Israel siyo taifa teule

Israel siyo taifa teule

Wewe ni kama mtoto mwenye ushindani wa kijinga, hutaki kuelimika kwasababu tu anayekuelimisha unamchukia.

Ukijibu swali hili utakuwa tayari umeshajua Uyahudi ni nini.

Swali; Wanaomtaja Allah kwa wingi ndani ya Sinagogi ni akina nani???, tunajua wanaomtaja Allah katika msikiti ni Waisilamu na wanaomtaja Allah kanisani ni Wakristo na hii ni kwa mujibu wa Qur'an kwamba ndani ya nyumba hizo Allah anatajwa kwa wingi.
Nasubiri majibu ya maswali yangu.

Unarudia kile kila pasi na ushahidi.

Umemzulia nabii Musa kwamba ameleta Uyahudi,hujanipa ushahidi.
 
Nasubiri majibu ya maswali yangu.

Unarudia kile kila pasi na ushahidi.

Umemzulia nabii Musa kwamba ameleta Uyahudi,hujanipa ushahidi.


Angalia hoja hii:-

TUNAWAJUA WANAOMTAJA ALLAH KWA WINGI HUMO MISITINI NA MAKANISANI, JE WANAOMTAJA ALLAH KWA WINGI NDANI YA MASINAGOGI NI WATU GANI ???!! ( the case is dismissed walonga bazungu 🤣).

Katika kujibu swali hilo ndipo utakuwa umeishajijibu mwenyewe maswali yako.

Na kamwe hutotaka kujibu hilo swali kwasababu ujinga wako wa kung'ang'ania kwamba UYAHUDI NI UKAFIRI utabainika.
 
Angalia hoja hii:-

TUNAWAJUA WANAOMTAJA ALLAH KWA WINGI HUMO MISITINI NA MAKANISANI, JE WANAOMTAJA ALLAH KWA WINGI NDANI YA MASINAGOGI NI WATU GANI ???!! ( the case is dismissed walonga bazungu 🤣).

Katika kujibu swali hilo ndipo utakuwa umeishajijibu mwenyewe maswali yako.

Na kamwe hutotaka kujibu hilo swali kwasababu ujinga wako wa kung'ang'ania kwamba UYAHUDI NI UKAFIRI utabainika.
Nasubiri majibu ya maswali yangu.
 
Nasubiri majibu ya maswali yangu.


Majibu ya maswali yako yapo kwenye swali hili :--

Wanaotaja kwa wingi jina la Allah ndani ya MASINAGOGI wanaitwaje???

Ukishajibu swali hili wala hutohitaji mimi nijibu chochote.

Kwani utakapojua hao ni akina nani basi utajua hao ni Wafuasi wa nani, wanafuata kitabu gani, je wanachofuata ni ukafiri ??? nk,--- so simple indeed.

Na hapo hapo utajiuliza je hao watu wanawezaje kuwa wanafuata UKAFIRI wakati Allah anawatambua kwamba wao humo Sinagogini huwa wanalitaja kwa wingi Jina lake!!

Qur'an ni kitabu cha watu wanaotumia akili sana. A falaa taakiluun??🤣

Na ukome kukufurisha watu hovyo.
 
ISRAEL SIO TAIFA TEULE

Natumaini mu wazima wote.

Leo tena natumia haki yangu ya kikatiba kutoa maoni yangu kwenye mambo mbalimbali. Leo nyundo yangu itagonga kwenye hii kauli kwamba Israel ni taifa teule na atakayeilaani Israel naye atalaaniwa pia atakaeibariki naye atabarikiwa. Ila kwanza nitoe pongezi zangu kwa Mama Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa nchi yetu. Ninafurahishwa pia kwa hatua kadhaa anazochukua ili kuweka mambo sawa. Kumsimamisha kazi fedhuli Sabaya ni jambo lililonifurahisha kuliko yote yaliyowahi kufanywa na marais wa nchi hii.

