Labuda nikusaidie, si wote walimpokea bwana yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yao. Na pale israel wapo wengi wakristo saana, ila serikali ndio bado haijamtambua. Halafu kumbuka Yesu kristo ni mwokozi wa ulimwengu wote, kwa wayahudi alipo kuja kwao hawakumtambua wite, malengo ya Mungu ni kujitambulisha kwa makabila yote, sasa waisrael kama lilivyokuwa taifa teule hawakufanya hivyo wote. Kwahyo dini yoyote inayopoyoka poyoka pasipo kumwabudu Yseu kristo na kumtambua kuwa ndiye mwokozi wao na kuachana na baadhi ya mitume na manabiii matapeli kama awliokuwa wengine makahaba wa kuoa watoto wadogo, hao wote kama hawatamwamini Yesu bado jehanam inawahusuuu.Yesu ndie mwokozi kwa kwa kila aanayepumua. Mwamini yesu uende mbinguni achana na utapeli wowote ulee. Waisrael kama taifa lazima ipo siku watalazimika kumwamini Yesu wote. Na usidhani yakwamba hata kule parestina kwamba hakuna wakristo, wapo wengi saaana. Na kama na wewe bado hujamkubali Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yako utahukumiwa na moto wa milele utatupwa humo.