Ngarob
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 585
- 1,929
Mkapa ni nafuu na Rais bora mara mia moja ya JPM.
JPM hakuwa na maarifa au uamuzi wenye busara.. Fikiria suala la korosho kupeleka jeshi akifikiri Serikali inaweza kufanya biashara..
JPM alifikiri kuwa na hela basi unahusika na wizi.. Alihusudu uhujumu uchumi na vyombo vya dola kama nguzo kuu ya kutisha watu na kutawala..
JPM hakupenda demokrasia na alikuwa akitaka kila mtu apende anachofikiria yeye.. Hata kama sio sahihi.. Mfano daraja la Tanzanite.. Pembeni ya Salender.. Ni aibu kufikiri litaondoa foleni
JPM hakuwa na maarifa au uamuzi wenye busara.. Fikiria suala la korosho kupeleka jeshi akifikiri Serikali inaweza kufanya biashara..
JPM alifikiri kuwa na hela basi unahusika na wizi.. Alihusudu uhujumu uchumi na vyombo vya dola kama nguzo kuu ya kutisha watu na kutawala..
JPM hakupenda demokrasia na alikuwa akitaka kila mtu apende anachofikiria yeye.. Hata kama sio sahihi.. Mfano daraja la Tanzanite.. Pembeni ya Salender.. Ni aibu kufikiri litaondoa foleni