Ndugu Sabaya ni mfano halisi wa mtu katili.. wengi wetu ni wahanga wa ukatili wake. Kwa asiyeelewa vizuri kiwango cha ukatili wa Sabaya akatazame movie ya Idd Amin ili kujua kiasi cha ukatili kwasababu hakipishani sana na kina Idd Amin na Malyamungu. Lakini sijafurahi Mheshimiwa Polepole kutolewa kwenye uenezi CCM. Ali-fit sana pale. Anyway, CCM ni kubwa kuliko mtu. Kidumu chama cha mapinduzi! Zidumu fikra za mwenyekiti.

"ISRAEL NI TAIFA TEULE" ni kauli maarufu sana kwenye vinywa vya waumini wengi wa dini ya kikristo. Mimi ni mkristo na ninaamini katika biblia na pia naamini Yesu Kristo ndo masihi aliyetumwa afe kwa ajili yetu tupate kuokoka. Lakini ninapinga kwa nguvu zote kwamba Israel ni taifa teule kwamba atakayalilaani atalaaniwa na atakayelibariki atabarikiwa. Kwangu mimi ni upumbavu uliotukuka kuamini hivyo. Msingi wa hoja ya wakristo wengi katika hili upo kwenye biblia kitabu cha Mwanzo.

Kuna wakati Mungu alimbariki Ibrahim na Yakobo (Israel) na kuwaahidi atabariki hadi vizazi vyao. Hili ni sawa kwasababu Mungu ni mwema na mwenye upendo na hubariki watu wake. Kila binadamu anapozaliwa hupata zawadi ya kipaji fulani kutoka kwa Mungu. Kila mmoja wetu ana kipaji chake. Na ukimcha Mungu hukupa zawadi nyingi zaidi. Kwa kusema hivyo ni kwamba Yakobo ambaye baada ya kupata baraka zake alibadilishwa jina na kuitwa Israel alipata baraka zake kama ilivyo binadamu wote.

Pamoja na baraka za Mungu bado haitufanyi tuwe wateule na wengine wasiwe wateule. Mungu hutupa baraka zake bila kujali kama tutakuja kukiuka maagizo yake au la. Kwahiyo nje ya baraka kuna maisha mengine yanaendelea. Waisrael hawana uteule wowote ni kama walivyo watanzania, wacongo au taifa lolote lile. Ninaandika haya kwa uchungu mno kwasababu ya matendo maovu wanayoyafanya dhidi ya wapalestina halafu mpuuzi mmoja anatetea kwa kusema ni taifa teule.

Hawa viumbe hawana uteule wowote ule. Kwanza kihistoria ni watu wa kutangatanga sana matokeo yake wakajikuta "hawana kwao". Biblia inaonyesha kwamba baba wa Israel aliyekuwa akijulikana kama Yakobo mwanzoni alitenda dhambi ya uongo kwa kuchukua baraka za mzaliwa wa kwanza kihuni ambapo baada ya lile tukio huyu mtu alikuwa wa kutangatanga hadi leo hii. Na kama Israel ni taifa teule ikawaje wakaachwa watawaliwe na warumi na hata karne iliyopita walichomwa moto kikatili na Adolf Hitler. Nimalizie kwa kusema kwamba kinachoendelea GAZA ni ushetani uliovuka mipaka yote ya kistaarabu na wa kulaaniwa.

Haiwezekani wapumbavu fulani katika kivuli cha ukristo wakawa na utetezi dhaifu kwamba taifa teule lina haki ya kuua watu kama nzige kisa mwasisi wao kuna kipindi alibarikiwa. Mungu wetu ni wa upendo na asihusishwe na unyama unaofanywa na wayahudi. Pia wakristo wenye kiherehere cha kuwatetea wayahudi watambue hao ndo walimuua Yesu kikatili.

