Israel yakiri Iron Dome zimeshindwa kuzuia maroketi kutoka Gaza kutua Tel Aviv. Hii ni baada ya ukimya wa siku 7 kubadilishana mateka

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,183
10,913
Tangu vita vianze upya baada ya ukimya wa siku 7 wakati wa kubadilishana mateka Hamas imeendelea kurusha maroketi ya masafa marefu kutokea ndani ya Gaza ambayo yanaufikia mji mkuu wa Israel wa Tel Aviv.

Kwa mujibu wa Allan Fisher ,mpashaji habari wa aljazeera makombora kadhaa yaliyorushwa hapo jana desemba 2,yameweza kupiga maeneo ya katikati ya Tel Aviv na kuleta madhara.

Blila kuweka wazi kiwango cha hasara kilichopata Israel kutokana na makombora hayo imekiri kwamba Iron dome zilishindwa kuyaangamiza hewani makombora hayo ya Hamas kutokana na hitilafu zilizotokea kwenye mfumo wa Iron dome.

Kutokana na matukio hayo ya makombora kufika Tel Aviv bila kizuizi Israel imesema itafanya uchunguzi kubaini kasoro hizo.

Unaweza ukaangalia kwenye video hapo chini jinsi Iron Dome ilivyoshindwa kazi.Kombora kutoka Iron dome likikaribia roketi la Hamas linashindwa kulisogelea na kupinda kurudi ardhini kuachia kombora la Hamas lipige kwenye lengo lake..Matokeo yake kombora la Hamas likapiga na Iron dome nayo ikapiga mfano wa kujifunga goli mwenyewe mara mbili.
1701578435859.png

Video of Israel’s Iron Dome missile malfunctioning

 
Tangu vita vianze upya baada ya ukimya wa siku 7 wakati wa kubadilishana mateka Hamas imeendelea kurusha maroketi ya masafa marefu kutokea ndani ya Gaza ambayo yanaufikia mji mkuu wa Israel wa Tel Aviv.
Kwa mujibu wa mpashaji habari wa aljazeera makombora kadhaa yaliyorushwa hapo jana desemba 2,yameweza kupiga maeneo ya katikati ya Tel Aviv na kuleta madhara.
Blila kuweka wazi kiwango cha hasara kilichopata Israel kutokana na makombora hayo imekiri kwamba Iron dome zilishindwa kuyaangamiza hewani makombora hayo ya Hamas kutokana na hitilafu zilizotokea kwenye mfumo wa Iron dome.
Kutokana na matukio hayo ya makombora kufika Tel Aviv bila kizuizi Israel imesema itafanya uchunguzi kubaini kasoro hizo.

Unaweza ukaangalia kwenye video hapo chini jinsi Iron Dome ilivyoshindwa kazi.Kombora kutoka Iron dome likikaribia roketi la Hamas linashindwa kulisogelea na kupinda kurudi ardhini kuachia kombora la Hamas lipige kwenye lengo lake.
View attachment 2831874

Video of Israel’s Iron Dome missile malfunctioning

baadae mtaanza lia FREE PALESTINE
 
Tangu vita vianze upya baada ya ukimya wa siku 7 wakati wa kubadilishana mateka Hamas imeendelea kurusha maroketi ya masafa marefu kutokea ndani ya Gaza ambayo yanaufikia mji mkuu wa Israel wa Tel Aviv.
Kwa mujibu wa mpashaji habari wa aljazeera makombora kadhaa yaliyorushwa hapo jana desemba 2,yameweza kupiga maeneo ya katikati ya Tel Aviv na kuleta madhara.
Blila kuweka wazi kiwango cha hasara kilichopata Israel kutokana na makombora hayo imekiri kwamba Iron dome zilishindwa kuyaangamiza hewani makombora hayo ya Hamas kutokana na hitilafu zilizotokea kwenye mfumo wa Iron dome.
Kutokana na matukio hayo ya makombora kufika Tel Aviv bila kizuizi Israel imesema itafanya uchunguzi kubaini kasoro hizo.

Unaweza ukaangalia kwenye video hapo chini jinsi Iron Dome ilivyoshindwa kazi.Kombora kutoka Iron dome likikaribia roketi la Hamas linashindwa kulisogelea na kupinda kurudi ardhini kuachia kombora la Hamas lipige kwenye lengo lake.
View attachment 2831874

Video of Israel’s Iron Dome missile malfunctioning

Unaonaje vita iendelee kwani Hamas wanawapelekea moto waisrael?
 
Unaonaje vita iendelee kwani Hamas wanawapelekea moto waisrael?
Ndio uchaguzi wa Hamas.Hakuna kuachia mateka hata mmoja mpaka vita visimame moja kwa moja.
Netanyahu atajuana na malelfu ya waisrael wanaodai ndugu zao.
Walioachiwa huru kama walikuwa ndugu mmoja tu ndiye aliyetoka.Hakuna cha kumwambia kumdai mwenzake aliyebaki Gaza.
 
