ISRAEL v/s IRAN.

ISRAEL v/s IRAN.

Status
Not open for further replies.
hata ukifuatilia globofirepower report,iran wako na manowari nyingi kuzidi israel kiasi cha kupiga patrol mpaka bahari ya med,hindi,antlantic.

Israel wako na sub nne wakati iran ziko kama kumi na wanatengeza wao wenyewe.
Upande wa ndege wanazo nyingi kuzidi israel na wanatengeneza jetfighter,helcopters wakati israel mpaka wapewe na marekani.
Vifaru wanatengeneza wao wenyewe,
bila marekani kusaidia israel hawezi ndo maana netanyahu wanagombana na obama kilasiku maana obama anakataa kumsaidia israel.
Kuna vitu unasahau wewe au unaongelea mapenzi tu na Iran. Iko hivi Waisrael waliwekeza sana kwenye Elimu Na wanamainjinia wao wenyewe.
Silaha zote uzionazo Us Na ata Ufaransa wao ndio makandarasi. Bunduki yenye Ubora kabisa inayotumiwa na Askari wa Us Israel ipo.
Kuonesha manoali chache kwenye doria au nyingi kusikufanye uone kwamba Iran ni bora Israel wanalinda nchi Yao kwa dhana za nyukilia usiku na mchana zenye kuona mbali sana Na Hawa Israel wanamiliki satelite za kijasusi.
Sasa unataka uambiweje wewe?
 
Kumbe 2015 ndio wanaweza kujaribu hayo mabomu ya mabara! Sasa Hawa Waisrael wanayo ndani kabisa
Sijui nisemeje nieleweke?!
We unachekesha sana, sa Israel hata kama anayo atampiga USA?

Sababu Iran akiwa nayo atampiga USA na Nchi yoyote ya Europe umeona enhee? Israel ma adui zake wako karibu yake yani hata kama anazo hazitamsaidia zitaishia kwenye bahari hahaha.

Nilidhani naongea na mtu ana akili kumbe haunazo kabisa, kwa tarifa yako unajua sababu gani USA waliogopa kuichapa Syria mana Iran alisha sema watalaunch a massive missile strike against Israel if the United States attacks Syria.

Na USA walipo ona Iran ameisha ziweka READY HIZO MISSILE akajua sasa kumenuka Obama akajidai hawezi kwenda vitani bila kupitia congress ni kitu si cha kweli, yeye ni commender in chief. Akiamua kwenda vitani haina haja kwenda kule tena.

Kijana mtandika mengi hapa Israel hatasubutu pale Iran hata siku moja.
 
We unachekesha sana, sa Israel hata kama anayo atampiga USA?

Sababu Iran akiwa nayo atampiga USA na Nchi yoyote ya Europe umeona enhee? Israel ma adui zake wako karibu yake yani hata kama anazo hazitamsaidia zitaishia kwenye bahari hahaha.

Nilidhani naongea na mtu ana akili kumbe haunazo kabisa, kwa tarifa yako unajua sababu gani USA waliogopa kuichapa Syria mana Iran alisha sema watalaunch a massive missile strike against Israel if the United States attacks Syria.

Na USA walipo ona Iran ameisha ziweka READY HIZO MISSILE akajua sasa kumenuka Obama akajidai hawezi kwenda vitani bila kupitia congress ni kitu si cha kweli, yeye ni commender in chief. Akiamua kwenda vitani haina haja kwenda kule tena.

Kijana mtandika mengi hapa Israel hatasubutu pale Iran hata siku moja.
Alijitokeza kupinga hiyo vita dhidi ya Syria sio Iran ni Mrusi. Kumbuka kikao alichofanya John Kerry na wale wabunge.
Kiongozi wa Jeshi la Marekani aliweka wazi Matokeo ya vita yote na nini watafanya iwapo wataivamia Syria. Wanaju yote viru.
Adui wa Israel ni Syria na Iran tu Hawa waarabu wengine ni vibaraka tu.
Tusubiri tutaone Kama sio Obama basi atakaekuja ataaingia Syria.
 
Kumbe 2015 ndio wanaweza kujaribu hayo mabomu ya mabara! Sasa Hawa Waisrael wanayo ndani kabisa
Sijui nisemeje nieleweke?!
iran ni kubwa sana inaweza kuabsorb mabomu hata kumi ya nuclear,wakati israel inaweza haribiwa hata na ballistic .missile 50,

pia ujue israel wakitumia nuclear mataifa mengine hayawezi kukaa kimya.esspecially russia haiwezi ikakubali kuadhiliwa na nuclear radiation wao wakae kimya .
 
Alijitokeza kupinga hiyo vita dhidi ya Syria sio Iran ni Mrusi. Kumbuka kikao alichofanya John Kerry na wale wabunge.
Kiongozi wa Jeshi la Marekani aliweka wazi Matokeo ya vita yote na nini watafanya iwapo wataivamia Syria. Wanaju yote viru.
Adui wa Israel ni Syria na Iran tu Hawa waarabu wengine ni vibaraka tu.
Tusubiri tutaone Kama sio Obama basi atakaekuja ataaingia Syria.
sasa unadhani kwanini marekan alibackdown.

Ulikua hufuatilii ule msururu wa manowari za russia pale medditerania?.
Kwataarifa tu hata wamerekan hawatakubali israel wafyatue kombora la jericho lenye nuclear warhead.
Kama netanyau ataforce marekani watateketeza stock yote pale Demona.
 
Jee ni kweli Israel anaweza kusimama peke yake kuipiga Iran?

wataalamu wa kijeshi hata wale wa magharibi wanaamini Israel haiwezi Iran kwa wakati huu. Ndio maana hata Obama ameionya Israel isijaribu kwenda vitani peke yake. Note: neno WAKATI HUU limetumika kumaanisha kuwa mabadiliko yanaweza kutokea.
 
Naona mmeanza kuingiza uji.nga na u.puuzi wenu wa dini za mabwana zenu waarabu na wayahudi kwenye thread ya mtu.......

Niambie dini yako, imani yako, nitajua kuwa wewe si mjinga wala si mpuuzi.

Waisrael wameua Mungu, kuna mtu atakayeweza kuwatwanga hawa?

Hata bro, Max anaijua hii issue. Max, Ameamua kuwaabudu.
 
naomba urudie tena naona kama umeweka unga wa ngano kwenye maji ya ugali

Nani walia "Mungu" ? - Waisraeli
Nani alijaribu kuwaangamiza waisraeli? - Hitler

Je yupo anaeweza kuwashinda waisreli, viumbe vilivyoweza kumtesa na kumwua Mungu?

Naomba unisaidie jibu kama unalo.
 
iran ni kubwa sana inaweza kuabsorb mabomu hata kumi ya nuclear,wakati israel inaweza haribiwa hata na ballistic .missile 50,

pia ujue israel wakitumia nuclear mataifa mengine hayawezi kukaa kimya.esspecially russia haiwezi ikakubali kuadhiliwa na nuclear radiation wao wakae kimya .
Sasa mmeanza kurudi kwenye ukweli kua Israel ina silaha Kali Kama hayo manyukria.
Na Pia mmeanza kusema kua Mrusi lazima awe nyuma pale ya Muirani.
 
Kuna vitu unasahau wewe au unaongelea mapenzi tu na Iran. Iko hivi Waisrael waliwekeza sana kwenye Elimu Na wanamainjinia wao wenyewe.
Silaha zote uzionazo Us Na ata Ufaransa wao ndio makandarasi. Bunduki yenye Ubora kabisa inayotumiwa na Askari wa Us Israel ipo.
Kuonesha manoali chache kwenye doria au nyingi kusikufanye uone kwamba Iran ni bora Israel wanalinda nchi Yao kwa dhana za nyukilia usiku na mchana zenye kuona mbali sana Na Hawa Israel wanamiliki satelite za kijasusi.
Sasa unataka uambiweje wewe?
makandarasi wanashindwa nini kutengeneza ndege ama helicopter ,submarine hadi wapewe msaada toka US na ujerumani?.

Iran wanajitengenezea silaha wao wenyewe au wataka tukuwekee na picha uprove maana naona wewe hutaki kujishughulisha kutafuta infor.
 
Sasa mmeanza kurudi kwenye ukweli kua Israel ina silaha Kali Kama hayo manyukria.
Na Pia mmeanza kusema kua Mrusi lazima awe nyuma pale ya Muirani.
nuclear ni silaha ya maangamizi na wala huwezi kusifu kuwa na slaha za maangamizi ni kujua kupigana,hawa waisrael huwa wanagwaya hata kuingia gaza wanabaki kutupa makombora kwa ndege na kutoka melini hawawezi mapigano ya ana kwa ana kama wanavyopigana kule syria.mtoto wa asad alisema kweli,THEY ARE COWARD SOLDIER WITH TECHNOLOGY.

Kila wakati ikitokea mtifuano na Hamas ,karibu nusu ya waisrael huishia mahandakini,waogo kweli.
Nenda syria uone watu wanafight huku biashara zikiendelea.
Huwezi pima uwezo wa jeshi kwa nuclear,hiyo ni silaha ya maangamizi na haitumiwi ovyoovyo.
 
Niambie dini yako, imani yako, nitajua kuwa wewe si mjinga wala si mpuuzi.

Waisrael wameua Mungu, kuna mtu atakayeweza kuwatwanga hawa?

Hata bro, Max anaijua hii issue. Max, Ameamua kuwaabudu.
max kamwacha yesu anaabudu wayahudi,dah!!.