Pilato aliyekuwa hakimu alitaka kutumia nafasi ya kusamehe mfungwa mmoja ili Yesu asalimike ila hao "Taifa teule" wakaona bora jambazi Baraba aachiwe ili Yesu asulubiwe. Na "taifa teule" sio wakristo hivyo hata wenyewe wanashangaa baadhi yetu tunavyoshoboka.
Mkuu mbona unajichanganya.
Unaongelea israel. Mara unamuweka sabaya. .
Mara unaamini biblia na yesu kristu, na unaamini waisrael. Mara tena ghafla huamini kauli za waisrael tukueleweje mkuu
 
Mkuu mbona unajichanganya.
Unaongelea israel. Mara unamuweka sabaya. .
Mara unaamini biblia na yesu kristu, na unaamini waisrael. Mara tena ghafla huamini kauli za waisrael tukueleweje mkuu
Hata darasani kuna wale slow learner. Nakushauri kama mpe mtu wa karibu yako simu asome halafu akueleweshe.
 
Hao wamebarikiwa full stop. Wako kwenye mikono ya Mungu. Leo unaweza kuona wanateseka lakini ni Mungu anataka wainue macho juu wamwangalie kwa ajili ya ukombozi wao.
 
ISRAEL SIO TAIFA TEULE

Natumaini mu wazima wote.

Leo tena natumia haki yangu ya kikatiba kutoa maoni yangu kwenye mambo mbalimbali. Leo nyundo yangu itagonga kwenye hii kauli kwamba Israel ni taifa teule na atakayeilaani Israel naye atalaaniwa pia atakaeibariki naye atabarikiwa. Ila kwanza nitoe pongezi zangu kwa Mama Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa nchi yetu. Ninafurahishwa pia kwa hatua kadhaa anazochukua ili kuweka mambo sawa. Kumsimamisha kazi fedhuli Sabaya ni jambo lililonifurahisha kuliko yote yaliyowahi kufanywa na marais wa nchi hii.

Ndugu Sabaya ni mfano halisi wa mtu katili.. wengi wetu ni wahanga wa ukatili wake. Kwa asiyeelewa vizuri kiwango cha ukatili wa Sabaya akatazame movie ya Idd Amin ili kujua kiasi cha ukatili kwasababu hakipishani sana na kina Idd Amin na Malyamungu. Lakini sijafurahi Mheshimiwa Polepole kutolewa kwenye uenezi CCM. Ali-fit sana pale. Anyway, CCM ni kubwa kuliko mtu. Kidumu chama cha mapinduzi! Zidumu fikra za mwenyekiti.

"ISRAEL NI TAIFA TEULE" ni kauli maarufu sana kwenye vinywa vya waumini wengi wa dini ya kikristo. Mimi ni mkristo na ninaamini katika biblia na pia naamini Yesu Kristo ndo masihi aliyetumwa afe kwa ajili yetu tupate kuokoka. Lakini ninapinga kwa nguvu zote kwamba Israel ni taifa teule kwamba atakayalilaani atalaaniwa na atakayelibariki atabarikiwa. Kwangu mimi ni upumbavu uliotukuka kuamini hivyo. Msingi wa hoja ya wakristo wengi katika hili upo kwenye biblia kitabu cha Mwanzo.

Kuna wakati Mungu alimbariki Ibrahim na Yakobo (Israel) na kuwaahidi atabariki hadi vizazi vyao. Hili ni sawa kwasababu Mungu ni mwema na mwenye upendo na hubariki watu wake. Kila binadamu anapozaliwa hupata zawadi ya kipaji fulani kutoka kwa Mungu. Kila mmoja wetu ana kipaji chake. Na ukimcha Mungu hukupa zawadi nyingi zaidi. Kwa kusema hivyo ni kwamba Yakobo ambaye baada ya kupata baraka zake alibadilishwa jina na kuitwa Israel alipata baraka zake kama ilivyo binadamu wote.

Pamoja na baraka za Mungu bado haitufanyi tuwe wateule na wengine wasiwe wateule. Mungu hutupa baraka zake bila kujali kama tutakuja kukiuka maagizo yake au la. Kwahiyo nje ya baraka kuna maisha mengine yanaendelea. Waisrael hawana uteule wowote ni kama walivyo watanzania, wacongo au taifa lolote lile. Ninaandika haya kwa uchungu mno kwasababu ya matendo maovu wanayoyafanya dhidi ya wapalestina halafu mpuuzi mmoja anatetea kwa kusema ni taifa teule.

