Israel yaomba msaada wa silaha kutoka Marekani

Israel yaomba msaada wa silaha kutoka Marekani

ITR

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
7,313
Reaction score
19,955
Kufuatia vita vikali kuwahi kushuhudiwa inayo endelea kati ya Israel na kundi la hamas, Israel meomba msaada wa silaha kutoka Marekani ili kukabiliana na upungufu mkubwa wa silaha unao ikabili ili iweze kukabiliana na kundi la hamas.

Ikulu ya Marekani imekubali ombi la Israel na umetuma meli zake kwenye bahari ya medterania ili iweze kuipatia msaada wa kijeshi na silaha unao hitajika kwa mshirika wake huyo.

Hofu umeibuka kwa viongozi wa Ukraine ya kuwa wenda silaha ambazo zingepelekwa nchi humo kwa ajili ya kuisaidia kupambana na Urusi zikapelekwa nchini Israel kwa ajili ya kupabana na hamas hivyo kuwa kwenye hatari ya kushindwa vita dhidi ya Urusi.

Kutokana na hofu hiyo duru zinasema rais wa Ukraine amekuwa akifanya mazungumzo na rais Baden ili kumshawishi ahishinikize Israel iingie makubaliano ya kusitisha mapigano na kundi la hamas.

Chanzo BBC,Aljazeera.

View attachment 2776376View attachment 2776378
 
Kufuatia vita vikali kuwahi kushuhudiwa inayo endelea kati ya Israel na kundi la hamas, Israel meomba msaada wa silaha kutoka Marekani ili kukabiliana na upungufu mkubwa wa silaha unao ikabili ili iweze kukabiliana na kundi la hamas.

Ikulu ya Marekani imekubali ombi la Israel na umetuma meli zake kwenye bahari ya medterania ili iweze kuipatia msaada wa kijeshi na silaha unao hitajika kwa mshirika wake huyo.
Hofu umeibuka kwa viongozi wa Ukraine ya kuwa wenda silaha ambazo zingepelekwa nchi humo kwa ajili ya kuisaidia kupambana na Urusi zikapelekwa nchini Israel kwa ajili ya kupabana na hamas hivyo kuwa kwenye hatari ya kushindwa vita dhidi ya Urusi.
Kutokana na hofu hiyo duru zinasema rais wa Ukraine amekuwa akifanya mazungumzo na rais Baden ili kumshawishi ahishinikize Israel iingie makubaliano ya kusitisha mapigano na kundi la hamas.
Chanzo BBC,Aljazeera.View attachment 2776376View attachment 2776378
Hii ni vita kuu ya tatu ya dunia
 
  • Thanks
Reactions: ITR
Kufuatia vita vikali kuwahi kushuhudiwa inayo endelea kati ya Israel na kundi la hamas, Israel meomba msaada wa silaha kutoka Marekani ili kukabiliana na upungufu mkubwa wa silaha unao ikabili ili iweze kukabiliana na kundi la hamas.

Ikulu ya Marekani imekubali ombi la Israel na umetuma meli zake kwenye bahari ya medterania ili iweze kuipatia msaada wa kijeshi na silaha unao hitajika kwa mshirika wake huyo.
Hofu umeibuka kwa viongozi wa Ukraine ya kuwa wenda silaha ambazo zingepelekwa nchi humo kwa ajili ya kuisaidia kupambana na Urusi zikapelekwa nchini Israel kwa ajili ya kupabana na hamas hivyo kuwa kwenye hatari ya kushindwa vita dhidi ya Urusi.
Kutokana na hofu hiyo duru zinasema rais wa Ukraine amekuwa akifanya mazungumzo na rais Baden ili kumshawishi ahishinikize Israel iingie makubaliano ya kusitisha mapigano na kundi la hamas.
Chanzo BBC,Aljazeera.View attachment 2776376View attachment 2776378
ITR acha akili za CCM hapa, hivi na wewe ni GT kweli mbona wewe ni muongo hivi? yaani umekaa kiumbea umbea wewe mwanamke!

Hakuna vita vikali ambayo haijawahi kushuhudiwa inayoendelea kati ya Hamas na Israel hivi sasa tuwe wakweli tuache akili za kinyani hapa.

Hivi kwako wewe na akili yako, vita vikali ni kuvizia raia wakiwa kwenye tamasha? kwako vita vikali ni kuua raia watoto, wanawake, wazee? may be wewe ni binti mdogo hujui historia Israel imeshinda vita vingi na hatari sana.

Tuwaombee Gaza sio kushangilia ujinga, wakati magaidi hao tayari wamewasha moto ambao ni ngumu kwao kuzima aise,mimi uwa nawaonea huruma sana wazee, wanawake na watoto wa Gaza.

Watu wa Gaza nao ni binadamu jamani, tuwaombee na tushikamane na watu wa Gaza jamani.
 
upungufu mkubwa wa silaha Israel, hasa ni kwakuwa walizipeleka huko huko Ukraine
Hamas wakatonywa
Yaani nimeamini ni ngumu watanzania kutoka kwenye makucha ya CCM kwa akili hizi duh, hadi najiuliza viwango vya elimu ya watanzania jamani.

