jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Kwa hakika wazee wetu hao wamekufa na kamwe hatutawaona tena na huo ndiyo ukweli!
Lakini pamoja na vifo vyao ukweli ni kwamba kuja kumpata Rais mwenye maamuzi na asiye mwoga wa matendo na kufanya kama wale wazee si leo hakika.
BM & JPM walikuwa ni wazee wa kuamua na kutenda pasi kujali lolote liwalo ama baya ama jema wao walikuwa ni waamini wa kutenda na pia walionelea bora lawama kuliko fedheha.
Mungu awalaze mahali pema wazee wetu wale.
Lakini pamoja na vifo vyao ukweli ni kwamba kuja kumpata Rais mwenye maamuzi na asiye mwoga wa matendo na kufanya kama wale wazee si leo hakika.
BM & JPM walikuwa ni wazee wa kuamua na kutenda pasi kujali lolote liwalo ama baya ama jema wao walikuwa ni waamini wa kutenda na pia walionelea bora lawama kuliko fedheha.
Mungu awalaze mahali pema wazee wetu wale.