Hawa viumbe hawana uteule wowote ule. Kwanza kihistoria ni watu wa kutangatanga sana matokeo yake wakajikuta "hawana kwao". Biblia inaonyesha kwamba baba wa Israel aliyekuwa akijulikana kama Yakobo mwanzoni alitenda dhambi ya uongo kwa kuchukua baraka za mzaliwa wa kwanza kihuni ambapo baada ya lile tukio huyu mtu alikuwa wa kutangatanga hadi leo hii. Na kama Israel ni taifa teule ikawaje wakaachwa watawaliwe na warumi na hata karne iliyopita walichomwa moto kikatili na Adolf Hitler. Nimalizie kwa kusema kwamba kinachoendelea GAZA ni ushetani uliovuka mipaka yote ya kistaarabu na wa kulaaniwa.

Haiwezekani wapumbavu fulani katika kivuli cha ukristo wakawa na utetezi dhaifu kwamba taifa teule lina haki ya kuua watu kama nzige kisa mwasisi wao kuna kipindi alibarikiwa. Mungu wetu ni wa upendo na asihusishwe na unyama unaofanywa na wayahudi. Pia wakristo wenye kiherehere cha kuwatetea wayahudi watambue hao ndo walimuua Yesu kikatili.

Pilato aliyekuwa hakimu alitaka kutumia nafasi ya kusamehe mfungwa mmoja ili Yesu asalimike ila hao "Taifa teule" wakaona bora jambazi Baraba aachiwe ili Yesu asulubiwe. Na "taifa teule" sio wakristo hivyo hata wenyewe wanashangaa baadhi yetu tunavyoshoboka.
watu wengi hawasomi biblia a kuielewa dio maana ukisema taifa la israeli ya leo sio teule kama iliokua mwanzo wanruka maili mia tatu ila ukweli ni kwamba waisraeli hata yesu mwenyewe alisha sema katika biblia kwamba wao wameshamkaidi mungu kwa hiyo dunia nzima leo i teule sio wao peke yao..lakini watu wanaenda kanisani kusikiliza maudhui ya mapastor bila hata kufikiria
 
Majibu ya maswali yako yapo kwenye swali hili :--

Wanaotaja kwa wingi jina la Allah ndani ya MASINAGOGI wanaitwaje???

Ukishajibu swali hili wala hutohitaji mimi nijibu chochote.

Kwani utakapojua hao ni akina nani basi utajua hao ni Wafuasi wa nani, wanafuata kitabu gani, je wanachofuata ni ukafiri ??? nk,--- so simple indeed.

Na hapo hapo utajiuliza je hao watu wanawezaje kuwa wanafuata UKAFIRI wakati Allah anawatambua kwamba wao humo Sinagogini huwa wanalitaja kwa wingi Jina lake!!

Qur'an ni kitabu cha watu wanaotumia akili sana. A falaa taakiluun??🤣

Na ukome kukufurisha watu hovyo.
Nasubiri majibu ya maswali yangu. Hapa mpaka ukiri.
 
Nasubiri majibu ya maswali yangu. Hapa mpaka ukiri.



Katika hizi aya kuna majibu ya maswali yako na hapa HUCHOMOKI:-

1-----Hakika WAAMINIO na MAYAHUDI na WAKRISTO na WASABII, YEYOTE miongoni MWAO atakayemuamini Allah na SIKU YA MWISHO na KUFANYA VITENDO VIZURI basi WATAPATA UJIRA WAO KWA MOLA WAO wala haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika. ( 2:62) Qur'an .

2 " -----Na lau kama Allah hawakingi watu kwa watu, basi hapana shaka ZINGALIVUNJWA NYUMBA ZA WATAWA NA MAKANISA na MASINAGOGI na MISIKITI ambamo ndani yake JINA LA ALLAH linatajwa KWA WINGI" (22:40) Qur'an .


