Iran abwaga manyanga baada kupokea kichapo!!

Iran abwaga manyanga baada kupokea kichapo!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
9,000
Reaction score
7,618
Baada ya Iran kuishambulia Israel na Israel kujibu vikali uchokozi huo sasa Iran kabwaga manyanga!!

IMG_20260608_154427_134.jpg
 
Baada ya Iran kuishambulia Israel na Israel kujibu vikali uchokozi huo sasa Iran kabwaga many anga!!


Kwanza umefufuka baada ya kusikia Iranian imetangaza kusitisha Vita ndio sasa umeona ni muda kuyadanganya makondooo yenu !!

Mana wao kipondo wamekiona lkn ndio ukondooo upo mbele zaidi ya akili 😂😂
Utasikia Iranian kapigwaa sana
Kana kwamba
hawajaona kwenye MEDIA!!!
 
Na sisi watanganyika tumefukuzwa zanzibar kuanzua leo 9 mwezi wa 6 mwaka2026 baada ya waziri wa utalii kusema tufukuzwe.Kwa sasa tubaelekea Tanganyika
Yeye mwenyewe kapewa Huo uwaziri na mtanganyika kwa wizi wa kura . Hivi mnakaa mnawasikiliza na tamthilia zao Hao wezi?
 
Waisrael wameshaamua vipi huko ileje una mpya gani?
Mnajitekenya wenyewe harafu mnacheka wenyewe huo ni ujinga uliopita kimo!!

Iran imepoteza viongozi waandamizi wa Kijeshi zaidi ya 600 na viongozi wengi wa kiraia akiwemo Gaidi Ayatollah Ali Khamenei harafu unakuja Bumunda Kama wewe na vikaratasi vyako Uchwara unadai Eti Iran kushinda labda kushinda Njaa!!!
 
Mnajitekenya wenyewe harafu mnacheka wenyewe huo ni ujinga uliopita kimo!!

Iran imepoteza viongozi waandamizi wa Kijeshi zaidi ya 600 na viongozi wengi wa kiraia akiwemo Gaidi Ayatollah Ali Khamenei harafu unakuja Bumunda Kama wewe na vikaratasi vyako Uchwara unadai Eti Iran kushinda labda kushinda Njaa!!!
Labda lugha inakusumbua ? Kweli ni ngumu kumshauri mlokole ,sada unabishana hadi na wazayuni wenyewe? Go to school
 
Labda lugha inakusumbua ? Kweli ni ngumu kumshauri mlokole ,sada unabishana hadi na wazayuni wenyewe? Go to school
Wewe kiarabu haki kusum Uzi maana ni Mwarabu-koko OG!!!
 
Back
Top Bottom