Israel kumsaidia Trump dhidi ya Kim

Israel kumsaidia Trump dhidi ya Kim

Iran kamtishia mara ngapi mbona hamshambulii analilia lia UN,
Kama kaweza vuka bahari kaifuata Somalia kushambulia kiwanda cha silaha anashubdwaje kuishambulia Iran sponsor mkubwa wa Hezbollah ambaye ni mshambuliaji mkubwa wa Israel?
Suala siyo kutisha bali ni kutenda. Pengine huna kumbukumbu za 1967/1973 Ambapo nchi za kiarabu zilikuwa zinaitishia Isreal nao wakalalamika sana UN na waarabu wakadhani kulalamika ni ishara ya uoga na walipojaribu mara zote walipigwa vibaya na ardhi yao kutekwa. Mwaka 1973 ndiyo mwaka ambao kama kushinda waarabu wangeshinda mwaka huo maana walikuwa na strategy nzuri sana lakini matokeo yake ndege vita pamoja na matanki ya waarabu yalipukutishwa kama mchwa na hao mnaowaita vipanya. Hadi leo ukiondoa propaganda za kisiasa, hakuna nchi yoyote ile ya kiarabu hata ya kiajemi inayoweza kuipiga isreal na waarabu wenyewe wanafahamu hivyo.
 
mgogoro wa iran na israel upo muda mrefu hasa ukichochewa na iran kwa kuwasaidia wana mgambo wa kishia hizbollah na wa kipalestina kwa kuwapa silaha na fedha ka ajili ya kupambana na Israel,Iran ilishatangaza kuwa itaifuta Israel kwenye raman ya dunia,toka miaka ya 70 ISRAEL imeishambulia Iran kwa ndege mara kadha ikirenga viwanda vya nyukria.imewaua wana sayansi wengi wa iran ili kuizuia iran kupata uwezo wa kutengeneza silaha za nyuklia.Israel ndio nchi ya pekee yenye uwezo wa silaha za nyuklia mashariki ya kati.katika ulimwengu wa kiarabu ni pakistan pekee yenye nguvu za kinyuklia walizopata mwanzoni mwa miaka ya 2000
Wewe jamaa acha uongo Israel hawajawahi kuishambulia Iran acha story za kinafiki
 
Suala siyo kutisha bali ni kutenda. Pengine huna kumbukumbu za 1967/1973 Ambapo nchi za kiarabu zilikuwa zinaitishia Isreal nao wakalalamika sana UN na waarabu wakadhani kulalamika ni ishara ya uoga na walipojaribu mara zote walipigwa vibaya na ardhi yao kutekwa. Mwaka 1973 ndiyo mwaka ambao kama kushinda waarabu wangeshinda mwaka huo maana walikuwa na strategy nzuri sana lakini matokeo yake ndege vita pamoja na matanki ya waarabu yalipukutishwa kama mchwa na hao mnaowaita vipanya. Hadi leo ukiondoa propaganda za kisiasa, hakuna nchi yoyote ile ya kiarabu hata ya kiajemi inayoweza kuipiga isreal na waarabu wenyewe wanafahamu hivyo.
Yani that was then this is now.
Walikuwa wanategemea egypt ndiyo iwe mstari wa mbele kwa sasa hiyo vita ikirudiwa Israel wont stand a chance to win.
Hezbollah tu walimtoa jasho mpaka akaanza lia UN we bado waongelea masuala ya miaka 70?
 
Yani that was then this is now.
Walikuwa wanategemea egypt ndiyo iwe mstari wa mbele kwa sasa hiyo vita ikirudiwa Israel wont stand a chance to win.
Hezbollah tu walimtoa jasho mpaka akaanza lia UN we bado waongelea masuala ya miaka 70?
hebu fanya utafiti kwanza. Hivi sasa hakuna Syria,Jordan,Saudia,Iraq na wala hakuna umoja tena. Egypt baada ya ile vita ya 1973 ilitambua kitu ambacho wengi hawakifahamu. Kitu hicho ni kwamba haiwezekani ukaipiga isreal na marekani pamoja na mataifa mengine ye uropa yakanyamaza kimya. Baada ya kutambua ukweli huo, walibadilisha sera zao na kuunda urafiki wa kidiplomasia[walipewa sehemu kubwa ya ardhi yao iliyotekwa na isreal. Sioni hata Iran ikifanya hivyo maana athari zake wanazijua na ndiyo maana wote pamoja na wamarekani wanacheza mchezo wa paka na panya na kila mmoja wao akijua sheria za mchezo huo.
 
hebu fanya utafiti kwanza. Hivi sasa hakuna Syria,Jordan,Saudia,Iraq na wala hakuna umoja tena. Egypt baada ya ile vita ya 1973 ilitambua kitu ambacho wengi hawakifahamu. Kitu hicho ni kwamba haiwezekani ukaipiga isreal na marekani pamoja na mataifa mengine ye uropa yakanyamaza kimya. Baada ya kutambua ukweli huo, walibadilisha sera zao na kuunda urafiki wa kidiplomasia[walipewa sehemu kubwa ya ardhi yao iliyotekwa na isreal. Sioni hata Iran ikifanya hivyo maana athari zake wanazijua na ndiyo maana wote pamoja na wamarekani wanacheza mchezo wa paka na panya na kila mmoja wao akijua sheria za mchezo huo.
Iran inajilinda wala haina nia ya kupigana na nchi yoyote, pia inasaidia washirika wake.
Katafte jinsi Iran inavyofanya covert affairs Afghanstan kwa kuwa train na kuwapa silaha Taliban, Syria kwa kuwa train na kuwapa silaha Hezbollah.
Marekani na Israel wanalijua hilo ndiyo maana wamemwekea vikwazo vingi ambavyo badala ya kumbomoa vimemjenga zaidi, now Iran ni tishio kwa kuliko ilivyowahi kuwa huko nyumba na ndiyo maana kwa sasa Iran siyo nchi unayoweza kuamka na kwenda kuivamia kama walivyifanya Iraq na Libya wewe unaweza kuwa una idharau lakini Israel na USA wanajua uwezo wake.
Sasa effect ni nini?
Effects zake zimefanya nchi nyingine ndogo kuona kuwa kumbe wanaweza jiimarisha kijeshi wakazidindia Israel na USA. Tena NK ndiye kanogesha zaidi game hili.
 
Iran inajilinda wala haina nia ya kupigana na nchi yoyote, pia inasaidia washirika wake.
Katafte jinsi Iran inavyofanya covert affairs Afghanstan kwa kuwa train na kuwapa silaha Taliban, Syria kwa kuwa train na kuwapa silaha Hezbollah.
Marekani na Israel wanalijua hilo ndiyo maana wamemwekea vikwazo vingi ambavyo badala ya kumbomoa vimemjenga zaidi, now Iran ni tishio kwa kuliko ilivyowahi kuwa huko nyumba na ndiyo maana kwa sasa Iran siyo nchi unayoweza kuamka na kwenda kuivamia kama walivyifanya Iraq na Libya wewe unaweza kuwa una idharau lakini Israel na USA wanajua uwezo wake.
Sasa effect ni nini?
Effects zake zimefanya nchi nyingine ndogo kuona kuwa kumbe wanaweza jiimarisha kijeshi wakazidindia Israel na USA. Tena NK ndiye kanogesha zaidi game hili.
Usemayo hayana ukweli wowote ila ukweli ni kwamba Iran iko on the very ya kuwa a nuclear power na kwa siasa za mashariki ya kati ambazo chanzo kikubwa ni tofauti ya madhehebu, Uwezo mpya wa iran unaweza kusambaratisha maadui zake[siyo wamarekani bali saudia na kuleta madhara makubwa kwenye uchumi wa dunia. Hii ndiyo sababu kubwa marekani wanawauzia silaha nyingi saudia lakini wakati huo huo wanazuia iran isiwe na uwezo wa ki-nuclear ili mambo ya balance.
Hivi sasa Isreal tayari inasemekana kuwa na uwezo huo, sasa iran nao wakiwa na uwezo huo Isreal itajiona iko mahala pabaya na inaweza kufanya premptive strike dhidi ya iran lakini fallout yake ikaathiri mashariki ya kati yote. Na uchumi wa dunia nao ukaathirika.
 
Usemayo hayana ukweli wowote ila ukweli ni kwamba Iran iko on the very ya kuwa a nuclear power na kwa siasa za mashariki ya kati ambazo chanzo kikubwa ni tofauti ya madhehebu, Uwezo mpya wa iran unaweza kusambaratisha maadui zake[siyo wamarekani bali saudia na kuleta madhara makubwa kwenye uchumi wa dunia. Hii ndiyo sababu kubwa marekani wanawauzia silaha nyingi saudia lakini wakati huo huo wanazuia iran isiwe na uwezo wa ki-nuclear ili mambo ya balance.
Hivi sasa Isreal tayari inasemekana kuwa na uwezo huo, sasa iran nao wakiwa na uwezo huo Isreal itajiona iko mahala pabaya na inaweza kufanya premptive strike dhidi ya iran lakini fallout yake ikaathiri mashariki ya kati yote. Na uchumi wa dunia nao ukaathirika.
Yapi ambayo hayana ukweli?
Kwamba Iran kwa sasa ni tishio kuliko kwa Israel Na washirika wake kuliko wakati wowote ule? Ninaposema ni tishio kwa USA sina maana ataishambulia USA ila nina maana anauwezo wa kuharibu masrahi ya USA mashariki ya kati.
Kwamba Iran anafanya covert affairs ndani ya afghanistan na Syria?
Kama siyo tishio kwao kwanini Israel inahangaika kila siku kulialia UN?
Wao Israel juzi juzi tu wamesema kuwa taarifa zao za kiintelijensia zinawaonyesha kuwa Iran wana bomu la nuclear tayari?
Au ni propaganda?
Wacha watengeneze tu mabomu kwani USA ni nani awe ndiye wakupangia nani awe na silaha na nani asiwe nazo..
 
Mchezo wa mashariki ya kati umewageukia Marekani na Israel,baada ya marekan na israel kutengeneza IS kwa dhumuni la kuangusha utawara wa al Assad, toka mwaka 2011..
Kama ilivyokuwa kwa Iraq na Libya walifanikiwa kuweka utawala wao ili waibe mafuta,ila kwa Syria kwa ajili ya mafuta na kuzuia bomba la gesi la russia!., ila Assad akawa mbishi...toka mwaka 2011 amepigana mwenyewe mpk 2015 russia alipoingia..
Toka Russia ameingia imekuwa game changer.
Na marekani akakose tena kitu kingine kwa Turkey ile coup ikafeli... so pale pale Syria walipokuwa wanapatumia kwa ajili ya kuweka mageuzi ya kiutawala ni kama wamewakaribisha Irani karibu...nw game imewageukia wao!!..
Baada ya huu mgogoro wa syria kuisha kama baada ya miaka 2..tutegemee mgogoro mkubwa zaid..maana irani atakuwa karibu na Israel kuliko!!
 
fanyeni kazi acheni ujinga wa kujifanya mnajua mambo
 
Kiziwi amuombe msaada kipofu wa kusomewa barua.
Israel inakuzwa tu kisa inaonea vipanya ikikutana na wababe utasikia wamekimbilia UN wanapiga kelele.
Nahisi wewe ni ccm, maana ndo wasiyo na akili, yaani Israel iombe iombe msaada UN wa kulindwa? aisee haitatokea.
 
Nahisi wewe ni ccm, maana ndo wasiyo na akili, yaani Israel iombe iombe msaada UN wa kulindwa? aisee haitatokea.
ID yako umejutwika bure.
Tatizo mahaba yamekuzidi hivi uwa kwenye tv unaishia kutazama boringo tu?
Hata kusoma huelewi ulichokisoma...
Rudia usome usipoelewa omba msaada utaeleweshwa siyo unawashwa washwa asubuhi asubuhi.
Kila siku si waziri mkuu analialia UN kuhusu mpango wa Iran wa nuclear au wataka nikuwekee link za speech zake?
 
TULIPATA MUDA TUTEMBELEE HATA HAPO SOMALIA TU JAPO SIKU MBILI, VITA SIO NZURI BANDUGU, WALA SIO HATA YA KUITAMANI ITOKEE
 
mwenye kumbukumbu pia akumbuke pale waziri wa ulinzi wa Israel alipoitisha north korea yetu waziri mkuu wake alimwambia nini? hapo mtapata jibu
 
Back
Top Bottom