Palestine Will be free
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,990
- 6,618
Dini ya mizimu na kumuabudu Murungu
So wako sahihi hao mababu zako?
Dini ya mizimu na kumuabudu Murungu
Ndio. Ndo maana walikuwa wanaomba mvua na zinanyesha nkSo wako sahihi hao mababu zako?
Ndio. Ndo maana walikuwa wanaomba mvua na zinanyesha nk
Kwani Iraq Kuna nchi ngapi mpaka ushadadie? Kwahiyo ukisikia kusini ya iraq au Iraq ya kusini, hapo key word ni kusini. Hakuna Iraq mbili. Wenye akili walishaelewa haraka
Kama ulivyopotea kuwaamini wazunguWewe na mababu zako mmepotea
Jambo la msingi unajua Iraq ni moja na haipo sawa na Korea. Point taken!Wewe umekosea wala usijifanye mjuvi kumbe huku umjinga.
Unaposema Iraq kusini maana yake ni sawa na kusema Korea kusini au Sudani kusini, ikiwa na maana kwamba kuna Korea kaskazini na Sudani ya kaskazini (Sudani ya Khartoum), yaani kunakuwepo na nchi mbili tofauti zenye jina moja ila zipo katika pande tofauti.
Kubali tu kwamba ulikosea na ulikuwa unataka kusema "kusini ya Iraq/ southern Iraq" na sio "Iraq kusini/South Iraq".
Mbona mimi nilikubali kuwa Ur ya kardayo ilikuwepo Iraq ya kale (Mesopotamia) na sio Uturuki kama nilivyokosea kuandika.
Na pia ujifunze kuwa kuna kukosoa na kukosolewa, usipende kukosoa wenzako na unapokosolewa unafura kama Cobra kwa hasira.🐍🤣
Jambo la msingi unajua Iraq ni moja na haipo sawa na Korea. Point taken!
Kuna Jambo watu wengi hawajui kwamba hawa waisrael wa Sasa sio wale wa kwenye biblia ..Wala hawana uhusiano kabisa...Hawa ni wazungu kutoka urusi
I m proud to be a muslimKama ulivyopotea kuwaamini wazungu
Kazi kwelkwel 😰🙄Iraq ni moja ila wewe ulitaka kutuaminisha kuwa Iraq zipo mbili, Iraq kusini na Iraq kaskazini.🤣--- point noted.
Mi ni mkristo lakin sishadadii Israel wala wanayoyafanya kwa wapalestina. Binadamu wote ni sawa.I m proud to be a muslim
Kazi kwelkwel 😰🙄
Hata Sudan kusini kabla hata hawajatengana walikuwa wanaitwa south Sudan.. sijui ajabu ni nini kuiita south Iraq? Tatizo mnakariri. Hiyo sio formula ya hesabu, lugha ipo flexibleKazi imeisha, ila wewe hutaki kukubali kwamba ulikosea uliposema " Iraq kusini" badala ya "kusini ya Iraq", unataka nyeusi iwe nyeupe, shida sana🤣.
Hata Sudan kusini kabla hata hawajatengana walikuwa wanaitwa south Sudan.. sijui ajabu ni nini kuiita south Iraq? Tatizo mnakariri. Hiyo sio formula ya hesabu, lugha ipo flexible
Mi ni mkristo lakin sishadadii Israel wala wanayoyafanya kwa wapalestina. Binadamu wote ni sawa.
Ndiyo kaka. Hiyo bagi alinipa mama yako.Hivi huu uzi uliandika baada ya kumaliza kuvuta bangi