Israel na ukiristo

Israel na ukiristo

Status
Not open for further replies.
Itimisho la Daudi ktk yote na Suleiman unalifahamu Mkuu?

Pamoja na mambo yote waliyofanya na maovu pia lkn walimrudia Mungu na kumkabidhi maisha Yao!

Daudi ni mmoja ya watu wachache ambao Mungu alithihirisha wazi kwamba ni wacha Mungu naye amewaridhia.
 
Christine this information seems too much for you,,tulia usome uelewe,,ni kweli Isa=rael ni taifa la Mungu, na uwepo wake pale Israel ni kwa mpango wa Mungu,,lakini Serikali yake sio mpango wa Mungu,,ndo maana Mungu mara nyingi amewaadhibu waisrael kwa kutomkutii, serikali yake ni ya kiyahudi.kifupi Taifa ni la Mungu, watu wake au serikali yake wanamchukiza Mungu.
Then what's ur point!
Wakristo wanachukulia Israel kama taifa la Mungu, sio ile political govt.
Na kuibariki Israel ni moja ya maagizo ya imani, sio kwa kupenda.(Gen 12:3; 27:29)
Ila haimaanishi wanaamini imani ya waisrael ndio sahihi. Hata biblia imeelezea jinsi walivyopotoka, na adhabu yake.(Rom 11:7) Kwahiyo kupotoka kwao juu ya Yesu ndio ukamilifu wa imani ya mkristo (ikijumuisha kuibariki Israel). Ndio maana hakuna mkristo safi anaemfuata Myahudi kwa ushauri wa kiroho.
Kwa maana ndefu ni kua wakristo wataendelea kuwabarik waisrael hata kama waisrael hao watawachukia wakristo kuliko chochote. Imani haibadilishwi na Youtube videos. Na ukristo ni abt Love, love isiyo na sababu.
Sasa ibada ipi sahihi?:
Wayahudi siku zote wamekua wakiabudu kitu sahihi, na Yesu anakiri ktk Yoh 4:21-26; lakini alitoa angalizo kua namna ya kuabudu ilikua inabadilika kwenda kwenye 'spirit & truth' baada ya ujio wake(Yoh.4:23); speed ambayo wayahudi wengi hawajaishika. Lakini some of races wameishika na wana haki kibiblia. Rejea Rom 3:29, Amos 9:11-12, Act 15:14, Act 14:27 kwa manufaa zaidi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom