Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Washia sio waarabu?Mkubwa take your time kusoma historia ya Iran kianzia mapinduzi ya 1979 then vita ya Iran na Iraq. Vile vile inaonekana hujui kuwa wa Iran sio waarabu. Swali jingine, unajua kilichowakuta waisrael kwenye ile vita na Hizbolah Lebanon? Try to find out from neutral sourses kwa nini walisitisha their ground invasion.
Uanaweza ukaniambia wakina nani nyuma katika vita ya miaka8 Kati ya Iraq na Iran?
Ungeweka wazi wewe kwanza kile Israel ilichokipata kwa Hizbolah kule Lebanoni!
Labda nikuulize unafahamu Lebanon ilipata athali gani kutokana na Ile vita?
Lengo na Israel la kwanza katika ile vita ilikua ni kumuokoa Yule Askari wa kiisrael alietekwa akiwa doria baada ya kushambuliwa na Hizbolah. Katika Hilo waisrael walifeli!
Lengo la pili lilikua ni kuwaamisha Hizbolah maeneo ya mpakani mwa Lebanon na Israel na kusambaratisha harakati za kivita dhidi ya Israel na kwa hili Israel walishinda vizuri na Kama ni mfatiliaji mzuri unaweza ukaona hakuna tena urushwaji wa maroketi kuelekea upande wa Israel.
Yale maeneo ambayo Hizbolah waliokua wanakaa kabla ya Ile vita hawawezi tena kurudi na kukaa kwa Zaidi ya miaka30. Kumetegwa mabomu ardhini ndani ya Lebanon km50 kutoka mpakani mwa Israel Na Lebanon na shuguli ya kuyategua hayo mabomu itachukua Zaidi ya miaka hiyo! Na Hizbolah kwa Sasa kutokana na kusukumwa ndani Zaidi hawana tena silaha za kuweza kurushwa na kufika ndani kabisa ya Israel! Na ndio Maana hatuoni tena haya maroketi! Labda wajipange tena na Pia ule mpaka wa Lebanon unalindwa usiku na mchana na una fensi na Askari na vifaa vya tecnology ya Hali ya juu.
Israel Ina jeshi bora kabisa tena lenye uzoefu mkubwa na vifaa vya kijeshi vya kisasa kabisa na vya technology ya Hali ya juu kabisa kwa majeshi yake yote! Ya angani na majini na nchi kavu!
National military service: hii waisrael wote lazima wapitie wakimaliza kusoma shule na vyuo kabla ya kuajiriwa na kufanya kazi. Ni mlemavu tu na taahira wa aikili ndio hawapitii hii kitu na ndio Maana linapotokea shambulio lolote, waisrael wanafahamu kujiokoa na wapi wakimbilie. Kwakifupi waisrael karibu wote ni maaskari.
Ramani ya vita tu Bado haijakaa vizuri Kwani Siku zote Marekani na Israel wanapopigana vita hawataki kabisa mazara ya vita yawaguse Raia wao! Na Siku wakikamilisha Ramani ya vita vizuri basi Iran itashambuliwa kwa nguvu sana na itajibu hayo mashambulizi kwa asilimia ndogo sana!