Hawa wayahudi kwenye kitabu chao cha Talmud wanamsema vibaya sana yesu.
 
Ndugu zangu kuna mengi katika vita zaidi ya hisia na ushabiki. Wanaojua vita huwa haipimi kwa mtazamo wa nje maana vita ikianza ndipo unapoweza kujua udhaifu wa adui yako na uimara wake ambao inawezekana hapo mwanzo hukuujua. Ni tofauti ya kusema Manchester itaufunga Everton ukalinganisha na vita kati ya nchi na nchi especially kwa nchi ambazo zote zina majeshi imara sio kwa statistics za mitandaoni lakini kwa mipango madhubuti na silaha za kisasa.
Kuna vita ambayo inaweza kuwa wazi kusema nani atashinda lakini hii ya Iran na Israel ni ngumu kusema. Israel haioni huo urahisi wa kuipiga Iran kama wengi mnavyofikiria lakini pia Iran haiwezi kujiingiza kwenye Vita na Israel kwa urahisi tu. War is not a Game wanajamvi!
 
Kama walichakazwa egypt, jordan na wengineo kwa siku sita basi Iran atabutuliwa kwa masaa mawili.
Mtu ndo kwanza anahangaika na bomu la nuclear la kwanza halafu apigane na mtu ambaye tayari anayo zaidi ya mia.
 
nuclear ni silaha ya maangamizi na wala huwezi kusifu kuwa na slaha za maangamizi ni kujua kupigana,hawa waisrael huwa wanagwaya hata kuingia gaza wanabaki kutupa makombora kwa ndege na kutoka melini hawawezi mapigano ya ana kwa ana kama wanavyopigana kule syria.mtoto wa asad alisema kweli,THEY ARE COWARD SOLDIER WITH TECHNOLOGY.

Kila wakati ikitokea mtifuano na Hamas ,karibu nusu ya waisrael huishia mahandakini,waogo kweli.
Nenda syria uone watu wanafight huku biashara zikiendelea.
Huwezi pima uwezo wa jeshi kwa nuclear,hiyo ni silaha ya maangamizi na haitumiwi ovyoovyo.

Naona tunabishana tu hizo vita za Syria sio Smart War ni vita Kama zile za zamani.
Waisrael kujificha kwenye mahandaki haimaanishi kua ni woga wanajua kujiokoa
Kuhusu Gaza ni Mara nyingi tu wanaingia na kuwafurumusha Hamasi.
Nishati ya Nyukilia ndio mujarabu hizo manoali baadhi zinatuma Nishati ya nyuklia na ili kurusha mabomu au makombora makubwa na mazito inaitajika Nishati ya nyuklia.
Hapo utaona Ubora wa dhana sasa.
Ujerumani na Us huko ndio kuna makandarasi wengi wa kiisrael.
 
Naona tunabishana tu hizo vita za Syria sio Smart War ni vita Kama zile za zamani.
Waisrael kujificha kwenye mahandaki haimaanishi kua ni woga wanajua kujiokoa
Kuhusu Gaza ni Mara nyingi tu wanaingia na kuwafurumusha Hamasi.
Nishati ya Nyukilia ndio mujarabu hizo manoali baadhi zinatuma Nishati ya nyuklia na ili kurusha mabomu au makombora makubwa na mazito inaitajika Nishati ya nyuklia.
Hapo utaona Ubora wa dhana sasa.
Ujerumani na Us huko ndio kuna makandarasi wengi wa kiisrael.
ili kurusha makombora mazito inahitaji nishati ya nyuklia?!!

Umetoa wapi hiyo sayansi?.
Baada ya vita kuu ya pili ya dunia marekani ikilitumia shirika lake la kijasusi kuwatoroshea wanasayansi wa kijeruman kwenda marekani(search operation paperclips).
Hakuna mkandarasi wa silaha wa kiyahudi marekani.kama kungekua na watalamu wa kiyahudi kwanini wasirudi kwao kutengeza silaha badala ya israel kutegemea silaha za msaada.
 
wataalamu wa kijeshi hata wale wa magharibi wanaamini Israel haiwezi Iran kwa wakati huu. Ndio maana hata Obama ameionya Israel isijaribu kwenda vitani peke yake. Note: neno WAKATI HUU limetumika kumaanisha kuwa mabadiliko yanaweza kutokea.

yap mabadiliko yanaweza kutokea, yawezekana baadae wakawa na uwezo wa kuwapiga au hali ikazidi kuwa ngumu zaidi na suala la kuipiga iran ikabaki kuwa ndoto,
 
Tatizo israel amekuwa akitamka nia ya kuipiga Iran tokea kitambo sana kitu ambacho kinaifanya iran kujihadhari kwa nguvu zote na kuongeza burget katika project za kijeshi na hivo ndivo nguvu yake inavozidi kukua ila vita hii ni ngumu kutabili nani atashinda
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom