Italy crisis: Silvio Berlusconi resigns as PM

Italy crisis: Silvio Berlusconi resigns as PM

palalisote

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2010
Posts
8,335
Reaction score
1,463
Msafara wa aliyekuwa waziri mkuu wa italia umeingia ikulu ya raisi muda siyo mrefu kukabidhi barua ya kujiuzulu. Watu wamefurika nje ya ikulu wakiwa na hasira kuwa yeye ndiye chanzo cha kuyumba kwa uchumi wa italia. Italia inatarajia kukopa fedha zidi ya euro billion 350 kutoka jumuiya ya ulaya hivi karibuni. Huyu ndiye mmiliki wa klabu ya AC milan na vyombo mbalimbali vya habari yakiwemo magezi na televisheni.

Source : ALJAZEERA LIVE COVERAGE
 
Mkuu hii wala sio Breaking News! toka wiki ilioisha dunia inajua kuwa anajiuzulu
 
Wacha ajiuzulu tu, nimekuwa nikimsikia muda mrefu sana huyu jamaa kuwa ni mpenda anasa kama JK wetu na ndiyo maana uchumi wake umedorora siku za hivi karibuni.
 
Mkuu hii wala sio Breaking News! toka wiki ilioisha dunia inajua kuwa anajiuzulu
Nionavyo watu wanaweza kujua yule ni mchumba wa fulani lakini siku akiolewa nalo ni tukio. Nionavyo kuwasilisha barua ya kujiuzulu hiyo ni breaking news licha ya kuwa na uhakika kuwa atajizulu.
 
Bado M.k.w.e.r.e...!

Siku hizi amekuwa mkimya sana, hoongei ongei hovyo, bora lakini maana kwa uchemfu wake ingekuwa kila akitoa speech anazua maswali juu ya maswali.
 
Huyo Pm wa Italia hana tofauti kubwa sana na Mkuu wa kaya wetu, kwani naye ni mtu wa starehe kwa sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kama Mkuu wetu wa kayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Napita tu lkn.
 
12 November 2011 Last updated at 15:53 ET [h=1]Italy crisis: Silvio Berlusconi resigns as PM[/h]
_56679667_56679647.jpg

Mr Berlusconi said he felt bitter about the hostile reception he received en route to resign


[h=2]Berlusconi's era[/h]
Silvio Berlusconi has tendered his resignation as Italian prime minister.
President Giorgio Napolitano accepted his offer and is likely to appoint technocrat Mario Monti his successor.
Mr Berlusconi lost his majority amid an acute debt crisis that threatens the eurozone. He promised to go once MPs had approved new austerity mesasures.
He is Italy's longest-serving post-WWII PM - having dominated political life for 17 years. His premiership has recently been marred by many scandals.
The BBC's Alan Johnston in Rome says Mr Berlusconi's journey to the presidential palace was an undignified one.
He was booed along the way, with demonstrators calling him a "buffoon".
The outgoing prime minister said he felt "embittered" after hearing the insults.
After losing his parliamentary majority on Tuesday, Berlusconi promised to resign after austerity measures, demanded by the EU and designed to restore markets' confidence in the country's economy, were passed by both houses of parliament.
Continue reading the main story
[h=2]Berlusconi in numbers[/h]
  • At least 51 votes of confidence in his government since it took power in 2008
  • Three election victories - 1994, 2001 and 2008
  • Two election defeats - 1996 and 2006
  • Four ongoing trials
  • 75 years old
  • $9bn - net worth of Berlusconi and his family (Forbes, 2010)
Members of the lower house voted 380-26 with two abstentions on Saturday, a day after the Senate approved the measures that have now been signed into law.
After accepting Mr Berlusconi's resignation, Mr Napolitano is expected to formally ask Mr Monti or another candidate to form a government of technocrats.
Sluggish growth
Italy's leaders are desperate to signal that they can bring the country's finances under control, says the BBC's Alan Johnston in Rome, and they are moving fast.
Mr Monti, a well respected economist, is exactly the sort of man that the money markets would like to see take charge at this time of crisis, our correspondent says, but there is significant opposition to him within the country.
The austerity package foresees 59.8bn euros in savings from a mixture of spending cuts and tax rises, with the aim of balancing the budget by 2014. Measures include:

  • An increase in VAT, from 20% to 21%
  • A freeze on public-sector salaries until 2014
  • The retirement age for women in the private sector will gradually rise, from 60 in 2014 until it reaches 65 in 2026, the same age as for men
  • Measures to fight tax evasion will be strengthened, including a limit of 2,500 euros on cash transactions
  • There will be a special tax on the energy sector
On Wednesday, the interest rate on 10-year Italian government bonds touched 7%, the rate at which Greece, Ireland and Portugal were forced to seek bailouts from the EU.
An EU team has begun work in Rome, monitoring how Italy plans to cut its crushing debt burden, 120% of annual economic output (GDP).
The Italian economy has grown at an average of 0.75% a year over the past 15 years.
Mr Berlusconi has been prime minister three times since he first took office in 1994. He has described himself as Italy's best head of government since the country was created nearly 150 years ago.
But he is currently involved in several trials for fraud, corruption and having sex with an under-age girl, and has attracted media attention for so-called "bunga-bunga" parties which young women were allegedly paid to attend.
 
Let him go, too much scandals! Eurozone is real in problem now
 
Tunahitaji viongozi wetu nao waige kwa wenzetu swala zima la uwajibikaji sio kulindana tu!
 
Hatimaye waziri mkuu wa Italia ajiuzulu waitaliano washerekea huku wakilalama maradhi makubwa aliyowachia, madeni,uchumi duni. They are falling left,right,centre mirror mirror on wall who is next?
 
Well, his day finally came!!! With him goes his system. He was in government for 17 years! Leaders of african countries better take note! If their people want to stage peaceful demonstrations, they should listen to their people's grievances not order police to fire real bullets!!!
 
Wakati hayo yakiendelea Rais wetu yuko kwenye usingizi mzito licha ya kero zote zinazowakumba watanzania, umeme, mafuta, gharama za maisha kupanda siku hadi siku, shilingi kuporomoka, mauaji ya raia kwenye maandamano n.k n.k... We must do something folks!
 
Huyu PM ni mfano wa kuigwa na viongozi wa Africa kwenye suala la Resignation
 
Hivi JK hana dhamira yake binafsi??maana hakuna alichofanya wala hajui kwa nn aliomba kuwa rais wa tz,hana washauri??angeamua kusingizia ugonjwa wake ule auakpumzika awaachie wenye uwezo hata kujua nini wanatakiwa kufanya!!nchi inaenda yenyewe tena labda RPC ndio wanaoendesha nchi!!yeye anapokea wageni na kufungua mikutano
 
Back
Top Bottom