Je humo kwenye Masinagogi ni watu gani hutaja KWA WINGI jina la ALLAH????---- tunajua Watu wanaotaja jina la Allah kwa wingi ndani ya MAKANISA na MISIKITINI,

Lengo langu utanabahi na uache kuropoka TAKFIR zako za hovyo pale unapojisikia. Unajifanya wewe ndiye Mtume wa TAKFIR uliyetumwa na Allah kufanya kazi hiyo!!! 🤣

Tena wewe nimeishakujua kwa aina ya ubishi wako kwani unazo ID zaidi ya moja humu ndani.
 
watu wengi hawasomi biblia a kuielewa dio maana ukisema taifa la israeli ya leo sio teule kama iliokua mwanzo wanruka maili mia tatu ila ukweli ni kwamba waisraeli hata yesu mwenyewe alisha sema katika biblia kwamba wao wameshamkaidi mungu kwa hiyo dunia nzima leo i teule sio wao peke yao..lakini watu wanaenda kanisani kusikiliza maudhui ya mapastor bila hata kufikiria
Kwahiyo wew unaakili sana kuliko wao kijana , quran imekuja miaka800 baada ya ukiristo je hao Wayahudi walioyajwa walikuwa wanakaa wapi kabda ya quran kukuingiza cha kike
 
Kwahiyo wew unaakili sana kuliko wao kijana , quran imekuja miaka800 baada ya ukiristo je hao Wayahudi walioyajwa walikuwa wanakaa wapi kabda ya quran kukuingiza cha kike
mi habari za quran nazijuaje na huku mi mkristo nilichosema nimesoma kwenye bible kitu amabacho inabidi usome pia
 
Je humo kwenye Masinagogi ni watu gani hutaja KWA WINGI jina la ALLAH????---- tunajua Watu wanaotaja jina la Allah kwa wingi ndani ya MAKANISA na MISIKITINI,

Lengo langu utanabahi na uache kuropoka TAKFIR zako za hovyo pale unapojisikia. Unajifanya wewe ndiye Mtume wa TAKFIR uliyetumwa na Allah kufanya kazi hiyo!!! 🤣

Tena wewe nimeishakujua kwa aina ya ubishi wako kwani unazo ID zaidi ya moja humu ndani.
Unajua bado najiuliza kwanini hujibu maswali yangu ? Kwanini huonyeshi ya kuwa Mayahudi ni dini gani yaani huonyeshi kwanini mayahudi si makafiri.

Aya ya juu inaonyesha ya wazi ya kuwa Uyahudi na Ukristo ni Ukafiri ndiyo maana Allah akasema sharti la wao kupata ujira ni lazima waamini na watende wema,sasa kama Uyahudi si ukafiri kwanini Allah awape sharti la kuamini na kutenda wema ? Mwanzoni mwa aya Allah ameanza na Waumini ambao ni Waislamu yaani Waislamu tayari wameamini ndiyo maana hakuna sharti hilo.

Lakini kadhalika aya ya pili inatilia mkazo sababu majumba hayo yalikuwa yanatumika kwa ajili ya ibada kwa wale walio amini katika Mayahudi na Wakristo.

Kwahiyo aya hizo bado ziko dhidi yako sababu zimejikita katika kuamini,na simefafanua ya kuwa dini hizo mbili ni Ukafiri na ni Ushirikina,ndiyo maana kuna sharti la kuamini na kutenda mema.

Sasa nakuuliza swali tena hao wamepewa sharti la kuamini nini ? Je kuamini ya kuwa Uzair ni mtoto wa Allah au Issa ni mwana wa Mungu au Utatu mtakatifu ?

Sasa nasema hivi mpaka unakufa hata Gulamu mwenyewe Allah amlaani hakuweza kuthibitisha ya Uyahudi si Ukafiri.

Nakuongezea tena Swali,Ukristo ni dini aliyo ileta nani ?

Sasa sitakujibu tena mpaka utakapo fanya haya yafuatayo :

1. Nataka uthibitisho wa kuonyesha ya kuwa Uyahudi si Ukafiri.

2. Uyahudi ni dini,lakini je ni ile ambayo Allah ameiridhia ? Kama Uyahudi si ukafiri uniambie ni nini ? Sababu katika sura ya 5 aya ya 3. Allah amesema wazi kabisa ya kuwa Dini ya kweli mbele yake ni Uislamu.

