Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,108
- 41,776
masihi/kristo ni neno moja kwa lugha mbili tofauti zikimaanisha kwa ukaribu wa mpakwa mafuta wa BWANA kwa kiswahili.
Neno lenyewe ni kithibiti tosha.
Nani walistahili kupakwa mafuta?
- kuhani
- nabii
- mfalme
-
nakubaliana Yesu ni kuhani mkuu mfano wa Me.., nabii, mfalme . Swali linarudi, kwa nini hakupakwa mafuta, kwani hiko ni kimoja kinachopunguza wafuasi wake baina ya jamii ya wayahudi.
masihi/kristo ni neno moja kwa lugha mbili tofauti zikimaanisha kwa ukaribu wa mpakwa mafuta wa BWANA kwa kiswahili.
Neno lenyewe ni kithibiti tosha.
Nani walistahili kupakwa mafuta?
- kuhani
- nabii
- mfalme
-
nakubaliana Yesu ni kuhani mkuu mfano wa Me.., nabii, mfalme . Swali linarudi, kwa nini hakupakwa mafuta, kwani hiko ni kimoja kinachopunguza wafuasi wake baina ya jamii ya wayahudi.
..., Je wajua kwamba wayahudi hawaamini mambo ya afterlife?
Maafa (majanga),magonjwa,vita,maarifa kuongezeka (kama silaha kali za maangamizi),matetemeko,njaa,matumizi ya sarafu ya euro na kuanza kazi kwa mpinga kristo ni baadhi ya mambo yaliyo tabiriwa ktk ufunuo wa Yohana juu ya mwisho wa dunia.
Ilitabiriwa dunia kutawaliwa na dola (himaya) 12,kwa sasa marekani ni dola ya 11 kutawala dunia.dola ya marekani itaangushwa na dola (taifa dogo) ulimwenguni na taifa hilo litaitawala dunia kwa muda mfupi (nyakati za kusaga meno).
Unabii upi unaotaka kujua ntuzu?
Soma ufunuo wa Yohana utapata majibu.
Swali kwako unajua mpinga kristo hizo cku za utekelezaji wa 666 atatokea wapi exactly?
Alitakiwa apakwe na nani Ili atambuliwe? Kuhani? Manake sijui alikuwepo nabii gani ambaye angefanya kazi Hiyo..
No, hyo dola ya mwisho ni rumi/roma(Vatican/Italy) kwa ss ambayo itakuja kuwa na nguvu km ile rumi ya kwanza na hapo ndo atatoka mpinga kristo (hyo pembe ndogo)ndani ya roma, ambayo itatawala kwa kipindi kifupi sana
Unabii upi unaotaka kujua ntuzu?
Soma ufunuo wa Yohana utapata majibu.
Swali kwako unajua mpinga kristo hizo cku za utekelezaji wa 666 atatokea wapi exactly?
Ukiwa mvivu wa kutafuta habari unaweza usijue hasa nini kinaendelea.mfano ni wazi kuwa unabii wa kuja kwa mtu atakaewakomboa waisrael ulitolewa wakati taifa hilo likitawaliwa na warumi na walihitaji mtu aje awakomboe ili wawe na mfalme wao ndo maana wengine wanasema ufunuo wa yohana hasa ulikua unaongelea mambo yaliyotokea mwaka70AD na si mambo yajayo.
Japo kuna watu walifanya ikawa kama ni ufunuo unaohusu ujaji wa masiha kwa mara ya pili na ndo sababu ya evangelist kutaka kufanya juu chini unabii utimie.
Evangelical Christins Want to Start WWIII to Speed the "Second Coming" ... and Atheist Neocons are Using Religion to Rile Them Up to Justify War Against Iran Washington's Blog
Mkuu si ufunuo Wa Yohana tu Mkuu Bali ata kitabu cha Daniel kiko na mambo hayo!
Na pia sio mpinga Kristo! Ni mpinga ibada ya kweli!
kama ukristo ulipata nguvu na kujitenga ndo kusema nao ni uyahudi?kama ndivyo nao wanaamini vitabu vya kiyahudi kama Talmud?si kweli,
uyahudi kama dini unamatabaka mengi, mojawapo lililopata nguvu na kujitenga ni ukristo.
Ndani ya uyahudi mafundisho yalinyambulika kulingana na mwalimu, kiufupi baadhi ya makundi makuu yaliyo orodheshwa kwenye Biblia ni Mafarisayo na Masadukayo wamwisho wakiamini ukisemacho na wa awali kinyume chake.
mfano rahisi nabii, anapewa maono kuhusu mfalme ajaye, Samweli; tunaona akimpaka mafuta Sauli na Daudi.
..., sio mpinga Kristo! Ni mpinga ibada ya kweli!
Hapo sikubaliani na ww mkuu u a wrong.
Ufunuo wa Yohana u naongelea mambo yajayo na si yaliyopita.
pia Kuna manabii waliotangulia walioyaandika yalishatukia
Cc maxishimba, co zis way
kama lipi ambalo limetimia?.ukisema isaya kuhusu yule mtoto emanuel huo unabii haukumuhusu yesu ndo maana hata yeye hakupatwa kuitwa emanuel.unabii ulimhusu mtoto wa king Ahaz lakini wakapitishiamo kuwa ulimhusu yesu.Hapo sikubaliani na ww mkuu u a wrong.
Ufunuo wa Yohana u naongelea mambo yajayo na si yaliyopita.
pia Kuna manabii waliotangulia walioyaandika yalishatukia
Cc maxishimba, co zis way
kama ukristo ulipata nguvu na kujitenga ndo kusema nao ni uyahudi?kama ndivyo nao wanaamini vitabu vya kiyahudi kama Talmud?
ibada ya kweli ni ipi, kila anayejiita mkristo anaitimiza?
Ukisoma habari za yesu, makuhani (unaowafananisha Na Samwel ) Walikuwa corrupt! Unadhani Mungu angemtumia mtu corrupt kutangaza mpakwa mafuta wake?
ibada ya kweli ni ipi, kila anayejiita mkristo anaitimiza?