jamii [race]kiyahudi ndio jamii yenye uwezo mkubwa kiakili.IQ yao ipo juu kuliko jamii zote,hili linathibitishwa na uwezo wao katika nyanja mbalimbali za kisayansi.mfano wao ndio wanaoongoza kwa kuchukua tuzo za nobel katika tasnia ya sayansi zaid ya 26% ya washindi ni wenye asili ya kiyahudi,wao ni 0.2% ya wakazi wote duniani.wakuwa wagunduzi wa vitu vingi vya kiteknolojia.kiukweli wapo vizuri. Tatizo hapa sio uwezo wao kiakili bali kuchukiwa na jamii nyingi,sababu za chuki kwa hii jamii ni wivu,sababu za kidini,za kisiasa. Ndugu zangu ili niweke sawa jambo hili sina budi kugusa kidogo historia angalau kwa mbali ili tu tufike.Tukianza na wivu,hawa jamaa walitawnyika sehemu mbalimbali dunian toka kwenye yao asili kwa vipind vitatu vikubwa,wakati utawala wa NEBKADNEZER,TITUS jemedari wa kirumi alipouhusuru JERUSALEM na wakafagiwa kabisa wakati wa utawala wa kharifa UMAR,huko walikoenda kila pahala walifanikiwa katika nyaja zote,kibiashara,wakaw wasomi ,wataalam,matajiri pia washauri wa viongozi tangu babel mpaka nyakati zetu.wao ni kundi dogo kwenye jamii lakin ndio wanao shikilia kila nyanja ya maisha,kumbuka chanzo cha chuki za Hitler ,kule Urusi ,kule uajemi wakati wa Naaman n.k twende kwa mifano,wakati Nebukadneza na Belshaza tunawona akina Daniel na wenzake,wakati wa Dario mkuu tunawapata akina Ester,Nehemia n.k wakati wa Alexernder The Great tunampata josephus mwanahistoria mahiri na wengineo.wakati wetu wao ndio wanamiliki kribu 2/3 ya utajiri duniani,unalamika kuhusu barick hao ni wayahudi ndio pia humiliki karibu makumpuni mengi makubwa ya kuchimba na kuuza Almasi duniani mwadui ni wao,ndio wanaomiliki hisa nyingi katika ile inayoitwa bank ya dunia.wana hisa karibu bank kuu zote dunian isipokuwa nchi zisizofika 15.wataalam ,wanasayansi,wanasheria wazuri dunian,waandishi,wavumbuzi wengi wao ni wenye asiri ya kiyahudi.sasa hapo wenye akili fupi za wivu lazima wakasilike!! sababu za kidini,hapa tuweke pembeni imani zetu tujadili ukweli uliopo,dunian kuna dini kubwa au zenye waumin wengi zaidi ya saba,amabazo ni ukristo,ubudha,uislam,uhindu,tao,din ya kiyahudi(judaism)dini za kichina,sikhi/shinto n.k dini hizi pia zimegawanyika katika makundi tena ya madhehebu,mfano ukristo una makundi makuu matatu ambayo ni wakatoliki,orthodox na wanamatengenezo(protestant).uislam nao kuna suni,shi'ite na hamadia,budha kuna theravad,mahayana na vairayana n.k sasa hizi dini zimewagawa watu kifikra na kiitikadi kutegemea n msimamo wa dini yake katika jambo flani,mtizamo wa kidini umeathiri mtazamo wa watu wengi katika nyaja mbalimbali pengine kupelekea kutokuwa na maamuzi na mtazamo sahihi katika jambo flani.dini hizi kulingana na asili zake zimewagawa waumini wake wafuasi dini flani kuwapenda wayahud na nchi yao ya Israel na wengine kuwachukia wayahud pamoja na nchi yao,waoipenda Israel dini yao inafungamana na dini na utamaduni wa kiyahudi,msingi wa dini yao umejengwa juu ya manabii na mitume wa Israel ya kale (juu ya waebrania-lugha yao wayahudi).mfano zipo dini ambazo vitabu vyao vitakatifu/vitukufu viwafundisha wafuasi wao kuwachukia wasifuata dini yao na miungu yao,inawataja wahudi kuwa maadui wao na wa dini yao.hivyo kujenga chuki juu ya wayahudi,wala maandiko hayo hayatoi sababu au hoja za msingi kwa nini hao wawe maadui wao.hapo ndipo penye kundi kubwa la wanaoichukia Israel na uyahudi.jiulize wewe kwa nini unawapenda au kuipenda Israel au kwa nini unawachukia wayahudi na Israel?jibu unalo sababu za kisiasa,hapa ni kundi linahusika,ila linaonekana kubwa kwa sababu yameingizwa maslahi ya dini hapa ndio maana mzozo wa mashariki ya kati ni mgumu kutatuliwa,wayahudi walisambalatishwa pale wakaikimbia nchi yao kukwepa mateso ya watesi wao,walipoamua kuridi baada ya miaka elf wengine mamia ya miaka,walikuta tayari nchi yao imemezwa na wageni,zikatumika hira na hujuma kuwaondoa wakazi halali wa pale kwa mujibu wa sheria za kimataifa.hapo ndipo unawakuta watu kama nyerere na wengineo wakitoa hoja za msingi kuwatetea wapalestina kwa kujali utu,wengi wakipendekeza pawepo na mataifa mawili palestina na Israel.je wewe kwa nini unawachukia hawa au kwa nini unawapenda? hitimisho,Irani ni mojawpo ya nchi zenye historia ndefu na dhidi ya wayahud,wayahudi wamekuwa sehemu ya jamii ya kiajemi,waishi vipindi vigumu wakat mwingine vizuri tegea mtawala kwa zaidi ya miaka 2500 ivi,haiwachukii wayahudi la hasha inalichukia taifa la kiyahudi sababu kubwa ni kuanzishwa upya kwa taifa hilo ndani ya ardhi ya mababu zao lakini wakati huo huo ni ndani ya mipaka pia ya taifa la wapalestina,kubwa hapo suala la dini kwani maeneo mengi matakatifu kwa wayahudi na wakristo pia miaka ya hivi karibuni yamekuwa matakatifu kwa waislam. SWALI;KAMA WAASIA NDIO WENYE IQ KUBWA KUZIDI WAYAHUDI KWA NINI WAYAHUDI AMBAO NI WACHACHE NDIO WAWE WAGUNDUZI WA VITU VINGI KULIKO HAO WAASIA ? mfano wa wachache wao ni Abert Eistain ,Leon Szilard J.Opponheimes waitwao mababa wa nyukria,USA.Edward TELLER baba wa thermonuclear na Hydrogen bomb,USA.Yakov borisovich NUCLEAR RUSSIA.Michael Dell muasisi wa Dell,Stive ballmer ceo microsoft,Jacob ziv -computer,Raymond Kurzwel -alama kwa ajili ya vipofu(maandishi ya vipofu)Arthur Adler- remote control,Charles Ginsberg -video tape,Emile -graphone,kama ni mpiga picha ziwe video au mnato jamaa ndio waliogundua hasa ili ziwe za rangi,typing machine,fax ,printer ni hao jamaa,chanjo mbalimbali kama poli ni hao jamaa,ndi watengenezaji wa nguo aina ya jinsi kwa mara kwanza,mgunduzi akiwa myahud Lev Strauss,pia kevin klain.kama ni mtumiaji wa simu za mkononi basi hao jamaa wanahusika,memory desc wao wamegundua.stanley cohen mambo ya genetic engineering,kwenye tiba usisema wana mchango mkubwa.kwa uchache hao ni mifano.