Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,286
Uko mtashtiti tashtiti
Na hiyo sifa inahusiana vipi na uhandisi?
Uko mtashtiti tashtiti
Na hiyo sifa inahusiana vipi na uhandisi?
Duh FLY you got me mpaka uliposema "mtashtiti" na kumalizia na "Na hili kaseme" :]
Hahahaaa....mi nipo kama sipo.
Hawa watu wanaharasha kweli kweli...
Lakini ndo hivyo "power corrupts and absolute power corrupts absolutely".
Inabidi umezee sometimes japo hutaki
Yaani we acha tu! Saa ingine wanakufanya ujisikie kama uko 'persona non grata'. Ila ndo hivyo tena...wengine neno 'kushindwa' halipo kwenye msamiati wetu.
Ila hata iweje, haondoki mtu hapa. Tutabanana humu humu! Lol
ha ha ha mkuu tafauti ya nilichoongea mimi na unachoongea wewe ni hapo red. kuzungushwa ni msamiati tofauti na mwanamke kuwa mgumu kwa lengo la kukusoma na kukufahamu
Halaf mkuu
Kwanza: ukiirejea tena post yangu utagundua kwamba mimi nilikuwa naongelea mwanamke ambae anatake time kumuelewa mwenza (probably wameanza kama strangers, na wanahitaji time kuelewana) na hivi ndivyo nilivyomuelewa MJ1 adhawaizi unambie sredi ya MJ1 imelenga wale wanaotumia muda kama excuse ya kuwakataa wenza (mmmh!).
Pili: post yangu ilikuwa so neutral lakini yako naihisi iko polarised na inaonekana ina uhakika na inachokisimamia na inapolenga, (mmmmh!)
heheh kwa kumalizia tu kamanda nakushauri uipitie tena post ya mbu no 13 lol
Energy can neither be created nor destroyed .....
Kama penzi halipo halipo tu hata ufukuzie mpaka kiama kisimame!
kind think the same
Baada ya kusema hayo namba mniambie hapa tunazungumzia laws za thermodynamics au? MJ1 tuisheni sh ngapi kwa siye MEMKWA
MEMKWA... ohhh MEMKWA!!!kind think the same
Baada ya kusema hayo namba mniambie hapa tunazungumzia laws za thermodynamics au? MJ1 tuisheni sh ngapi kwa siye MEMKWA
Nami kwako Mwajey sijakata tamaa
Hahahaha!! GeeeEnergy can neither be created nor destroyed .....
Kama penzi halipo halipo tu hata ufukuzie mpaka kiama kisimame!
Mkuu that principle is never there ukiona unazungushwa ujue ww sio first choice... Akitokea tu hata kwa konyezo kazi kwisha
ha ha ha mkuu tafauti ya nilichoongea mimi na unachoongea wewe ni hapo red. kuzungushwa ni msamiati tofauti na mwanamke kuwa mgumu kwa lengo la kukusoma na kukufahamu
Halaf mkuu
Kwanza: ukiirejea tena post yangu utagundua kwamba mimi nilikuwa naongelea mwanamke ambae anatake time kumuelewa mwenza (probably wameanza kama strangers, na wanahitaji time kuelewana) na hivi ndivyo nilivyomuelewa MJ1 adhawaizi unambie sredi ya MJ1 imelenga wale wanaotumia muda kama excuse ya kuwakataa wenza (mmmh!).
Pili: post yangu ilikuwa so neutral lakini yako naihisi iko polarised na inaonekana ina uhakika na inachokisimamia na inapolenga, (mmmmh!)
heheh kwa kumalizia tu kamanda nakushauri uipitie tena post ya mbu no 13 lol
Energy can neither be created nor destroyed .....
Kama penzi halipo halipo tu hata ufukuzie mpaka kiama kisimame!
Ningekua na uwezo ningelifuta hilo la kuzungushana.Sasa unamzungusha mtu for what?Huwa linanikera sana,na hilo ni moja ya mambo ambayo linanipa uvivu kumtokea mwanamke,huwa napata hasira sana!