ISRAEL v/s IRAN.

ISRAEL v/s IRAN.

Status
Not open for further replies.
usilopoketu! Thibitisha kwa vigezo, usiseme ulicho kalilishwa wewe!.
Kwa tarifa yako wa Israel ni taifa lilo laniwa na Mungu na Quran ndo inasema vile.

Sababu wao walikuwa wakipendwa sana na Mungu lakini wakawa na kufuru na mara nyingi walikuwa wakiwauwa mitume wa Mungu, na mmoja wapo Yesu walitaka kumuwa lakini akapaishwa na Mungu.
 
Ndugu unayosema ni kweli kabisa. Israel waliweza kumsulubu "Mungu" na kumtoa roho na kumpa umauti kwa siku tatu, mpaka pale "Mungu" alipofanya uungu wake na kujifufua na kuwapa wauaji wake hadhi ya "taifa teule". Unafikiri kuna kiumbe kinachoweza (taifa lisilo teule) linaloweza kupigana na Taifa lililomwadhibu Mungu?

"Mungu" baada ya kuadhibiwa na wababe hawa(Taifa la Israel) ilibidi awape hadhi maalum, hadhi ya uteule!

Taifa la Mungu? Nikumbushe,Kabila la "Mungu" huyu ni kabila
unaongea pumba HIVI MUNGU ANAWEZA KUSULUBIWA AU MUNGU ANAWEZA KUFA?.
SOMA UELIMIKE.
Pole sana unaongea kwa maneno mengi tena kwa mbwembwe nyingi na dharau kwa mwenzio kwa kile unachokiamini wewe! Niseme kitu kimoja ninafurahi sana pale ninapokutana na watu Kama nyie!
Bibilia inasema katika kitabu cha Matendo 4:11-12.
This is the 'stone' which was rejected by you builders , which has become the chief cornerstone.
Nor is there salvation in any other, for there is no other name under heaven given among men by which we must be saved.
Yesu alikataliwa na wanadamu wakati ule na Leo mnazidi kumkataa. Na biblia inasema Yesu amekua jiwe kuu. Na kwasababu ya kutokujua Maandiko Huu unabii wa Hilo jiwe unawza ukawa hauufamu.
Mstari wa 12 unaweka wazi kabisa kua ni Jina moja tulilopewa wanadamu chini ya mbingu ambalo mwanadamu aokolowa kwalo!
Sasa Sijui nyie wokovu mnaupata wapi ikiwa Yesu hamumtaki tena mnamkataa.
Kumbuka ndugu ni jina moja tu tulilopewa la kutuokoa, haya majina mengine ni batiri.
Ndugu njoo kwa Yesu upate kuokolewa!
 
Pole sana unaongea kwa maneno mengi tena kwa mbwembwe nyingi na dharau kwa mwenzio kwa kile unachokiamini wewe! Niseme kitu kimoja ninafurahi sana pale ninapokutana na watu Kama nyie!
Bibilia inasema katika kitabu cha Matendo 4:11-12.
This is the 'stone' which was rejected by you builders , which has become the chief cornerstone.
Nor is there salvation in any other, for there is no other name under heaven given among men by which we must be saved.
Yesu alikataliwa na wanadamu wakati ule na Leo mnazidi kumkataa. Na biblia inasema Yesu amekua jiwe kuu. Na kwasababu ya kutokujua Maandiko Huu unabii wa Hilo jiwe unawza ukawa hauufamu.
Mstari wa 12 unaweka wazi kabisa kua ni Jina moja tulilopewa wanadamu chini ya mbingu ambalo mwanadamu aokolowa kwalo!
Sasa Sijui nyie wokovu mnaupata wapi ikiwa Yesu hamumtaki tena mnamkataa.
Kumbuka ndugu ni jina moja tu tulilopewa la kutuokoa, haya majina mengine ni batiri.
Ndugu njoo kwa Yesu upate kuokolewa!
Hebu nitafutieni duniani wapi wa Islam wanamkataa Yesu?