Lini Israel ilipeleka silaha Ukraine au huku ndio kupagawa kwa wajinga jamani, Hamas wamekimbia au wamemalizwa ndani ya mipaka ya Israel, sasa ni zamu ya mateso makali kwa watu wa gaza.

Ee Mwenye Mungu, simama na watu wako wa Gaza, sio matakwa yao bali ni magaidi wachache wanaotumika kwa maslahi ya Iran wala sio maslahi ya watu wako wa Gaza.

Saizi Iran wako mbali, wamekaa futi maelfu, kazi yao ni kutoa matamko bila msaada wowote kwa watu wa Gaza, wakati ambapo wanaume kutoka Israel wanaingia kwa hasira kwao
 
Yaani nimeamini ni ngumu watanzania kutoka kwenye makucha ya CCM kwa akili hizi duh, hadi najiuliza viwango vya elimu ya watanzania jamani.

Lini Israel ilipeleka silaha Ukraine au huku ndio kupagawa kwa wajinga jamani, Hamas wamekimbia au wamemalizwa ndani ya mipaka ya Israel, sasa ni zamu ya mateso makali kwa watu wa gaza.

Ee Mwenye Mungu, simama na watu wako wa Gaza, sio matakwa yao bali ni magaidi wachache wanaotumika kwa maslahi ya Iran wala sio maslahi ya watu wako wa Gaza.

Saizi Iran wako mbali, wamekaa futi maelfu, kazi yao ni kutoa matamko bila msaada wowote kwa watu wa Gaza, wakati ambapo wanaume kutoka Israel wanaingia kwa hasira kwao
wewe ni mkenya ?
 
ITR acha akili za CCM hapa, hivi na wewe ni GT kweli mbona wewe ni muongo hivi? yaani umekaa kiumbea umbea wewe mwanamke!

Hakuna vita vikali ambayo haijawahi kushuhudiwa inayoendelea kati ya Hamas na Israel hivi sasa tuwe wakweli tuache akili za kinyani hapa.

Hivi kwako wewe na akili yako, vita vikali ni kuvizia raia wakiwa kwenye tamasha? kwako vita vikali ni kuua raia watoto, wanawake, wazee? may be wewe ni binti mdogo hujui historia Israel imeshinda vita vingi na hatari sana.

Tuwaombee Gaza sio kushangilia ujinga, wakati magaidi hao tayari wamewasha moto ambao ni ngumu kwao kuzima aise,mimi uwa nawaonea huruma sana wazee, wanawake na watoto wa Gaza.

Watu wa Gaza nao ni binadamu jamani, tuwaombee na tushikamane na watu wa Gaza jamani.
Punguza mahaba wewe,shida ni hiyo miwani ya ushabiki wa kijinga ndio imekupofusha.
 
Hapo israel wanajifanya kuomba msaada kumbe wanachukua silaha kwenye stoo yao. Hapo silaha zitakazoingia ni kutoka ulaya wakati waarabu wakilinda za marekani zisiingie.
 
Yaani nimeamini ni ngumu watanzania kutoka kwenye makucha ya CCM kwa akili hizi duh, hadi najiuliza viwango vya elimu ya watanzania jamani.

Lini Israel ilipeleka silaha Ukraine au huku ndio kupagawa kwa wajinga jamani, Hamas wamekimbia au wamemalizwa ndani ya mipaka ya Israel, sasa ni zamu ya mateso makali kwa watu wa gaza.

Ee Mwenye Mungu, simama na watu wako wa Gaza, sio matakwa yao bali ni magaidi wachache wanaotumika kwa maslahi ya Iran wala sio maslahi ya watu wako wa Gaza.

Saizi Iran wako mbali, wamekaa futi maelfu, kazi yao ni kutoa matamko bila msaada wowote kwa watu wa Gaza, wakati ambapo wanaume kutoka Israel wanaingia kwa hasira kwao
Ww ni mpumbavu , unataka watz kujikomboa kutoka kwenye makucha ya CCM ila hutaki wapalestina wajikomboe kwenye makucha ya Israel? hivi una akili kweli?
 
Kufuatia vita vikali kuwahi kushuhudiwa inayo endelea kati ya Israel na kundi la hamas, Israel meomba msaada wa silaha kutoka Marekani ili kukabiliana na upungufu mkubwa wa silaha unao ikabili ili iweze kukabiliana na kundi la hamas.

Ikulu ya Marekani imekubali ombi la Israel na umetuma meli zake kwenye bahari ya medterania ili iweze kuipatia msaada wa kijeshi na silaha unao hitajika kwa mshirika wake huyo.
Hofu umeibuka kwa viongozi wa Ukraine ya kuwa wenda silaha ambazo zingepelekwa nchi humo kwa ajili ya kuisaidia kupambana na Urusi zikapelekwa nchini Israel kwa ajili ya kupabana na hamas hivyo kuwa kwenye hatari ya kushindwa vita dhidi ya Urusi.
Kutokana na hofu hiyo duru zinasema rais wa Ukraine amekuwa akifanya mazungumzo na rais Baden ili kumshawishi ahishinikize Israel iingie makubaliano ya kusitisha mapigano na kundi la hamas.
Chanzo BBC,Aljazeera.View attachment 2776376View attachment 2776378
zile iron dome huwa zinatakiwa kujazwa makombora ili automatically, ili hamas wakirusha yao vinakutana kulekule juu. israel imejiandaa kwa vita vya muda mrefu hivyo wanataka wawe na reserve nyingi. na wakati mwingine, wanawaweza kuwa hawana upungufu wa silaha ila wanataka tu kuishirikisha marekani na maadui wa israel kama iran na turkiye wajue kuwa israel haipo peke yake in case wakiamua kuingilia kusaidia hamas kivitendo. ni mbinu za kivita tu.
 
ITR acha akili za CCM hapa, hivi na wewe ni GT kweli mbona wewe ni muongo hivi? yaani umekaa kiumbea umbea wewe mwanamke!

Hakuna vita vikali ambayo haijawahi kushuhudiwa inayoendelea kati ya Hamas na Israel hivi sasa tuwe wakweli tuache akili za kinyani hapa.

Hivi kwako wewe na akili yako, vita vikali ni kuvizia raia wakiwa kwenye tamasha? kwako vita vikali ni kuua raia watoto, wanawake, wazee? may be wewe ni binti mdogo hujui historia Israel imeshinda vita vingi na hatari sana.

Tuwaombee Gaza sio kushangilia ujinga, wakati magaidi hao tayari wamewasha moto ambao ni ngumu kwao kuzima aise,mimi uwa nawaonea huruma sana wazee, wanawake na watoto wa Gaza.

Watu wa Gaza nao ni binadamu jamani, tuwaombee na tushikamane na watu wa Gaza jamani.
Nitolee mihemko yako ya kijinga hapa.

Hao raia wana tafuta nn kwenye ardhi za wapalestina?
Alafu kama unge kuwa ina huruma na wapalestina ungeiambia Israel iondoke kwenye ardhi za wapalestina.
 
zile iron dome huwa zinatakiwa kujazwa makombora ili automatically, ili hamas wakirusha yao vinakutana kulekule juu. israel imejiandaa kwa vita vya muda mrefu hivyo wanataka wawe na reserve nyingi. na wakati mwingine, wanawaweza kuwa hawana upungufu wa silaha ila wanataka tu kuishirikisha marekani na maadui wa israel kama iran na turkiye wajue kuwa israel haipo peke yake in case wakiamua kuingilia kusaidia hamas kivitendo. ni mbinu za kivita tu.
Acha kujifariji kila siku huwa tunawambia kuwa Israel bila Marekani ni mbwa koko aliye mwagiwa maji mna kaza kichwa sasa ona mnavyo umbuka.
 
Acha kujifariji kila siku huwa tunawambia kuwa Israel bila Marekani ni mbwa koko aliye mwagiwa maji mna kaza kichwa sasa ona mnavyo umbuka.
sasa wewe ndio hauelewi. marekani ni israel na israel ni marekani. wale matajiri karibia wote wa marekani, wamiliki wa dell, hp,facebook, google na takataka zoote, viwanda vikubwa, wale walioshikilia uchumi wa marekani ni Wayahudi na wana uraia wa nchi mbili marekani na israel na huwa wanaenda hata kutumikia jeshini israel kwa miezi sita na wana nyumba israel. israel kuna wayahudi milion 9, marekani kiuna wayahudi milioni zaidi ya 9. wafanya maamuzi hasa wale wa republican, na hata wa democrat, ni wayahudi wa kimarekani. hivyo wewe ni kipofu sana kuamini kwamba israel inatakiwa kusimama peke yake bila marekani wakati ni kitu kimoja.
 
Vita ya kawaida tu huko

Wote washazoea vita

Ova
 
ITR acha akili za CCM hapa, hivi na wewe ni GT kweli mbona wewe ni muongo hivi? yaani umekaa kiumbea umbea wewe mwanamke!

Hakuna vita vikali ambayo haijawahi kushuhudiwa inayoendelea kati ya Hamas na Israel hivi sasa tuwe wakweli tuache akili za kinyani hapa.

Hivi kwako wewe na akili yako, vita vikali ni kuvizia raia wakiwa kwenye tamasha? kwako vita vikali ni kuua raia watoto, wanawake, wazee? may be wewe ni binti mdogo hujui historia Israel imeshinda vita vingi na hatari sana.

Tuwaombee Gaza sio kushangilia ujinga, wakati magaidi hao tayari wamewasha moto ambao ni ngumu kwao kuzima aise,mimi uwa nawaonea huruma sana wazee, wanawake na watoto wa Gaza.

Watu wa Gaza nao ni binadamu jamani, tuwaombee na tushikamane na watu wa Gaza jamani.
Umeongea jambo zito sana. Ila kamwe siwezi kushikamana na magaidi. Wanapewa umeme, chakula nk halafu bado wanaleta....
 
Back
Top Bottom