Ukweli ni kuwa haya maelezo ya kuitawala dunia ,waislamu wao wana version yao wa maelezo,na yanaonyesha wao ndo wataibuka kidedea,na ndo siri ya hao waislamu kutoogopa mabomu na makombora ya wamarekani na washirika wake.
Ndo maana hutokaa uone hawa jamaa wanasalimu amri kwa marekani.
Marekani ameingia hasala ya matrilion kule irag na afaghanstan,kiasi cha uchumi wake kushake,sasa hadi wanafunga serikali tatizo ni pesa.
Mmarekani hakupata kufikia malengo aliyopanga kule irag na afghanstan na inabidi atoe majeshi yake.
Walichofanya waarabu na afaghan ni kuirefusha vita ili kubomoa uchumi wa marekani,imefikia hali mpaka marekani hataki tena kushiriki vita vya nchi kavu kwani ameona inakula kwake.
Israel nao wamekua wanaitwanga gaza mabomu lakini jamaa ni hardcore israel anagwaya kuingiza askari wa miguu gaza kwani anajua casualt itakua kubwa.
Haya mambo ni ya kuangalia tu na wala hayaishi leo itachukua hata miaka 500,nasi wote tutakuwa tulishapita zamani na wala hakutakuwa na maisha kama yalivyo sasa.