3. Maana yake kama Uyahudi si Ukafiri naana yake ni Uislamu. Je wapi ushahidi juu ya hili ?

4. Ulidai ya kuwa nabii Musa alileta Uyahudi. Weka ushahidi huo.

5. Thibitisha ya kuwa kipindi cha nabii Musa uyahudi ulikiwepo.

6. Nini maana ya Uyahudi ?

7.Ukafiri ni nini ?

Nimemaliza,silei ujinga.
 
Unajua bado najiuliza kwanini hujibu maswali yangu ? Kwanini huonyeshi ya kuwa Mayahudi ni dini gani yaani huonyeshi kwanini mayahudi si makafiri.

Aya ya juu inaonyesha ya wazi ya kuwa Uyahudi na Ukristo ni Ukafiri ndiyo maana Allah akasema sharti la wao kupata ujira ni lazima waamini na watende wema,sasa kama Uyahudi si ukafiri kwanini Allah awape sharti la kuamini na kutenda wema ? Mwanzoni mwa aya Allah ameanza na Waumini ambao ni Waislamu yaani Waislamu tayari wameamini ndiyo maana hakuna sharti hilo.

Lakini kadhalika aya ya pili inatilia mkazo sababu majumba hayo yalikuwa yanatumika kwa ajili ya ibada kwa wale walio amini katika Mayahudi na Wakristo.

Kwahiyo aya hizo bado ziko dhidi yako sababu zimejikita katika kuamini,na simefafanua ya kuwa dini hizo mbili ni Ukafiri na ni Ushirikina,ndiyo maana kuna sharti la kuamini na kutenda mema.

Sasa nakuuliza swali tena hao wamepewa sharti la kuamini nini ? Je kuamini ya kuwa Uzair ni mtoto wa Allah au Issa ni mwana wa Mungu au Utatu mtakatifu ?

Sasa nasema hivi mpaka unakufa hata Gulamu mwenyewe Allah amlaani hakuweza kuthibitisha ya Uyahudi si Ukafiri.

Nakuongezea tena Swali,Ukristo ni dini aliyo ileta nani ?

Sasa sitakujibu tena mpaka utakapo fanya haya yafuatayo :

1. Nataka uthibitisho wa kuonyesha ya kuwa Uyahudi si Ukafiri.

2. Uyahudi ni dini,lakini je ni ile ambayo Allah ameiridhia ? Kama Uyahudi si ukafiri uniambie ni nini ? Sababu katika sura ya 5 aya ya 3. Allah amesema wazi kabisa ya kuwa Dini ya kweli mbele yake ni Uislamu.

3. Maana yake kama Uyahudi si Ukafiri naana yake ni Uislamu. Je wapi ushahidi juu ya hili ?

4. Ulidai ya kuwa nabii Musa alileta Uyahudi. Weka ushahidi huo.

5. Thibitisha ya kuwa kipindi cha nabii Musa uyahudi ulikiwepo.

6. Nini maana ya Uyahudi ?

7.Ukafiri ni nini ?

Nimemaliza,silei ujinga.



Maswali yako yote yamejengeka katika msingi kwamba Uyahudi na Ukristo na Usabii sio dini, mimi ninakuambia hizo ni dini tena dini hizo zimekuwepo hata kabla ya Uisilamu huu uliojengwa katika nguzo tano, na ndio maana Allah akatenganisha; Waumini, Wayahudi, Wakristo, Wasabii. Kama makundi yote hayo wangalikuwa ni Waisilamu wa nguzo tano basi lingetumika neno moja tu la WAUMINI, kama jinsi leo mtu akisilimu huwa haitwi kwa dini au kabila lake alikotokea bali ataitwa Muumini au Muisilamu tu.

Wayahudi na Wakristo ndio Wanaitwa kwa ujumla wao "Watu wa kitabu" na wamekuwa wakiabudu ndani ya Makanisa na masinagogi hata kabla Uisilamu huu wa nguzo tano haujafika.


