ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 8,571
- 7,219
Unasikitisha sana Turkey ni secular state sio islamic state, wanakubaliana na haki za binadamu moja kwa moja , wakiadhibu wanaadhibu kwa sheria za nchi yao sio UISLAMU kama wewe unavyojiaminisha hapa ahahah , ata Tanzania mashoga awatakiwi kikatiba kwani ni nchi ya kiislamu au kikristo ?TURKEY MASHOGA NA WASAGAJI WANAADHIBIWA SANA TENA HUKO ARAB WANACHINJWA KABBISA NDIO MAANA WANAANDAMANA.
NA KM HAUJUI TURKEY NA WAHAJEMI NI CHANDA NA PETE.