Hii ingelikuwa nafasi adimu kwa Rais kuyatolea maelezo tuhuma mbali mbali juu yake kuhusiana na uchumi, siasa, utamaduni and the general political atmosphere prevailing in Tanzania. The bottom line kuyatolea maelezo ya udikiteita anaohusishwa nao na kuhusika kwa serikali yake kumpiga Tundu Lisu risasi (au kwa maelekezo yake) kama wanavyodai baadhi ya watu.
Leo alikuwa anamhoji Rais wa Ukraine, it was interesting kuhusu mahusiano yake na Trump!
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo alikuwa anamhoji Rais wa Ukraine, it was interesting kuhusu mahusiano yake na Trump!
Sent using Jamii Forums mobile app