Mu Islam akimkataa Yesu ujuwe si mu Islam huyo atakuwa ana dini nyingine labda sio ya ki Islam, wacha kuzua uwongo, wa Islam wanacho kikataa ni kuwa Yesu si Mungu na Yesu hakuna sehemu kasema yeye ni Mungu.

Nyie mnao sema Israel ni taifa la Mungu wapi uliona mu Israel akamkubali kama Yesu ni Prophet au Mungu, hao hao wa Israel hakuna hata Prophet mmoja wa Mungu wamemuamini afu nashangaa mnasema ni Taifa la Mungu, hivi mna akili sawa nyie.


Siku njema wacha kuzua uwongo kama wa Islam wanamkataa Yesu, sisi tunamkubali sana tena tuna mheshimu sana kama Prophet Muhammad hatuwatofautishi kabisa, wakati taifa mnalosema la Mungu wao walitaka kumpigilia misumari Yesu tena kwenye msalaba.

Mimi naona turudi kwenye habari ya Iran na Israel ni bora kuliko kukimbila dini, mana akisha tajwa Israel mankimbilia kujidai taifa la Mungu wakati si taifa la Mungu bali ni taifa la ki Jambazi linao CHUKUA ardhi zawatu TENA kwa nguvu na kwa kusaidiwa na USA kwa pesa na silaha.
 
kutakuwa na vita na tetesi za vita, lakini huo ni mwanzo wa utungu. Yaani watu wa humu mnashangaza sana, mnafurahia nchi flani kuwa mbabe wa vita ilihali mamia ya watu watapoteza maisha. Kama vipi nchi hizo zote zije ziipige tz then tuone mnaoshabikia vita hiyo ya maneno mtakalosema.
Wasiosoma ni chakula cha wasomi.

kwa hiyo wewe unasoma?
 
Hebu nitafutieni duniani wapi wa Islam wanamkataa Yesu?

Mu Islam akimkataa Yesu ujuwe si mu Islam huyo atakuwa ana dini nyingine labda sio ya ki Islam, wacha kuzua uwongo, wa Islam wanacho kikataa ni kuwa Yesu si Mungu na Yesu hakuna sehemu kasema yeye ni Mungu.

Nyie mnao sema Israel ni taifa la Mungu wapi uliona mu Israel akamkubali kama Yesu ni Prophet au Mungu, hao hao wa Israel hakuna hata Prophet mmoja wa Mungu wamemuamini afu nashangaa mnasema ni Taifa la Mungu, hivi mna akili sawa nyie.


Siku njema wacha kuzua uwongo kama wa Islam wanamkataa Yesu, sisi tunamkubali sana tena tuna mheshimu sana kama Prophet Muhammad hatuwatofautishi kabisa, wakati taifa mnalosema la Mungu wao walitaka kumpigilia misumari Yesu tena kwenye msalaba.

Mimi naona turudi kwenye habari ya Iran na Israel ni bora kuliko kukimbila dini, mana akisha tajwa Israel mankimbilia kujidai taifa la Mungu wakati si taifa la Mungu bali ni taifa la ki Jambazi linao CHUKUA ardhi zawatu TENA kwa nguvu na kwa kusaidiwa na USA kwa pesa na silaha.
Kumkataa Yesu ni pamoja na kuzikataa sifa zake ikiwemo yakufa Msalabani
Biblia inasema hivi katika kitabu cha Waebrania 9:22
Without shedding of blood there is no remission!
Nyie mnakataa kua Yesu hakufa sasa mtapata Vipi ondoleo la Dhambi?
Umejibu kitu kimoja tu Vipi Kuhusu Jina moja tu chini ya mbingu walopewa wanadamu kuokolewa kwalo?
Yesu ishafundisha kisa cha Nabii kutokukubalika kwao, Kwani ata sisi waswahili tunamsemo kua police hatishi nyumbani kwao!
Kwahiyo Waisrael kumkataa Messiah mi sioni ajabu Kwani wao walitegemea angekua mtu mkubwa sana tena Mwenye mamlaka lakini alitokea katika familia ya chini sana tena kwa Seremala!
Ata angetokea Leo Hapa Messiah wengi wangelimkataa! Na ata Leo kule Israel wako waisrael hawaamini Kama Messiah alishakuja! Wako wanamsubiri aje wanasema Yule sie!
Bora turudi kwenye mada yetu ila nilihamia huku kuweka mambo sawa kwasababu kuna Wenzako wamekua wanaandika tu wawezavo Kama wao kile wanachokiamini kiko sawa!
Lete hoja Mkuu. Israel kwa mashariki ya kati ni no 1 then Iran
 
