Israel mwaka huu huu kashambulia kiwanda cha silaha huko somalia, mbona hajaenda kuishambulia Iran sponsor wa Hezbollah?
Kama kawaida yake anaonea mapanya tu mapaka analalamika.
Juzi juzi tu kaishambulia syria, bado anaikwepa Iran.
Nashangaa sana watu mnao under estimate uwezo wa hao waajemi Israel na Marekani wao hata hawamchukulii poa huyo Muajemi, ila tu Mtanzania ndiye anamchukulia poa.
Sasa hivi nchi nyingi zimejiweka vizuri hata kama wakipigana vita wakashindwa ila hiyo vita haitowaacha salama, haitokuwa vita kama ya gang la USA na Iraq, wala vita ya siku 6.
Kama unadai ex mossad agents wanasema kuwa Israel haina uwezo wa kumpiga Iran, we ni nani mpaka uwaze wanadanganya hawajikwezi? Kwanini usikubariane nao kuwa wanasema ukweli maana wao ni former Mossad agents kama ulivyosema mwenyewe.