vidmate
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 686
- 1,204
TafakariChanjo inahusika vipi?
TafakariChanjo inahusika vipi?
Mkuu, you are better than this. Baada ya kusema ukweli, nini kilimtokea!!??Mbona Ndugulile alisema ukweli?
Safi sana. Watu kama hawa ni kupiga za pua tu. Anapenda yaimbwe mapambio tu hata kwenye ukweli ulio wazi kama huu. Afadhari umewaona wa kusifu na kuabudi, wape za uso.Umekosea njia mkuu,hapa hatujadili masuala ya chama chochote
Umekosea njia mkuu,hapa hatujadili masuala ya chama chochote
Ahaaaa. Nakaa kimya.Hao ndio viazi wenzako wa ccm kwenye mijadala, hii ndio inayopelekea ccm kutumia vyombo vya dola kwenye chaguzi zetu maana hawana ushawishi wowote wa kisiasa. Na huyu kiazi ndio unakuta anaandika sera za chama.
Always huwa nasimamia ukweli. Fuatilia kumbukumbu za huko nyuma.Hongera kwa Mara nyingine tena chagu wa malunde kwa kuwa mkweli. Mimi ni mkosoaji wako mkuu katika mambo mengi lakini unaposimamia ukweli lazima nikupe heko zako.
Kweli Katibu Mkuu Prof Mchembe ndiyo chanzo cha tatizo. Yeye ndiye aliyepeleka sampuli za oil chafu na mapapai kule National Health Lab.
Ni ajabu wasomi wa hali ya juu wanasaliti usomi wao kumfurahisha Meko
Kwanini tusijifunze kwa Dr Faistine Ndugulile? Yeye Kama mtaalamu wa Virology na immunology na huku Ni Naibu Waziri wa Afya alijitenga na UWONGO. Akijibu swali bungeni aliponda sana njia ya NYUNGU kuwa Ni hatari na akasema ndiyo ilimponza Mbunge Ndassa wa Sumve hadi umauti. Baada ya japo Magufuli akamtoa kwenye Baraza.Mtawaonea bure tu. Tatizo ni Magufuli. Magufuli ndo waziri wa wizara zote. Ukitaka results tofauti deal naye.
Wewe zwazwa kafungue uzi wako wa vyama hapa mjadala ni janga la Corona.ITASHANGAZA DUNIA KUONA MPAKA SASA CHAMA KINACHOIJIITATA CHA KIDEMOCRASIA KINAKUWA NA MWENYEKITI WA KUDUMU ZAIDI YA MIAKA 20 HALAFU WANACHAMA WAKE HAWAKOSOI CHOCHOTE.
Kwani Ndugulile wakati anaeleza ukweli juu ya madhara ya kujifukiza hakuwa waziri wa serikali ya JMT?Waziri ni msaidizi wa rais katika wizara aliyoteuliwa na rais. Kama rais amekataa na yeye ame kula kiapo cha uaminifu, afanyeje ?. Hanakosa wala sababu ya kujiuzuru kwa matokeo mabaya. Labda angejiuzuru mapema kwa kutokubaliana na msimama wa rais. Wenzetu nchi zilizoendelea kidemkransia wana MSIMAMO WA SERIKALI yahani rais na baraza lake. SISI HAPA TZ SASA TUNA MSIMAMA WA,.... TUMERUDI ENZI ZA ZIDUMU FIKRA SAFI ZA ....
Afukuzwe aliyewateua. Maana yeye ndiye anayewapa dira hawa mawaziri.
Mleta uzi ni kati ya chawa wa wanene wenye kuamuaAfukuzwe aliyewateua. Maana yeye ndiye anayewapa dira hawa mawaziri.