hapa kuna vita ya kidini. Wakristo wanawasifia waizilaeri wakati waisilamu wanawasifia waarabu
ni wachache tunaoweza kutambua kitu kama hiki
 
Kumkataa Yesu ni pamoja na kuzikataa sifa zake ikiwemo yakufa Msalabani
Biblia inasema hivi katika kitabu cha Waebrania 9:22
Without shedding of blood there is no remission!
Nyie mnakataa kua Yesu hakufa sasa mtapata Vipi ondoleo la Dhambi?
Umejibu kitu kimoja tu Vipi Kuhusu Jina moja tu chini ya mbingu walopewa wanadamu kuokolewa kwalo?
Yesu ishafundisha kisa cha Nabii kutokukubalika kwao, Kwani ata sisi waswahili tunamsemo kua police hatishi nyumbani kwao!
Kwahiyo Waisrael kumkataa Messiah mi sioni ajabu Kwani wao walitegemea angekua mtu mkubwa sana tena Mwenye mamlaka lakini alitokea katika familia ya chini sana tena kwa Seremala!
Ata angetokea Leo Hapa Messiah wengi wangelimkataa! Na ata Leo kule Israel wako waisrael hawaamini Kama Messiah alishakuja! Wako wanamsubiri aje wanasema Yule sie!
Bora turudi kwenye mada yetu ila nilihamia huku kuweka mambo sawa kwasababu kuna Wenzako wamekua wanaandika tu wawezavo Kama wao kile wanachokiamini kiko sawa!
Lete hoja Mkuu. Israel kwa mashariki ya kati ni no 1 then Iran
Mkuu hivi Mungu huwa anakufa?


Turudi kwenye mada, Israel ni number one kwa kusifiwa na propoganda za western, lakini ukweli hana ubavu mbele ya Iran, tuvute siku tuone kama atasubutu kwenda Iran hata akanuse tu mpaka wa Iran.
 
Hebu nitafutieni duniani wapi wa Islam wanamkataa Yesu?

Mu Islam akimkataa Yesu ujuwe si mu Islam huyo atakuwa ana dini nyingine labda sio ya ki Islam, wacha kuzua uwongo, wa Islam wanacho kikataa ni kuwa Yesu si Mungu na Yesu hakuna sehemu kasema yeye ni Mungu.

Nyie mnao sema Israel ni taifa la Mungu wapi uliona mu Israel akamkubali kama Yesu ni Prophet au Mungu, hao hao wa Israel hakuna hata Prophet mmoja wa Mungu wamemuamini afu nashangaa mnasema ni Taifa la Mungu, hivi mna akili sawa nyie.


Siku njema wacha kuzua uwongo kama wa Islam wanamkataa Yesu, sisi tunamkubali sana tena tuna mheshimu sana kama Prophet Muhammad hatuwatofautishi kabisa, wakati taifa mnalosema la Mungu wao walitaka kumpigilia misumari Yesu tena kwenye msalaba.

Mimi naona turudi kwenye habari ya Iran na Israel ni bora kuliko kukimbila dini, mana akisha tajwa Israel mankimbilia kujidai taifa la Mungu wakati si taifa la Mungu bali ni taifa la ki Jambazi linao CHUKUA ardhi zawatu TENA kwa nguvu na kwa kusaidiwa na USA kwa pesa na silaha.



Nitakuja kuweka sawa na Hilo swala la Uungu wa Yesu muda mwingine! Maana naelewa kua hiyo ndio hoja yenu ya msingi!
 
Nitakuja kuweka sawa na Hilo swala la Uungu wa Yesu muda mwingine! Maana naelewa kua hiyo ndio hoja yenu ya msingi!
Yesu kama ni Mungu mbona anaitwa Yesu, si angeitwa Mungu tu.


Wacha kuota, hakuna kiumbe aliye muona Mungu, ikiwa Prophet Adam hajamuona Mungu, aje Yesu amuone na wakati Yesu katokea kwa Adam.

Rudi kwenye mada, usisumbuke kumiza kichwa chako Israel si taifa la Mungu wala Yesu si Mungu.
 
Wewe umesema kweli kabisa maana wengine tumejitahidi sana kuwamrikia watu waone ukweli kumbe kuna watu wamepofushwa na DINI zao,Mtoa mada yeye aliuliza swali zuri sana hakutaja Yesu wala Mtume yeyote wala Mungu hajamtaja lakini wafia DINI Wameigeuza mada hii kuwa ya Kidini acha tuangalie Kristo na Islam nani ataibuka Mshindi.
hapa kuna vita ya kidini. Wakristo wanawasifia waizilaeri wakati waisilamu wanawasifia waarabu
ni wachache tunaoweza kutambua kitu kama hiki
 
Anything can happen at the battle field kaka lakini sisi tunachoangalia katika medani za kivita ni mbinu za kukupa ushindi wa jumla. Kumbuka maana ya Yom Kippur, kwanini kipindi cha Yom Kippur alafu support from all around Arab world mwisho wa siku wote chali. Israel Shamir ni mtu mmoja kama wewe na aweza kua na mtizamo binafsi ambao hauna madhara hata kama yapo ni too late to the squad/battalion.

What did Israel get out of the Yom Kippur War?


Despite the initial successes of the Egyptian and Syrian forces, the war proved once again how effective the Israeli military could be. After the initial set-backs, the war served as a huge morale boost to Israelis. Despite a co-ordinated attack on two fronts, Israel had survived and had pushed back the nations that had initially broken through Israel’s defences.
The war served as a salutary lesson to the Arab nations that surrounded Israel in that initial victories had to be built on. The failure of the Egyptian and Syrian forces to defeat Israel pushed Sadat towards adopting a diplomatic approach.
kwahiyo wewe humuamini shamir wakati alikua frontline unaamini nani na kwa vigezo gani?
 
Wewe umesema kweli kabisa maana wengine tumejitahidi sana kuwamrikia watu waone ukweli kumbe kuna watu wamepofushwa na DINI zao,Mtoa mada yeye aliuliza swali zuri sana hakutaja Yesu wala Mtume yeyote wala Mungu hajamtaja lakini wafia DINI Wameigeuza mada hii kuwa ya Kidini acha tuangalie Kristo na Islam nani ataibuka Mshindi.

