Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Aah hapana bana, ifike muda kila mtu atambue thamani ya neno "samahani". Ikikushinda samahani ya maneno basi omba samahani kwa vitendoKabisa kubembelezana utadhani tunawekeana roho akaaah
Aah hapana bana, ifike muda kila mtu atambue thamani ya neno "samahani". Ikikushinda samahani ya maneno basi omba samahani kwa vitendoKabisa kubembelezana utadhani tunawekeana roho akaaah
Aah hapana bana, ifike muda kila mtu atambue thamani ya neno "samahani". Ikikushinda samahani ya maneno basi omba samahani kwa vitendo
Teh nguvu ya Mapenzi shem. Muache tu, huko mbele ulimwengu utamfundisha kwa vitendoubaya wake sikuwa namkosea bali nilikuwa nikikosewa mimi na ninapouliza mbona hivi ndipo ninaposimangwa.. Hakika nilikuwa mpuuzi sana
Sawa kabisa; ukiwa na maumivu usikimbilie mahusiano mapya. Kaa tu single, enjoy maisha kadri uwezavyo. Siku ukiwa free, utampata tu mtu mwingine.
Teh nguvu ya Mapenzi shem. Muache tu, huko mbele ulimwengu utamfundisha kwa vitendo
ubaya wake sikuwa namkosea bali nilikuwa nikikosewa mimi na ninapouliza mbona hivi ndipo ninaposimangwa.. Hakika nilikuwa mpuuzi sana
Pole Sana shukuru na maisha lazima yasonge mbele bora hata amekukataa hapa mwanzo hueez jua ni kipi kingejiri mbele
Nilimpenda yy na si dhehebu lake ila kwangu imekuwa vigumu kubadi dhehebu japo nilijitahd kusali kanisani kwao nikiwa naye ila yy hapendi hata kupita njia karbu na kanisa langu mm (RC).
ha ha ha ha nimecheka kumuumiza mtu kupo kwa aina nyingi ukumbuke pia sie ni binadam tumeumbwa na mapungufu yetu ipo siku mistake yako itafika muhim kumbuka wapi umekosea omba samahani endelea mbele
Hicho kipengele cha kuomba msamaha sasa ndio shughuli, daaah!! Ila sijamkosea mtu bwana, mweeeh!
Teh nilikukosea nini? Nianze kuandaa msamaha wa gazeti na vitendo (hela)
sio kuyaendekeza bali hutokea tu unajikuta umependa mkuu
Khaa kwani kumuumiza mtu ni hadi uanze tabia mbaya? Kuna watu wanajifanya marafiki afu wanavyokufanya sasa huku nyuma ptuu
Unaweza ukawa had sasa hujamkosea mtu ILA tambua tumeumbiwa mapungufu hatujakamilika ipoo siku utanasa mtegoni na ukiangalia umekosea wewe msamaha Tu ndo unaotakiwa kujishusha s kosaa muhim jua wapi umekosea
Hahahaaaa! Nakosea sanaaa ila kuomba msamaha sasa ndio balaa.
Maybe utakua unaomba kwa vitendo
Naombaga kwa nadra sanaaa, wakati mwingine najua kabisa nimekosea ila sasa mpaka niombe msamaha ni shughuli.
ni vigumu kurudia hilo na ni vigumu kuuruhusu Moyo Wangu kupenda.. Nafurahia kuishi hivi kwasasa
Haha hapana when you have love you have happiness,kwa sasa unatuaminisha na kujiaminisha mwenyewe kwamba unafuraha ila unachoandika kinaonyesha bado unaumia,ukiwa mkweli kwa nafsi yako furaha inaanzia hapo.....the right chick is not yet there,angekuepo ata leo hiii ungefall hapa usingejielezea hivi....get well soon