Itachukua miaka mingi mno kuja kuwapata ma Rais wa kariba ya Mkapa na Magufuli

Mkapa ni nafuu na Rais bora mara mia moja ya JPM.
JPM hakuwa na maarifa au uamuzi wenye busara.. Fikiria suala la korosho kupeleka jeshi akifikiri Serikali inaweza kufanya biashara..
JPM alifikiri kuwa na hela basi unahusika na wizi.. Alihusudu uhujumu uchumi na vyombo vya dola kama nguzo kuu ya kutisha watu na kutawala..
JPM hakupenda demokrasia na alikuwa akitaka kila mtu apende anachofikiria yeye.. Hata kama sio sahihi.. Mfano daraja la Tanzanite.. Pembeni ya Salender.. Ni aibu kufikiri litaondoa foleni
 
Kwa ufinyu wako wa akili.
Fiscal year 2016/2017 1.5 trillions ilipotea hazina. Fiscal year 2017/2018 1.2 trillions ilipotea hazina na hizi zote ziliripotiwa na CAG kwenye ripoti na akazuia uchunguzi huru. Ben Saanane, Azory na Watanzania wengi walipotea na wengine kuokotwa miili yao ufukweni mwa bahari akazuia uchunguzi huru. Shambulizi la Lissu aliloamuru na kusimamiwa na Bashite pia alizuia uchunguzi huru. Wapuuzi kama wewe ni tatizo kubwa nchini. View attachment 1825705
Duuh!
Mkuu, wengi hawajui kwa sabb jiwe alinyonga uhuru wa habari🙄
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Inawezekana ukaongoza nchi bila kuua yeyote!kwa kuwekeza kwenye saikolojia na sio chuma!hv kulikuwa na umuhimu gani hasa hao jamaa wawili kuua watu zanzibar???Ina maana hata kumuingiza mamluki wa ccm ndani ya Cuf na kushinda uchaguzi kwa kucheza na hisia za watu na akili zao???Hata 2015 mchezo ungechezwa vile vile kucheza akili zetu!!KWANI JPM ANGEPITA KUPITIA CHADEMA LEO WATU WASINGEICHUKIA CHADEMA NA KUITAKA CCM IRUDI MADARAKANI???TATIZO TUNAWEKEZA KWENYE UPUMBAVU NDIO MAANA DAMU ZINAMWAGIKA KILA CHAGUZI!!!
 
nilikua
Kwa hakika wazee wetu hao wamekufa na kamwe hatutawaona tena na huo ndiyo ukweli!

Lakini pamoja na vifo vyao ukweli ni kwamba kuja kumpata Rais mwenye maamuzi na asiye mwoga wa matendo na kufanya kama wale wazee si leo hakika.

BM & JPM walikuwa ni wazee wa kuamua na kutenda pasi kujali lolote liwalo ama baya ama jema wao walikuwa ni waamini wa kutenda na pia walionelea bora lawama kuliko fedheha.

Mungu awalaze mahali pema wazee wetu wale.
nilikua nasema siku zote ,kuna kizazi cha kikoloni kinatakiwa kiishe. kizazi kile ukiwa nae kalibu hata siku ukivaa vizuri kuliko yeye anachukia anaweza hata kukufukuza kazi.
hivyo acha kizazi kile kiishe ,bado wachache na ote wataisha.
 
Magufuli unaemsifia huenda wewe ulikuwa mnufaika wa udikteta wake.
Alibambikia watu kesi,utawala wake ulifunga minyororo Bunge,Magufuli alitukosea sana Watanzania
 
Kwa hakika wazee wetu hao wamekufa na kamwe hatutawaona tena na huo ndiyo ukweli!

Lakini pamoja na vifo vyao ukweli ni kwamba kuja kumpata Rais mwenye maamuzi na asiye mwoga wa matendo na kufanya kama wale wazee si leo hakika.

BM & JPM walikuwa ni wazee wa kuamua na kutenda pasi kujali lolote liwalo ama baya ama jema wao walikuwa ni waamini wa kutenda na pia walionelea bora lawama kuliko fedheha.

Mungu awalaze mahali pema wazee wetu wale.
Huwezi kumfananisha Magufuli na Mkapa, Magufuli anafanana na Idd Amin Dada

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Kwa hakika wazee wetu hao wamekufa na kamwe hatutawaona tena na huo ndiyo ukweli!

Lakini pamoja na vifo vyao ukweli ni kwamba kuja kumpata Rais mwenye maamuzi na asiye mwoga wa matendo na kufanya kama wale wazee si leo hakika.

