Saeedgenius
Member
- Mar 6, 2011
- 48
- 10
Kweli Swali limekwisha ulizwa ila bado jibu.
Huyu DAB ni mpiga dili ingawa tulisema kuwa wapiga dili wamedhibitiwa, kwanza ameweza kuwaweka mfukoni viongozi wenye mamlaka ya kumdhibiti mfano Necta, Utumishi, Polisi, Mwanasheria mkuu, Uaslama wa Taifa na mamlaka nyingine husika. Huyu ni kingpin wa wapiga dili kwani ameweza kupenya taratibu mpaka akafika hapo alipo kwa kunyenyekea bila kutambuliwa, ametumia madaraka aliyopewa kujipatia mali nyingi. Hii ni changamoto kwa serikali kwani viongozi wameshindwa kutoa ukweli juu yake ilhali wazazi wake wote wapo na majina yao yanajulikana. Tuna uongozi toka kaya kijijini, serikali za mtaa, tarafa na wilaya ambao wanatakiwa wajue kila mwananchi na rekodi zake hayo yote yameshindikana ila ametumia udhaifu wa system. Wanaofanya vetting wajue itafika mahali tutachagua watu ambao si wananchi. Kwa sasa ameweza ku control mpaka mamlaka za juu na hii ni hatari wekeni vyeti vyake mezani watu wajiridhishe.Wapiga dili wapo kila mmoja na staili yake!Kuna nurse amepigwa Mvua Saba week tatu zilizokwisha.Pole kama husomi Magazeti.
Ya yule nurse imewezekana kushtakiwa na kufungua sababu hana Pesa,mnyonge.Vibarua tu.Lakini hawa wenye pesa zao na Wenye wa kuwabeba wanapata tu.
Kuna wengine wawili kesi zao zimepelekwa Mahakama kuu Arusha. Hao wanaoshtakiqa hawana wa kuwabeba.Ati tuna Tume ya Katiba,Sheria na Haki za Binadamu.
Binadamu kwa Tanzania ni Watawala tu,wengine ni viatu.
Huyu DAB ni mpiga dili ingawa tulisema kuwa wapiga dili wamedhibitiwa, kwanza ameweza kuwaweka mfukoni viongozi wenye mamlaka ya kumdhibiti mfano Necta, Utumishi, Polisi, Mwanasheria mkuu, Uaslama wa Taifa na mamlaka nyingine husika. Huyu ni kingpin wa wapiga dili kwani ameweza kupenya taratibu mpaka akafika hapo alipo kwa kunyenyekea bila kutambuliwa, ametumia madaraka aliyopewa kujipatia mali nyingi. Hii ni changamoto kwa serikali kwani viongozi wameshindwa kutoa ukweli juu yake ilhali wazazi wake wote wapo na majina yao yanajulikana. Tuna uongozi toka kaya kijijini, serikali za mtaa, tarafa na wilaya ambao wanatakiwa wajue kila mwananchi na rekodi zake hayo yote yameshindikana ila ametumia udhaifu wa system. Wanaofanya vetting wajue itafika mahali tutachagua watu ambao si wananchi. Kwa sasa ameweza ku control mpaka mamlaka za juu na hii ni hatari wekeni vyeti vyake mezani watu wajiridhishe.Wapiga dili wapo kila mmoja na staili yake!
Option ziko nyingi sio lazima maandamano!! Hapo utampa sababu avunje watu miguu.....hapana tunataka kwa amani tu amtoe!!
Sio swala la kuandamana.Ni swala la kuhakikisha watanzania wote wanaelewa kwamba kuna mtu amefoji vyeti na anaendelea kufanya kazi katika Ofisi za Serikali kwa Kodi za Watanzania.
Ni swala la Kila Mtanzania kuelewa kwamba kuna waliofukuzwa na kushatakiwa na kufoji vyeti lakini Bashite hajaguswa.
Baada ya hapo watanzania watatoa uamuzi.
Issue ya RC wa Dar haijanywazishwa ila imeandikwa vizuri kwenye vitabu vya historia na itatumika sana kama reference sehemu nyingi.Atakaposhiriki shughuli ya kijamii ndipo utajua hasira za wananzengo.