Angalia hii aya:-

Wao wote si sawa . Katika watu wa kitabu wamo watu wanaosimama wakasoma aya za Allah nyakati za usiku na pia wakasujudu.

Wanaamini Allah na siku ya mwisho na wanaamrisha mema na wanakataza maovu na wanaharakia mambo mema; na hao ndio miongoni mwa watendao mema.

(3:113-114) Qur'an .

Hao watu wa kitabu ndio hao wanaomtaja Allah kwa wingi katika majumba yao ya ibada Masinagogi na makanisa, (ingawa leo hii kuwapata ni shida sana kwani wameishaingia kwenye imani za kishirikina na maandiko yao yameshatiwa mikono), lakini Misingi ya dini zao iliyokuwepo hapo kabla ilikuwa ni misingi ya haki na ndio hiyo misingi Allah anaizungumzia kuhusu hizo dini.

Isitoshe Allah katika (22:67) anasema:-

Kila ummati TUMEWAJALIA kawaida ya ibada wanayoishikilia----.


Sasa inatakiwa usome hizo aya zote kwa pamoja na utafakari sio KUKURUPUKA tu na Kukufurisha dini au watu hovyo!!!---- unakuwa kama "Nabii mkufurishaji"??!.
 
Maswali yako yote yamejengeka katika msingi kwamba Uyahudi na Ukristo na Usabii sio dini, mimi ninakuambia hizo ni dini tena dini hizo zimekuwepo hata kabla ya Uisilamu huu uliojengwa katika nguzo tano, na ndio maana Allah akatenganisha; Waumini, Wayahudi, Wakristo, Wasabii. Kama makundi yote hayo wangalikuwa ni Waisilamu wa nguzo tano basi lingetumika neno moja tu la WAUMINI, kama jinsi leo mtu akisilimu huwa haitwi kwa dini au kabila lake alikotokea bali ataitwa Muumini au Muisilamu tu.

Wayahudi na Wakristo ndio Wanaitwa kwa ujumla wao "Watu wa kitabu" na wamekuwa wakiabudu ndani ya Makanisa na masinagogi hata kabla Uisilamu huu wa nguzo tano haujafika.


Angalia hii aya:-

Wao wote si sawa . Katika watu wa kitabu wamo watu wanaosimama wakasoma aya za Allah nyakati za usiku na pia wakasujudu.

Wanaamini Allah na siku ya mwisho na wanaamrisha mema na wanakataza maovu na wanaharakia mambo mema; na hao ndio miongoni mwa watendao mema.

(3:113-114) Qur'an .

Hao watu wa kitabu ndio hao wanaomtaja Allah kwa wingi katika majumba yao ya ibada Masinagogi na makanisa, (ingawa leo hii kuwapata ni shida sana kwani wameishaingia kwenye imani za kishirikina na maandiko yao yameshatiwa mikono), lakini Misingi ya dini zao iliyokuwepo hapo kabla ilikuwa ni misingi ya haki na ndio hiyo misingi Allah anaizungumzia kuhusu hizo dini.

Isitoshe Allah katika (22:67) anasema:-

Kila ummati TUMEWAJALIA kawaida ya ibada wanayoishikilia----.


Sasa inatakiwa usome hizo aya zote kwa pamoja na utafakari sio KUKURUPUKA tu na Kukufurisha dini au watu hovyo!!!---- unakuwa kama "Nabii mkufurishaji"??!.
Jibu maswali niliyo kuuliza. Hakuna sehemu niliyo sema UYAHUDI si dini na Ukristo kwamba si dini. Hizi zote ni Dini,ila unaposema kwamba si Ukafiri ndiyo unatakiwa ulete ushahidi.

JIBU MASWALI NILIYO KUULIZA.
 
Jibu maswali niliyo kuuliza. Hakuna sehemu niliyo sema UYAHUDI si dini na Ukristo kwamba si dini. Hizi zote ni Dini,ila unaposema kwamba si Ukafiri ndiyo unatakiwa ulete ushahidi.

