Itambue thamani ya uliyenae

Hahahaaaaaa!! Sasa si mada inaongelea mapenzi ya tabia mbaya? Ila huwa namshukuru sana Mungu aisee, basi tu!
Mmh em funguka cha ukorofi wewe, "hapo basi tu" kuna kijistory amazing teh teh
 
very touching words.
 
Tumekuwa wa kuonyesha kutaka kuthamini,kujali na kulinda punde tu tuwapo katika hatua ya kutaka ama kujenga uhusiano au muda mfupi tu tangu uhusiano uanze,tukipata tunasahau sijui huu ugonjwa utapona lini,tukiachwa tunajiwa na kumbukumbu na kuishia kujutia.
Tujaliwe wepesi katika hili.
 
very touching words.
 
Pole sana, ndo walivyo.
Sio kwako tu hutokea kwa watu wengi pia. Kuna jamaa yangu (sala tano) yeye ugomvi wake na mkewe ni kuhusu Pombe, jamaa hataki mkewe anywe Pombe, ila mkewe kwenye Pombe humwambii kitu. Juzi, kamtandika vibao kidogo, Mke kaja juu anatakata taraka yake. Na kwa kujiamini yeye ndiye aliyeleta karatasi na peni eti amwandikie talaka yake waachane. Jamaa akashituka, akalia sana kisha akaondoka. Mpaka leo hajlikani aliko. wanawake hawa, we acha tuuu.
 
Sasa hiyo mm sifanyi sjafanya kosa nikuombe radhi hapana asee
KUOMBA Samahani KUNA THAMANI kubwa sana kwenye mahusiano, na hasa kama ikiwa unaona kiukweli kabisa kuwa umemkosea mwenzio.
 
. ibra87. Huwezi kuishi bila mapenzi Ibra, sote tumepitia huko. Unapenda, unaumizwa, unasahau, unapenda, unaumizwa,unasahau, unapenda............ Ndo mzunguko ulivyo. Kikubwa ni kujitambua na kujiuliza ni kwa nini uko kwenye mapenzi na huyo uliyenae sasa? Pamoja na sababu Milioni utakazokuwa nazo, nakushauri usipende kwa 100%, never ever do that. Penda kwa 50% tu, 30% iwe kwa ndugu zako(blood related) na 20% kwa wengineo(jamaa, marafiki, mchepuko n.k). kwa njia hiyo kama mpenzi wako uliyempa 50% atakuumiza, unabaki na other 50% ya kupenda wengine. Hata kama akikukera, utakereka kwa 50&, na utaendelea kuwa salama kwa 50% pia. Nawashauri, mkiingia kwenye mahusiano ili msije kufa kwa pressure na kujiua msipende kwa 100%, pendeni kwa kiwango mabacho akizidi 50%. Mwenye kutaka maelezo zaidi ani-PM
 
kama na wewe yamekugusa mkuu pole sana.. Ni wakati wakuthamini tulionao
Ibra mimi yamenitokea juzi juzi tu, nilichofanya nikachapa makofi mbaya, kisha nikaondoka zangu. Mtu anakukosea, hataki kutoa sababu kwa nini kakukosea na wala haombi msamaha. wewe uliyekosewa ndo unazungumza sana kuliko yeye, Makofi tu ndo dawa yao. Ili hata kama akiondoka, aondoke na kumbukumbu mbaya ili asiende kuwakosea wengine.
 

hakika umenipa mwanga na nitazingatia hilo
 
Sasa sjakosa halafu bado nikuombe radhi hii hapana asee
Mademe, sometime tunafanya hivyo ili mambo yaishe vizuri. Baada ya masiku kupita na hasira za anayehisi kukosewa kwisha , mnaweza yazungumza nakusema your concern.
 
hakika umenipa mwanga na nitazingatia hilo
In additional to that, kama utakasiriswa na kukasirika, make sure that hasira zako zinabadilika na kufanya mambo chanya(Be positive and constructive always). kwa mfano baada ya kuumizwa na kulia, wewe nenda darasani kajisomee(kama ni mwanafunzi), kama ni mkulima nenda shamba kajilimie, kama mfanyabiashara, nenda kwenye biashar zako kazisimamie......................nk. kwa njia hiyo utamsangaza aliyekuumiza na matokeo yake utarudisha maumivu yake.
 
Mademe, sometime tunafanya hivyo ili mambo yaishe vizuri. Baada ya masiku kupita na hasira za anayehisi kukosewa kwisha , mnaweza yazungumza nakusema your concern.

weee nani kasema nimejifunza unajua unaloongea somehow upo sahihi ila unapong'atwa na nyoka ukisikia mtikisiko wa majani lazima ushtuke uhisi inwezekana akawa nyoka tena naomba samahani pale napokosea au kuhisi kumkosea au kumkwaza mtu kwa namna yoyote ile siombi radhi ili kuombwa radhi in return naomba radhi kwa maana kwamba nimejua kosa langu lilipo sijakukosea bado niombe rahi ha ha ha ha hingii akilini hata kidogo na wala sikuekei kinyongo et umenikosea nikukasirikie nehi sipo hivo kabisa na inategemea na makosa pia.
 
ni vigumu kurudia hilo na ni vigumu kuuruhusu Moyo Wangu kupenda.. Nafurahia kuishi hivi kwasasa
. Iko powa, ukibanwa na kikohozi unatafuta sehemu unalipia na kumaliza kikohozi chako na kusonga mbele. Unatengeneza maisha ya hivyo mpaka hapo utakapokuwa umepata chaguo sahii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…