Mbuli yaza
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 797
- 760
Atakuwa kalewa etii?Unatumia kilevi gani mkuu,?
Atakuwa kalewa etii?Unatumia kilevi gani mkuu,?
Naona umeshaanza kujifariji😀😀😀Hakuna taifa litakuwa na nguvu milele
Hakuna chama duniani kitaishika madaraka milele kuna siku kitaporomoka tu.
Ilikuwepo Manchester united miaka ya 92
Ilikuwepo Basalona
ilikuwepo Real madrid
ilikuwepo Brazil
Timu hizo zikivuma uwanjani
Hakuna hesabu yoyote dunian inakubali hayo.
Isreal inajidanganya kuwaua palestina kwamba ndio is hashindwi dunia
Tukisoma history ya zamani Tanzania iliitawala uengereza kabla uengereza kuja kuitawala tz.
Kuna siku waengereza na America watakuja kuomba hifadhi ya makazi maeneo ya Manzese na Mbagala
Mkuu, hiyo history uliisoma wapi?Tukisoma history ya zamani Tanzania iliitawala uengereza kabla uengereza kuja kuitawala tz.
Bado haujasema 😁😁😁😁Kumbe hawamtambui Yesu ambaye kimsingi ndio Mungu!?? Sasa kwanini mnawaita taifa teule ilihali hawamtambui Mungu? Kwa mujibu wa Biblia mbinguni huiingii kama hujamkiri Yesu meaning hawa waliopo sasa hapo Israel wote kuzimu inawahusu.
Cha ajabu mnawaita taufa teule wakati huo huo mbinguni hawaendi!! Ndio nini sasa hiki?
UNAOTA ndoto ukiwa wapiHakuna taifa litakuwa na nguvu milele
Hakuna chama duniani kitaishika madaraka milele kuna siku kitaporomoka tu.
Ilikuwepo Manchester united miaka ya 92
Ilikuwepo Basalona
ilikuwepo Real madrid
ilikuwepo Brazil
Timu hizo zikivuma uwanjani
Hakuna hesabu yoyote dunian inakubali hayo.
Isreal inajidanganya kuwaua palestina kwamba ndio is hashindwi dunia
Tukisoma history ya zamani Tanzania iliitawala uengereza kabla uengereza kuja kuitawala tz.
Kuna siku waengereza na America watakuja kuomba hifadhi ya makazi maeneo ya Manzese na Mbagala
Hili suala lina hoja nyingi mno.Kumbe hawamtambui Yesu ambaye kimsingi ndio Mungu!?? Sasa kwanini mnawaita taifa teule ilihali hawamtambui Mungu? Kwa mujibu wa Biblia mbinguni huiingii kama hujamkiri Yesu meaning hawa waliopo sasa hapo Israel wote kuzimu inawahusu.
Cha ajabu mnawaita taufa teule wakati huo huo mbinguni hawaendi!! Ndio nini sasa hiki?
Unajitekenya na kucheka mwenyewe kwa taarifa yako Israel mpaka kiama watakuwepo....Hakuna taifa litakuwa na nguvu milele
Hakuna chama duniani kitaishika madaraka milele kuna siku kitaporomoka tu.
Ilikuwepo Manchester united miaka ya 92
Ilikuwepo Basalona
ilikuwepo Real madrid
ilikuwepo Brazil
Timu hizo zikivuma uwanjani
Hakuna hesabu yoyote dunian inakubali hayo.
Isreal inajidanganya kuwaua palestina kwamba ndio is hashindwi dunia
Tukisoma history ya zamani Tanzania iliitawala uengereza kabla uengereza kuja kuitawala tz.
Kuna siku waengereza na America watakuja kuomba hifadhi ya makazi maeneo ya Manzese na Mbagala
Bange ni hatari kwa afya yakoTukisoma history ya zamani Tanzania iliitawala uengereza kabla uengereza kuja kuitawala tz.
Kuna siku waengereza na America watakuja kuomba hifadhi ya makazi maeneo ya Manzese na Mbagala
Hakuna taifa litakuwa na nguvu milele
Hakuna chama duniani kitaishika madaraka milele kuna siku kitaporomoka tu.
Ilikuwepo Manchester united miaka ya 92
Ilikuwepo Basalona
ilikuwepo Real madrid
ilikuwepo Brazil
Timu hizo zikivuma uwanjani
Hakuna hesabu yoyote dunian inakubali hayo.
Isreal inajidanganya kuwaua palestina kwamba ndio is hashindwi dunia
Tukisoma history ya zamani Tanzania iliitawala uengereza kabla uengereza kuja kuitawala tz.
Kuna siku waengereza na America watakuja kuomba hifadhi ya makazi maeneo ya Manzese na Mbagala
Unasoma history wewe. Unajua kama American walikuwa watumwa na wakilimishwa miwa tena jua linawaka?Mkuu taifa kubwa hutokea kwa mataifa yenye strong mentality. Haitokei tu. Unadhani Palestina atakuja kuwa Taifa kubwa? Unadhani Tanzania atakuja kuwa Taifa kubwa? Unless u change mentality. Wewe ukishakuwa na mentality ya kutaka kufa, utatawaliwa tu.
Tulia hivyo hivyo magaidi mshughulikiwe. Si mlianza wenyewe uchokozi October 7.Kumbe hawamtambui Yesu ambaye kimsingi ndio Mungu!?? Sasa kwanini mnawaita taifa teule ilihali hawamtambui Mungu? Kwa mujibu wa Biblia mbinguni huiingii kama hujamkiri Yesu meaning hawa waliopo sasa hapo Israel wote kuzimu inawahusu.
Cha ajabu mnawaita taufa teule wakati huo huo mbinguni hawaendi!! Ndio nini sasa hiki?
Mwongo huyo ni mwongoMkuu, hiyo history uliisoma wapi?
Em tuwekee hapa basi
Mkuu kuweka idadi sawa walisema 1 wetu akiuwawa tunaua 100 kwenuThamani ya muisrael 1 ni sawa na wapelestina 50. UtajumlIsha idadi hapo.
Si tulishakubaliana kuwa tusiwape Ujiko hao makafir? Tulikubaliana vizuri tuseme wameshindwa. Sasa hayo ya nguvu yanatoka wapi? Na kwa sasa tunashukuru waisrael wote wameshtakiwa na watafungwa Ritz ina maana kuna kukosekana mawasiliano? Hao waisrael hao muda si mrefu wote watakuwa magerezani. Ritz ameshazungumzia hili. Na nchi yao itabaki bila mtu sisi ndo tutaenda kuishi makafiri wakiwa magerezani.
Kama si wa kuchezea ile misaada ya kijeshi ya Marekani na Ulaya Magharibi ni ya kazi gani ??Wayahudi sio wa kuwachezea,mtaendelea kupigwa mpaka mchakae.