BM & JPM walikuwa ni wazee wa kuamua na kutenda pasi kujali lolote liwalo ama baya ama jema wao walikuwa ni waamini wa kutenda na pia walionelea bora lawama kuliko fedheha.

Mungu awalaze mahali pema wazee wetu wale.
Yaan una wasifu watu wasiojua kutenganisha baya na nzuri aisee! Kwel watz tunashida saana!
 
Kwa ufinyu wako wa akili.
Fiscal year 2016/2017 1.5 trillions ilipotea hazina. Fiscal year 2017/2018 1.2 trillions ilipotea hazina na hizi zote ziliripotiwa na CAG kwenye ripoti na akazuia uchunguzi huru. Ben Saanane, Azory na Watanzania wengi walipotea na wengine kuokotwa miili yao ufukweni mwa bahari akazuia uchunguzi huru. Shambulizi la Lissu aliloamuru na kusimamiwa na Bashite pia alizuia uchunguzi huru. Wapuuzi kama wewe ni tatizo kubwa nchini. View attachment 1825705
Mkuu,wanaompenda Magufuli ni wagonjwa wa akili....Hakuna intellectual wa kumpenda katili yule

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Kwa hakika wazee wetu hao wamekufa na kamwe hatutawaona tena na huo ndiyo ukweli!

Lakini pamoja na vifo vyao ukweli ni kwamba kuja kumpata Rais mwenye maamuzi na asiye mwoga wa matendo na kufanya kama wale wazee si leo hakika.

BM & JPM walikuwa ni wazee wa kuamua na kutenda pasi kujali lolote liwalo ama baya ama jema wao walikuwa ni waamini wa kutenda na pia walionelea bora lawama kuliko fedheha.

Mungu awalaze mahali pema wazee wetu wale.
Hawakuwa viongozi wazuri kwa karne hiii,walikuwa na hasira sana ,hawakutaka kukosolewa wakwende huko,wanashindwa hats na mtoto Mdogo Uhuru mwigai,wakufe tu.
 
Mwenyenzi Mungu naomba Kama kuna mtoto anaenda kuzaliwa mwenye roho mbaya, wivu,katili,mnafiki mithili ya yule uliyemkatilia mbali Kwa hasira yako, basi Mungu nakusihi mtoto huyo asizaliwe kamwe Katika Nchi hii ni bora ukamchukua ktk tumbo la mama yake ili Amani yako idumu katikati ya wana wa Nchi hii.Tuseme Ameeen!
 
Kwa hakika wazee wetu hao wamekufa na kamwe hatutawaona tena na huo ndiyo ukweli!

Lakini pamoja na vifo vyao ukweli ni kwamba kuja kumpata Rais mwenye maamuzi na asiye mwoga wa matendo na kufanya kama wale wazee si leo hakika.

BM & JPM walikuwa ni wazee wa kuamua na kutenda pasi kujali lolote liwalo ama baya ama jema wao walikuwa ni waamini wa kutenda na pia walionelea bora lawama kuliko fedheha.

Mungu awalaze mahali pema wazee wetu wale.
Magufuli alikuwa dikteta mwenye roho mbaya
 
Mkapa ni nafuu na Rais bora mara mia moja ya JPM.
JPM hakuwa na maarifa au uamuzi wenye busara.. Fikiria suala la korosho kupeleka jeshi akifikiri Serikali inaweza kufanya biashara..
JPM alifikiri kuwa na hela basi unahusika na wizi.. Alihusudu uhujumu uchumi na vyombo vya dola kama nguzo kuu ya kutisha watu na kutawala..
JPM hakupenda demokrasia na alikuwa akitaka kila mtu apende anachofikiria yeye.. Hata kama sio sahihi.. Mfano daraja la Tanzanite.. Pembeni ya Salender.. Ni aibu kufikiri litaondoa foleni
Aisee....JPM was a useless President ever, nilikuwaga najiuliza several times,huyu mtu twende naye hadi 2025? MUNGU hakika ni mkubwa,kamvuna mapema ili kuwaponya Watanzania na Balaa kubwa zaidi.
Alikuwa akiwaza kuua,kutesa,kuteka na kupoteza kila mtu aliyemkosoa,aliamini wapinzani hawana haki ya kuishi.
Kiongozi Kama huyo aendelee kuishi ili iweje?

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Huu ni ujinga..

Inakuwaje Kiongozi awe mzuri huku hajui athari positive na negative za maamuzi yake?. Jiwe alale mahali pema lakini nadhani hakuna na maarifa mapana na pia washauri wake ambao ilibidi wa-stepup kuziba hilo pengo wakawa na wenyewe yes sir,yes sir...mfano ni ishu tu ile ya koroshow..what a show was that??!!!
 
Back
Top Bottom