Tangu vita vianze upya baada ya ukimya wa siku 7 wakati wa kubadilishana mateka Hamas imeendelea kurusha maroketi ya masafa marefu kutokea ndani ya Gaza ambayo yanaufikia mji mkuu wa Israel wa Tel Aviv.
Kwa mujibu wa Allan Fisher ,mpashaji habari wa aljazeera makombora kadhaa yaliyorushwa hapo jana desemba 2,yameweza kupiga maeneo ya katikati ya Tel Aviv na kuleta madhara.
Blila kuweka wazi kiwango cha hasara kilichopata Israel kutokana na makombora hayo imekiri kwamba Iron dome zilishindwa kuyaangamiza hewani makombora hayo ya Hamas kutokana na hitilafu zilizotokea kwenye mfumo wa Iron dome.
Kutokana na matukio hayo ya makombora kufika Tel Aviv bila kizuizi Israel imesema itafanya uchunguzi kubaini kasoro hizo.

Unaweza ukaangalia kwenye video hapo chini jinsi Iron Dome ilivyoshindwa kazi.Kombora kutoka Iron dome likikaribia roketi la Hamas linashindwa kulisogelea na kupinda kurudi ardhini kuachia kombora la Hamas lipige kwenye lengo lake..Matokeo yake kombora la Hamas likapiga na Iron dome nayo ikapiga mfano wa kujifunga goli mwenyewe mara mbili.
View attachment 2831874

Video of Israel’s Iron Dome missile malfunctioning

Allah akbar. Waislam wa palestina wakiua wanaingia peponi na wakiuliwa wanaingia peponi
 
Tangu vita vianze upya baada ya ukimya wa siku 7 wakati wa kubadilishana mateka Hamas imeendelea kurusha maroketi ya masafa marefu kutokea ndani ya Gaza ambayo yanaufikia mji mkuu wa Israel wa Tel Aviv.
Kwa mujibu wa Allan Fisher ,mpashaji habari wa aljazeera makombora kadhaa yaliyorushwa hapo jana desemba 2,yameweza kupiga maeneo ya katikati ya Tel Aviv na kuleta madhara.
Blila kuweka wazi kiwango cha hasara kilichopata Israel kutokana na makombora hayo imekiri kwamba Iron dome zilishindwa kuyaangamiza hewani makombora hayo ya Hamas kutokana na hitilafu zilizotokea kwenye mfumo wa Iron dome.
Kutokana na matukio hayo ya makombora kufika Tel Aviv bila kizuizi Israel imesema itafanya uchunguzi kubaini kasoro hizo.

Unaweza ukaangalia kwenye video hapo chini jinsi Iron Dome ilivyoshindwa kazi.Kombora kutoka Iron dome likikaribia roketi la Hamas linashindwa kulisogelea na kupinda kurudi ardhini kuachia kombora la Hamas lipige kwenye lengo lake..Matokeo yake kombora la Hamas likapiga na Iron dome nayo ikapiga mfano wa kujifunga goli mwenyewe mara mbili.
View attachment 2831874

Video of Israel’s Iron Dome missile malfunctioning

Wazayuni wapigwe
 
Wanatafuta justification wakaue tena . Kifupi Palestine akitaka kushinda hii vita aweke siraha chini aingie barabarani dumia mzima kuprotest. Ila kila akinyanyua bunduki ajue kampa usa sababu ya kuua
 
Wazayuni wapigwe
Walipoona walishinda mataifa kadhaa ya kiarabu mwaka 1967 katika vita vya wiki moja na halafu wakashinda mwaka 1973 vita vya Yom Kipur wakadhani kushinda wanamgambo waliowafungia ndani ya Gaza itakuwa jambo jepesi mno.
Hawajui kuwa mara ngapi Allah s.w amewapa ushindi vikundi vidogo dhidi ya majeshi makubwa.
Netanyahu hajajua ubaya wa matamko yake 'tumekula kiapo ya kuifuta Hamas na hakuna wa kutuzuia".Mwenyezi Mungu huwa hataniwi na maneno ya kibri kama hayo.Titanic aliizamisha kwa matamko kama hayo.
 
🛑 Hamas:

At dawn today, we monitored the positioning of 60 IOF soldiers inside tents, east of Juhr al-Dik. We planted 3 anti-personnel bombs in a circular pattern around their position, at exactly 4:30 the bombs were detonated. One of our forces advanced to finish off the remaining soldiers, and our forces returned safely after killing a large number of occupation soldiers.
 
Back
Top Bottom