Eliud Barak,kias flan anaonekana ana busara sana,Lakini Benjamin Nyetanyahu kwa kauli zake zile za jana kwa kweli haoneshi kabisa kama atakuwa tayari kukubali mazungumzo yyte yale,maana anasisitiza SANCTIONS ziendelezwe zaid kwa Iran kama anaendelea na mpango wake ule wa nyhuklia,Netanyahu yeye msimamo wake ni kwamba Ahmed nijad na Rouhan wote ni wale wale tuh,wote wako loyal kwa Supreme leader ayatollah al khamenei,tofauti ni kwamba Nijad alkua chui alievaa haswa ngozi ya chui,ila Rouhan ni chui alievaa ngozi ya kondoo,kwaiyo asidhan kabisa kama jumuiya ya kimataifa itakubaliana nae,Lakin pia wachunguz na wachambuz wa habari wa kimataifa wanasema kwamba hata yeye Izrael anazo program za nyuklia tena kisiri siri na jumuiya ya kimataifa ina lifaham hilo,Kitu kilichovutia zaid ni pale balozi wa Iran kwenye U.N.G.A alipopewa nafasi na kujibu ya kwamba hakuna wa kuweza kuwapangia Iran jambo la kufanya katika mambo yao ya ndan na yanayohusu taifa lao,mpango wao wa nyuklia ni wa aman na sio wa kuzalisha WMD's kama anavosema israel,Obama inabid aliangalie hili kwa umakin sana,NETANYAHU ANA KIBURI KILICHOPITILIZA.