Issue ya RC wa Dar imefanikiwa kuzimwa

Issue ya RC wa Dar imefanikiwa kuzimwa

Mjadala wa Bashite ulitawala kwa muda zaidi kwenye vyombo vya habari lakini mh rais amefanya jitihada mbalimbali ili kutuondoa watanzania katika mjadala wa vyeti vya bashite
Kwa hili rais amefanikiwa!
Kwani vyeti sasa vimezoeleka na hakuna tena mjadala unaoshinikiza vyeti

Hata mkuu wa mkoa mwenyewe hasikiki tena sijui ndio lile azimio la wa hariri liko kazini

Mkuu wa nchi kafanikiwa sana kuzima mjadala uliomhusu mkuu wa mkoa kwa asilimia zote
Usimsingizie Rais wetu
1.Bavicha wanajulikana kushabikia vitu ambavyo mwishoni wanaishia pumzi,mfano Suala la Saanane,Ukuta,kata funua n.k
2.Pale wahariri walipokurupuka kwa jazba kuwa hawatamuandika Makonda ilikuwa ni kama wamemaliza kelele zote kuhusu Makonda.
Makonda hawezi kun'goka kwa ajili ya presha za mitandao
 
Mjadala wa Bashite ulitawala kwa muda zaidi kwenye vyombo vya habari lakini mh rais amefanya jitihada mbalimbali ili kutuondoa watanzania katika mjadala wa vyeti vya bashite
Kwa hili rais amefanikiwa!
Kwani vyeti sasa vimezoeleka na hakuna tena mjadala unaoshinikiza vyeti

Hata mkuu wa mkoa mwenyewe hasikiki tena sijui ndio lile azimio la wa hariri liko kazini

Mkuu wa nchi kafanikiwa sana kuzima mjadala uliomhusu mkuu wa mkoa kwa asilimia zote
Aliyempenda mama yako ndio baba yako..Watu wameshajua anayemsaidia mama Juma Pondamali Mensa(JPM) ni nani.
 
Kuna ntu anakidhalilisha kiti cha urahisi kwa kutetea fisadi wa elimu
 
Wala hajaweza na hataweza kuuzima!
Bashite cheti fake ni jinamizi unalolala nalo na kuamka nalo!
 
Jinai haifi na isitoshe hana kinga.Anaemlinda hamsaidii bali anampa kiburi cha muda.

Hili ni donda ndugu kwa mkulu na yeye mwenyewe.

Mkulu anaelinda majambazi hafai mbinguni na duniani.
Ndo maana huwa nasema si kila mamlaka au raisi anawekwa na Mungu.
 
Back
Top Bottom