Hakuna taifa litakuwa na nguvu milele
Hakuna chama duniani kitaishika madaraka milele kuna siku kitaporomoka tu.
Ilikuwepo Manchester united miaka ya 92
Ilikuwepo Basalona
ilikuwepo Real madrid
ilikuwepo Brazil
Timu hizo zikivuma uwanjani
Hakuna hesabu yoyote dunian inakubali hayo.
Isreal inajidanganya kuwaua palestina kwamba ndio is hashindwi dunia
Tukisoma history ya zamani Tanzania iliitawala uengereza kabla uengereza kuja kuitawala tz.
Kuna siku waengereza na America watakuja kuomba hifadhi ya makazi maeneo ya Manzese na Mbagala
Hakuna chama duniani kitaishika madaraka milele kuna siku kitaporomoka tu.
Ilikuwepo Manchester united miaka ya 92
Ilikuwepo Basalona
ilikuwepo Real madrid
ilikuwepo Brazil
Timu hizo zikivuma uwanjani
Hakuna hesabu yoyote dunian inakubali hayo.
Isreal inajidanganya kuwaua palestina kwamba ndio is hashindwi dunia
Tukisoma history ya zamani Tanzania iliitawala uengereza kabla uengereza kuja kuitawala tz.
Kuna siku waengereza na America watakuja kuomba hifadhi ya makazi maeneo ya Manzese na Mbagala