JIBU MASWALI NILIYO KUULIZA.


Haya na wewe jibu: Wanaolitaja kwa wingi jina la Allah ndani ya Sinagogi ni watu gani??

jibu swali langu.
 
Wao wote si sawa . Katika watu wa kitabu wamo watu wanaosimama wakasoma aya za Allah nyakati za usiku na pia wakasujudu.

Wanaamini Allah na siku ya mwisho na wanaamrisha mema na wanakataza maovu na wanaharakia mambo mema; na hao ndio miongoni mwa watendao mema.

(3:113-114) Qur'an .
Hili liko wazi na hao si Wayahudi kidini wala si Wakristo kidini bali wanafata mafundisho sahihi ya mitume,na hawa kiistilahi huitwa "Hawariyuuni", yaani wale watu wote ambao waliwatii mitume wao na kuwafata hawa watalipwa pepo yaani kwa ujumla nao ni Waislamu. Hakuna mtume ambaye hakuwa Muislamu. Na kila mtume alikuwa na "Hawariyuun" wake kama alivyosema Shaykh Swaleh al Fawzaaniy (Allah amuhifadhi).

Ndiyo maana nataka ujibu maswali yangu.

Aya hiyo ni sawa na aya hii katika Qur'aan. Anasema Allah aliye juu :

78. Walilaaniwa walio kufuru miongoni mwa Wana wa Israili kwa ulimi wa Daud na wa Isa mwana wa Maryamu. Hayo ni kwa sababu waliasi na wakawa wanapindukia mipaka. (al-Maaidah : 78).

Hapa utaniambia hao walio kufuru ni kina nani katika Wana wa Israeli ?

Ama kuhusu aya ya 67 katika sura ya 22.

67. Kila umma tumewajaalia na ibada zao wanazo zishika. Basi wasizozane nawe katika jambo hili. Na waite watu kwendea kwa Mola wako Mlezi. Hakika wewe uko kwenye Uwongofu Ulio Nyooka. (al Hajj : 67)

Hili liko wazi kila nabii alipewa namna yake ya kuabudu na sheria zake ila wote walikuwa na imani moja yaani Waislamu. Watu wa nabii Musa walikuwa wanasali kwa siku mara mbili na sala zao ilikuwa ni rakaa mbili mbili,kadhalika ilikuwa nguo ikapata najisi basi ili kuitoa najisi lazima ukate kile kipande kilicho patwa na najisi hiyo,lakini sheria ya Mtume wetu ni tofauti na hiyo. Kwahiyo hili ni jambo maarufu.

36. Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani. Basi kati yao wapo alio waongoa MwenyeziMungu. Na kati yao wapo ambao ulio wathibitikia upotovu. Basi tembeeni katika ardhi, muangalie ulikuwaje mwisho wa wanao kanusha. (an Nahl : 36).

Aya hii inathibitisha ya kuwa mitume wote itikadi yao ni moja.

Kwahiyo bado hujajibu swali hata moja.
 
Haya na wewe jibu: Wanaolitaja kwa wingi jina la Allah ndani ya Sinagogi ni watu gani??

jibu swali langu.
Hili nilishalijbu tangu zamani,laiti kama ungekuwa mtu wa kuelewa na kufata haki hii kadhia ingekuwa imeshapita. Ni wale ambao wameamini katika Mayahudi.
 
Hao wamebarikiwa full stop. Wako kwenye mikono ya Mungu. Leo unaweza kuona wanateseka lakini ni Mungu anataka wainue macho juu wamwangalie kwa ajili ya ukombozi wao.
Kwahiyo wewe umeumbwa ukiwa na laana? Msimsingizie Mungu ushuzi mnaoambiwa na wachungaji. Israel ni taifa kama taifa lingine. Hakuna cha uteule wala shangazi yake uteule. Biblia imeandika kwamba Mungu hawezi kuacha mwenye haki ateseke. Soma Zaburi 23. Wateule wanaoteseka sio wateule wa Mungu bali wa shetani.
 
Back
Top Bottom