ni sehemu ya kukamilisha au kuharibu hatma ya mtu.Na sehemu kubwa yenye utata ni dini ikifuatiwa na makabila,hadhi/hali kiuchumi na kijamii/elimu.Halafu upendo wa kweli.Kama dini huwa ni changamoto zaidi,basi ni vema watafutane wenye dini (Imani)zifananazo halafu hayo mengine watayaweka sawa tu.
 
Tatizo siyo binti kuridhia kubadili dini, tatizo ni wazazi wa binti wanasemaje na wamelipokeaje swala la binti yao kubadili dini maana hatima ya ndoa yako ipo mikononi mwa wazazi kuridhia binti yao abadili dini tena kwa amani

Si rahisi mzazi kukubaliana hata kidogo labda binti katumia kiburi cha mapenzi ila baadae kiburi kikimuisha cha kukupenda wewe anarudi kwa wazazi wake na ndoa yenu inakua imevunjika
 
Habari wakuu,,
Tuna kijana mwezetu hapa Muislam, mashaallah kapata Binti RC na bahatinzuri Binti amekubali kubadili dini(Imani) yake ili shughuli yenye barakah(Ndoa) iweze kupitia/kufanyika.

Binafsi sijaoa na Wala sijui protocols za case kama hii, hivyo nashindwa kumpa mwelekeo sahihi. Kwa hiyo wakuu Kijana anahitaji kufahamu kipi kianze na kipi kitangulie ili aweze kufanikisha hili, Kwa maana inahitajika Binti abadili dini, mambo ya posa, namna ya kuandika barua ya posa na mambo yote muhimu kama hayo.
Hivyo tunaomba tufahamu itifaki "Protocols" za kumchumbia Binti kama Huyu "Mkristo" ili aolewe Ndoa ya Kiislam.
wakatoliki hawamwabudu Mungu kiusahihi, kwasababu ya imani kwa maria, sala kwa maria na kuomba kwa kupitia wafu, pamoja na mambo mengine. watu wasioamini wokovu na hawahubiri wokovu kama Yesu alivyoagiza. mara nyingi wanajiita kanisa la mitume, lakini uhalisia wao sio kanisa lile la mitume Petro na wenzake, lilishachakachuliwa na haliko hivyo kabisa. wao pia wanalijua hili. matendo ya kanisa lile la kwanza la mitume, aina ya maisha waliyoishi, aina ya abudu waliyoabudu, ujazo wa Roho Mtakatifu kuanzia siku ya pentecost hadi siku za baadaye wakati wanahubiri walihubiri na kuombea watu wajazwe na walijazwa na kuongozwa na Roho, waliponya wagonjwa na kufanya matendo makuu ya ajabu. ukisoma kitabu cha Matendo ya Mitume, lile ndio kanisa la mitume, kisome chote ulinganishe na haya ya wakatoliki, utakubaliana nami kwamba ni vitu viwili tofauti na wasipookoka hawataenda mbinguni kuanzia papa hadi muumini wa kigango.

kwasababu hiyo, hawana tofauti yeyote na waislam, wapagani au watu wengine wowote wasiomjua Mungu. wote mnapikika chungu kimoja. pamoja na kwamba ,ile tu kuitwa Mkristo, ukimkana Yesu kwa kuuamini uislam dini ambayo ilitabiriwa kuwa ni "kahaba wa kuzimu" aliyekuja kuiharibu ile kweli, kukana huko ndio hukumu ya kwanza utakayosomewa siku ile. dhambi ya kwanza watu watahukumiwa ni kumkana Yesu Kristo aliyeutoa uhai wake kwa ajili ya ukombozi wao wakamkana. unapobadili dini toka ukristo kwenda uislam, unatakiwa kwenda msikitini kufanywa muislam kwanza ndio ndoa ifungwe, hapo ndipo unapopigilia msumari kumkana Yesu Kristo na kumwamini Mohamad na kitabu chake. enyi mnaojiita wakristo, jueni hili kwamba hii ni dhambi kubwa na mtahukumiwa.

vilevile, nimeishi miaka mingi sasa, ndugu zangu, marafiki na watu ninaowafahamu wengi, nimewaona wakibadili dini ili wakaolewe na waislam. sisemi kwa unafiki wala nini, HAKUNA HATA MMOJA AMBAYE HAJAWAHI KUJUTA. wote huwa wanajuta baadaye. Mungu awasaidie.
 
Kwa ninavojua mwanamke kama yuko tayari kubadili dini (kwa hiyari yake) kinachofwata mwanaume ataenda nae kwa sheikh ili aweze kusilimu maana ndoa haiwez fungwa kama bado binti hajasilimu..

Then inafata procedure za ndoa ambapo hapa itakuwa ni ya kiislam. Sasa masharti ili ndoa ya kiislamu ikubalike lazima awepo (waliii) ambaye hapa yaweza kuwa ni baba wa huyo binti nk (wengine siwajui fatilia mwenyewe kwa undani uwajue hao wengine), awepo shee wa kufungisha hiyo ndoa, binti anayeolewa na muoaji.