Hili halina ubishi..... ni vita kati ya Mungu wa kweli na shetwain!!! Jibu unalo
 
tuna jadili jambo ambalo hatujalifanyia utafiti au hatujasoma tatifi za watalam, israel na iran zipo kwenye mgogoro mda mrefu, tangu liundwe upya taifa la Israel,kiukweli israel ni taifa lenye nguvu za kijeshi mashariki ya kati kuliko nchi yoyote pale.ndio pekee yenye kumiliki silaha za atomic,iran ipo kwenye mchakato wa kuzitengeneza.ukirud nyuma miaka ya 67 nchi kadhaa za kiarabu ziliungana iktk vita vya kushtukiza vya kuifuta israel ktk siku ambayo wayahud wanasherekea sikukuu yao ambayo hata wanajeshi hawashili silaha.nchi hizo n jordan,Lebanon,Misri,syria,iraq,iran,tunisia na nyingnezo zilipigwa vibaya sna ndai ya siku sita zikasalimu amri,misriu ilipoteza theruf ya ardhi yake,syria mpaka leo haijarudishiwa ardhi ya milima ya goran,ndio muda umepita,mambo yamebadilika sana.lakin bado israel bado ipo mbali saa kiteknolojia kuliko iran.jaribu pia kuangalia hata kwenye rank za GFP ,israel ni ya 13 iran 16,
rudia upya orodha ya nchi zilizopigana vita vya mwaka 67,pia utilie maanani kipindi hicho hao jamaa walikua hawajakua hata na uchumi wa mafuta.

Mfano mdogo tu marekani hawawezi ruhusu mfano israel kuipiga atomic saud kwani uchumi wa marekani unategemea petrodollar,kitendo ambacho chaweza angusha uchumi wa marekani.
Israel kuishambulia iran,yataka wawe na uwezo wa kuproject power kwamaana ya kufikisha vikosi vyao iran na kuweza kusecure hiyo nchi kitu ambacho ni ngumu.ili kufika iran inabidi wavuke anga la ama irag au saud ,hadi mda huo wairan watakuwa tayari washafyatua makombora kuelekea israel.
Israel ni ndogo sana kiasi kuwa concetration ya makombora kama 1000 tu ya ballistic yanatosha kuiharibu israel.
Kwahiyo uwezekano wa kufight bila msaada wa marekani haipo.
Wanaweza kufanya surgical attack lakini hii itategemea element of suprise kuweza kupenya anga la iran ambao wana kila aina ya homemade air defence system hivyo casualt itakua so high hasa kama iran watajibu mapigo.iran ni kubwa sana,kombora hata tano za atomic hazitoshi kuiteketeza wakati israel ni ndogo sana kiasi kwamba hata cornvetional weapons zinatosha kuiharibu.
 
Hivi Israel ni wakristo.
ndivyo wenzetu wanavyoamini hivyo..mbaya zaidi waisrael wenyewe wamemkana yesu na ni marufuku kuhubiri injili huko israel.

Kitabu chao cha Talmud kinamsema yesu vibaya lakini hawa jamaa wanawaona mayahudi kama miungu kisa aya moja tu kwenya torati.
 
Yesu kama ni Mungu mbona anaitwa Yesu, si angeitwa Mungu tu.


Wacha kuota, hakuna kiumbe aliye muona Mungu, ikiwa Prophet Adam hajamuona Mungu, aje Yesu amuone na wakati Yesu katokea kwa Adam.

Rudi kwenye mada, usisumbuke kumiza kichwa chako Israel si taifa la Mungu wala Yesu si Mungu.


Rafiki Yangu umeliona jina moja tu chini ya jua wanadamu wapaswalo kuokolewa? Umeona mnavomkataa Yesu na Kifo chake?
Ntarudi kukupa majibu juu ya Mungu anakufa? Na Hilo la Uungu wa wa Yesu na Pia Mimi naongeza na jingine la Uumbaji!
Kuna habari nazifanyia kazi hizi za Hizbolah kumiliki Drone pamoja na kuirusha katika maeneo nyeti ya Israel....! Hii habari siiamini vile!
 
hapa kuna vita ya kidini. Wakristo wanawasifia waizilaeri wakati waisilamu wanawasifia waarabu
ni wachache tunaoweza kutambua kitu kama hiki

Wacha upotoshaji, Qur'an inatuambia tumeumbwa makabila na maytaifa oli tujuane tu, na hakuna mbora ila yule mchaji !
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom