antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,942
- 121,135
Alishasema HAPANGIWI, manaake hashauriwiKwa nini wasimshauri kitalaam? Maana ni madaktari.
Alishasema HAPANGIWI, manaake hashauriwiKwa nini wasimshauri kitalaam? Maana ni madaktari.
Mbona Ndugulile alisema ukweli?Alishasema HAPANGIWI, manaake hashauriwi
Fungua mafaili yako yote kama utaona kuna kumbukumbu nilisapoti nyungu. Mbowe hana lolote zaidi ya kukariri habari za lockdown.Nawashangaa sana nyie watu mliokuwa mna-support nyungu season 3 sasa mmeanza kurudiwa na akili baada ya kuona Corona ni zaidi ya kutafuta kick za kisiasa, mkawa mnamuona Mbowe adui kwa kuwataka mchukue tahadhari za kisayansi, leo nawe unalialia.
Now unataka waziri awe held accountable, mimi naona hata wewe pia unatakiwa kuwa held the same kwasababu ulichangia kufundisha watu ujinga, na kuzuia juhudi za kupambana na Corona mpaka sasa inadondosha watu bila breki.
Japo hili jambo nilakutia simbazi na kujione huruma watanzania kwa namna nchi yetu inavyoendeshwa kama shamba la mchicha! Ila imebidi nicheke tuukikaa nchale,ukisimama nchale 😂
Umekosea njia mkuu,hapa hatujadili masuala ya chama chochoteITASHANGAZA DUNIA KUONA MPAKA SASA CHAMA KINACHOIJIITATA CHA KIDEMOCRASIA KINAKUWA NA MWENYEKITI WA KUDUMU ZAIDI YA MIAKA 20 HALAFU WANACHAMA WAKE HAWAKOSOI CHOCHOTE.
Chanjo inahusika vipi?Hamna kitu bado naona ni hila za mabepari... Yote tisa chanjo kwangu bado sio salama na hata kwa bunduki sitochomwa
🤣🤣🤣🏹🏹Ukikaa nchale, ukisimama nchale 😂
Na kirusi cha sasa kinapatikana hadi kwenye haja kubwa
Sijui tutatokea wapi
Yani ukipumua juu kipi chini kipo