Je humo kwenye Masinagogi ni watu gani hutaja KWA WINGI jina la ALLAH????---- tunajua Watu wanaotaja jina la Allah kwa wingi ndani ya MAKANISA na MISIKITINI,
Lengo langu utanabahi na uache kuropoka TAKFIR zako za hovyo pale unapojisikia. Unajifanya wewe ndiye Mtume wa TAKFIR uliyetumwa na Allah kufanya kazi hiyo!!! 🤣
Tena wewe nimeishakujua kwa aina ya ubishi wako kwani unazo ID zaidi ya moja humu ndani.
Unajua bado najiuliza kwanini hujibu maswali yangu ? Kwanini huonyeshi ya kuwa Mayahudi ni dini gani yaani huonyeshi kwanini mayahudi si makafiri.
Aya ya juu inaonyesha ya wazi ya kuwa Uyahudi na Ukristo ni Ukafiri ndiyo maana Allah akasema sharti la wao kupata ujira ni lazima waamini na watende wema,sasa kama Uyahudi si ukafiri kwanini Allah awape sharti la kuamini na kutenda wema ? Mwanzoni mwa aya Allah ameanza na Waumini ambao ni Waislamu yaani Waislamu tayari wameamini ndiyo maana hakuna sharti hilo.
Lakini kadhalika aya ya pili inatilia mkazo sababu majumba hayo yalikuwa yanatumika kwa ajili ya ibada kwa wale walio amini katika Mayahudi na Wakristo.
Kwahiyo aya hizo bado ziko dhidi yako sababu zimejikita katika kuamini,na simefafanua ya kuwa dini hizo mbili ni Ukafiri na ni Ushirikina,ndiyo maana kuna sharti la kuamini na kutenda mema.
Sasa nakuuliza swali tena hao wamepewa sharti la kuamini nini ? Je kuamini ya kuwa Uzair ni mtoto wa Allah au Issa ni mwana wa Mungu au Utatu mtakatifu ?
Sasa nasema hivi mpaka unakufa hata Gulamu mwenyewe Allah amlaani hakuweza kuthibitisha ya Uyahudi si Ukafiri.
Nakuongezea tena Swali,Ukristo ni dini aliyo ileta nani ?
Sasa sitakujibu tena mpaka utakapo fanya haya yafuatayo :
1. Nataka uthibitisho wa kuonyesha ya kuwa Uyahudi si Ukafiri.
2. Uyahudi ni dini,lakini je ni ile ambayo Allah ameiridhia ? Kama Uyahudi si ukafiri uniambie ni nini ? Sababu katika sura ya 5 aya ya 3. Allah amesema wazi kabisa ya kuwa Dini ya kweli mbele yake ni Uislamu.
3. Maana yake kama Uyahudi si Ukafiri naana yake ni Uislamu. Je wapi ushahidi juu ya hili ?
4. Ulidai ya kuwa nabii Musa alileta Uyahudi. Weka ushahidi huo.
5. Thibitisha ya kuwa kipindi cha nabii Musa uyahudi ulikiwepo.
6. Nini maana ya Uyahudi ?
7.Ukafiri ni nini ?
Nimemaliza,silei ujinga.