Binti anatakiwa atamke kwamba yuko tayari kuolewa na muhusika kwa mahari waliokubaliana ×3 mbele ya mashahidi (shekh +walii) na hapo ndoa inakuwa imekamilika

Shida itakuja endapo hao watu wanaotakiwa kuwa walii wasiporidhia hapo ndoa haifungwi.
 
wakatoliki hawamwabudu Mungu kiusahihi, kwasababu ya imani kwa maria, sala kwa maria na kuomba kwa kupitia wafu, pamoja na mambo mengine. watu wasioamini wokovu na hawahubiri wokovu kama Yesu alivyoagiza. mara nyingi wanajiita kanisa la mitume, lakini uhalisia wao sio kanisa lile la mitume Petro na wenzake, lilishachakachuliwa na haliko hivyo kabisa. wao pia wanalijua hili. matendo ya kanisa lile la kwanza la mitume, aina ya maisha waliyoishi, aina ya abudu waliyoabudu, ujazo wa Roho Mtakatifu kuanzia siku ya pentecost hadi siku za baadaye wakati wanahubiri walihubiri na kuombea watu wajazwe na walijazwa na kuongozwa na Roho, waliponya wagonjwa na kufanya matendo makuu ya ajabu. ukisoma kitabu cha Matendo ya Mitume, lile ndio kanisa la mitume, kisome chote ulinganishe na haya ya wakatoliki, utakubaliana nami kwamba ni vitu viwili tofauti na wasipookoka hawataenda mbinguni kuanzia papa hadi muumini wa kigango.

kwasababu hiyo, hawana tofauti yeyote na waislam, wapagani au watu wengine wowote wasiomjua Mungu. wote mnapikika chungu kimoja. pamoja na kwamba ,ile tu kuitwa Mkristo, ukimkana Yesu kwa kuuamini uislam dini ambayo ilitabiriwa kuwa ni "kahaba wa kuzimu" aliyekuja kuiharibu ile kweli, kukana huko ndio hukumu ya kwanza utakayosomewa siku ile. dhambi ya kwanza watu watahukumiwa ni kumkana Yesu Kristo aliyeutoa uhai wake kwa ajili ya ukombozi wao wakamkana. unapobadili dini toka ukristo kwenda uislam, unatakiwa kwenda msikitini kufanywa muislam kwanza ndio ndoa ifungwe, hapo ndipo unapopigilia msumari kumkana Yesu Kristo na kumwamini Mohamad na kitabu chake. enyi mnaojiita wakristo, jueni hili kwamba hii ni dhambi kubwa na mtahukumiwa.

vilevile, nimeishi miaka mingi sasa, ndugu zangu, marafiki na watu ninaowafahamu wengi, nimewaona wakibadili dini ili wakaolewe na waislam. sisemi kwa unafiki wala nini, HAKUNA HATA MMOJA AMBAYE HAJAWAHI KUJUTA. wote huwa wanajuta baadaye. Mungu awasaidie.
Nimesoma vizuri note yako Ila Kusema ku"Hakuna hata mmoja ambaye hajawahi kujuta" sio kweli mkuu nimewaona akina mama wengi walibadiki dini kutoka Ukiristo to Uislam na wanainjoi Ndoa zao, na Wala hawawazi kurudia tena dini zao.. kitu Cha msingi ni Ndoa(nyumba) iwe ya amani na maelewano.

NOTE: Huu uzi haupo kwa ajili ya comments za kupuuza au kukebehi dini za watu.. DINI zote zina jambo jema na ndio maana watu wanachukuana kutoka Imani tofautitofauti na kuunda kitu kimoja.
 
Habari wakuu,,
Tuna kijana mwezetu hapa Muislam, mashaallah kapata Binti RC na bahatinzuri Binti amekubali kubadili dini(Imani) yake ili shughuli yenye barakah(Ndoa) iweze kupitia/kufanyika.

Binafsi sijaoa na Wala sijui protocols za case kama hii, hivyo nashindwa kumpa mwelekeo sahihi. Kwa hiyo wakuu Kijana anahitaji kufahamu kipi kianze na kipi kitangulie ili aweze kufanikisha hili, Kwa maana inahitajika Binti abadili dini, mambo ya posa, namna ya kuandika barua ya posa na mambo yote muhimu kama hayo.
Hivyo tunaomba tufahamu itifaki "Protocols" za kumchumbia Binti kama Huyu "Mkristo" ili aolewe Ndoa ya Kiislam.
Ukiona mtu anamuacha Mungu wake ili aolewe ni mpumbavu! Kuna tofauti kati ya dini na dhehebu. Dini tofauti maana yake mungu anayehabudiwa ni tofauti! Dhehebu mungu ni yuleyule isipokuwa tofauti ni mafundisho/mafununo. Mfano: Roman Catholic na Lutheran Mungu ni yule yule na kitabu chao cha imani ni Biblia. Wenye imani tofauti na hapo mungu wao ni tofauti pia. Utaachaje mungu wako ili uolewe/uoe! Huo wote ni upumbavu! Acha wajichanganye watapambana na hali zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom