Israel kuishangaza Dunia tena

Ngoja tuone basi
Maana Marekani ilikuwa Afghanistan na NATO na Bado walikimbia.
Pia vita kama inapiganiwa nyumbani pia advantage anayo adui.
 
Sifa ya Mungu ni ukubwa wake na ushindi kila wakati. Yeye ndiye mwenye kuyashinda makundi maovu, mwenye kuyaendesha mawingu naye ndiye atabaki kuwa mshindi. Wakati huu subira ni muhimu.
Amen
 
Siyo Israel kuishangaxa dunia, sema USA.

Israel huko hamas jana imepiga Haifa.

Kwani bado mnaiongelea gaza tu?

Gaza kwisha kazi yake, watu toka jana wapo Lebanon na Syria.

Vita ishapanuka huko. Umelala?

Leo tunangoja Egypt na Jordan
Egypt si wanafurahia Hamas kisambaratishwa coz ilikua na uhusiano wa karibu sana Muslim Brotherhood na kwahivyo ni tishio had Egypt?

Johdan wanafurahia biashara zinasonga vizuri
 
Aisee....
Watanzania bwana!!!....
 
Egypt si wanafurahia Hamas kisambaratishwa coz ilikua na uhusiano wa karibu sana Muslim Brotherhood na kwahivyo ni tishio had Egypt?

Johdan wanafurahia biashara zinasonga vizuri
Sasa wewe haufahamu kuwa alsisi katokea brotherhood?
 
Siyo Israel kuishangaxa dunia, sema USA.

Israel huko hamas jana imepiga Haifa.

Kwani bado mnaiongelea gaza tu?

Gaza kwisha kazi yake, watu toka jana wapo Lebanon na Syria.

Vita ishapanuka huko. Umelala?

Leo tunangoja Egypt na Jordan
We bibi kila wakitajwa nduguzo wavaa vipedo na makobazi hukosekani!🤔
 
Egypt si wanafurahia Hamas kisambaratishwa coz ilikua na uhusiano wa karibu sana Muslim Brotherhood na kwahivyo ni tishio had Egypt?

Johdan wanafurahia biashara zinasonga vizuri
Sio kweli....
Wanaokufa ni watu wa kawaida..Pia msichanganye kuwa Hamas ndio inawakikisha Wapalestina wote..
Fatah ni wakubwa kuliko Hamas..
 
We bibi kila wakitajwa nduguzo wavaa vipedo na makobazi hukosekani!🤔
Sema Waislaam. usiogope, kuwa mkweli wa nafsi yako.

Pedo si anavaa mama'ko nyumbani, au umesahau?
 
Sio kweli....
Wanaokufa ni watu wa kawaida..Pia msichanganye kuwa Hamas ndio inawakikisha Wapalestina wote..
Fatah ni wakubwa kuliko Hamas..
Fatah wana ukubwa upi, mbona walishindwa kuwadhibiti Hamas?
 
We bibi kila wakitajwa nduguzo wavaa vipedo na makobazi hukosekani!🤔
Cha kushangaza wanaowasupport Hamas kwa maana ya mataifa ya kiarabu, russia, north korea, turkey na wao wanashindwa nini kuwatengenezea wapalestina mifumo ya kujilinda ambayo itakuwa imara dhidi ya mashambulio yoyote ya Israel? hapo ndo inajionyesha waziwazi ni jamii ipi yenye akili kubwa😂🤣 na ipi akili kb1 a.k.a kisoda
 
Uzi mzito!

Hakuna taifa takatifu la Mungu litakaloua watu kwa kisasi hivyo!

Taifa takatifu la Mungu ni Tanzania tu kwakweli,tuna upendo wa dhati ndio maana tuanawaza kupendana tu wakati wote wala sio kupiga na kuua!!

Hata haki zetu zikiminywa tunamuita Mungu anatujibu maombi yetu!!

Walau warusi tuanaweza sema ndio taifa takatifu la Mungu kuliko hao tunaodhani!!

Yakobo alikua black,king solomon na hata Ayubu na yesu kristo nae alikua black na karibu asilimia kubwa yote ya waebrania walifananishwa na wakanaani KWA weusi wao coz wakanaani ni Wana wa ham wenye ngozi iliyoungua yaani weusi SASA kwanini waisrael wa leo ni weupe wote!!?


Hata Abdul nassar mfalme wa misri aliwakataa hao waisrael weupe akisema" mbona waliondoka misri wakiwa weusi huo weupe wameutoa wapi""!!?


Ndugu mkristo usije ombea hao wazungu hao hawana uisrael wowote kabisa ombea watz wenzio au hata waethiopia Wana wa king solomon aliezaa na Beth sheeba!
 
Kweli kabisa, Mungu gani huyo anataka uue watu? Hao ni majambazi wote
 
hao waisrael OG according to you wako wapi kwa sasa bwana observer
 
Siyo Israel kuishangaxa dunia, sema USA.

Israel huko hamas jana imepiga Haifa.

Kwani bado mnaiongelea gaza tu?

Gaza kwisha kazi yake, watu toka jana wapo Lebanon na Syria.

Vita ishapanuka huko. Umelala?

Leo tunangoja Egypt na Jordan
unataka kusema israel inataka kuishangaza dunia tena kwa kushambulia mataifa ya kiarabu tishio kwake? Kumbuka kuna mikataba ya amani kama ule wa camp david kati yake na misri. Al sisi mwenyewe ana element za kiyahudi anaweza asipate kifinyo
 
Siyo Israel kuishangaxa dunia, sema USA.

Israel huko hamas jana imepiga Haifa.

Kwani bado mnaiongelea gaza tu?

Gaza kwisha kazi yake, watu toka jana wapo Lebanon na Syria.

Vita ishapanuka huko. Umelala?

Leo tunangoja Egypt na Jordan
Mimi sipendi vita
 
Sasa wewe haufahamu kuwa alsisi katokea brotherhood?
si ndio maana ameifuta egpty baada ya kubaini nia yake ovu chini ya Mohamed Morsi, wakati huo akiwa mkuu wa majeshi,
na akaona itampaint yeye na Egypt kwa ujumla negatively kwenye uso wa dunia,

akampindua M.Mursi kijeshi, baadae akajiuzuli akawa raia kwa muda, then akaja na Mustakabal Watan Party maarufu kama National Future kugombea Urais wa kiraia na akashinda mpaka wa leo...
 
unataka kusema israel inataka kuishangaza dunia tena kwa kushambulia mataifa ya kiarabu tishio kwake? Kumbuka kuna mikataba ya amani kama ule wa camp david kati yake na misri. Al sisi mwenyewe ana element za kiyahudi anaweza asipate kifinyo
Nani anasema hayo maneno ya "kushangaza", naona unabwabwaja tu bila mpango. Kanisome tena.
 
Sema Waislaam. usiogope, kuwa mkweli wa nafsi yako.

Pedo si anavaa mama'ko nyumbani, au umesahau?
Vijana wanakuchokoza mpaka wanakutoa kwenye line.....hasira kama yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…