Israel isijidanganye

Israel isijidanganye

Hakuna taifa litakuwa na nguvu milele
Hakuna chama duniani kitaishika madaraka milele kuna siku kitaporomoka tu.
Ilikuwepo Manchester united miaka ya 92
Ilikuwepo Basalona
ilikuwepo Real madrid
ilikuwepo Brazil
Timu hizo zikivuma uwanjani
Hakuna hesabu yoyote dunian inakubali hayo.
Isreal inajidanganya kuwaua palestina kwamba ndio is hashindwi dunia
Tukisoma history ya zamani Tanzania iliitawala uengereza kabla uengereza kuja kuitawala tz.
Kuna siku waengereza na America watakuja kuomba hifadhi ya makazi maeneo ya Manzese na Mbagala
Naona umeshaanza kujifariji😀😀😀
  • Ohh Wanajeshi wa Israel wanauwawa sana Gaza
  • Mara ohh Outhi wanapiga Israel
  • Ohhh Hezbollah ameivamia Israel inashambuliwa 😀😀😀

Tukio la October 7 limehamishiwa Gaza 🔫🔫 mtajuta kwanini mliivamia Israel
 
Kumbe hawamtambui Yesu ambaye kimsingi ndio Mungu!?? Sasa kwanini mnawaita taifa teule ilihali hawamtambui Mungu? Kwa mujibu wa Biblia mbinguni huiingii kama hujamkiri Yesu meaning hawa waliopo sasa hapo Israel wote kuzimu inawahusu.

Cha ajabu mnawaita taufa teule wakati huo huo mbinguni hawaendi!! Ndio nini sasa hiki?
Bado haujasema 😁😁😁😁
Lile tukio la October 7, limehamishiwa Gaza. Thamani ya muisrael 1 ni sawa na wapelestina 50. UtajumlIsha idadi hapo.
Hao wapelestina 100 waliouwawa ni sawa na waisrael 2 kwahiyo bado wapelestina wanahitajika.
 
Ukisoma kitabu Cha waamuzi na amosi utagundua Wafilist wale akina delila waliishi Gaza. Watapigwa Sana na mwaka huu ndo mwisho wa Vita vyao. Samson aliwadunda hasa kwa mkono wa Mungu mwenyewe. Hakuna Cha mtoto Wala Mwanamke waliteketea na Sasa wanateketea hivo hivo uchokozi tangu enzi zile.
 
Hakuna taifa litakuwa na nguvu milele
Hakuna chama duniani kitaishika madaraka milele kuna siku kitaporomoka tu.
Ilikuwepo Manchester united miaka ya 92
Ilikuwepo Basalona
ilikuwepo Real madrid
ilikuwepo Brazil
Timu hizo zikivuma uwanjani
Hakuna hesabu yoyote dunian inakubali hayo.
Isreal inajidanganya kuwaua palestina kwamba ndio is hashindwi dunia
Tukisoma history ya zamani Tanzania iliitawala uengereza kabla uengereza kuja kuitawala tz.
Kuna siku waengereza na America watakuja kuomba hifadhi ya makazi maeneo ya Manzese na Mbagala
UNAOTA ndoto ukiwa wapi
 
Kumbe hawamtambui Yesu ambaye kimsingi ndio Mungu!?? Sasa kwanini mnawaita taifa teule ilihali hawamtambui Mungu? Kwa mujibu wa Biblia mbinguni huiingii kama hujamkiri Yesu meaning hawa waliopo sasa hapo Israel wote kuzimu inawahusu.

Cha ajabu mnawaita taufa teule wakati huo huo mbinguni hawaendi!! Ndio nini sasa hiki?
Hili suala lina hoja nyingi mno.

Hasa kuhusu Wayahudi wa kale na hawa waliopo hapo Israel, kumbuka hata huku Africa (Kushi/Ethiopia) wapo Wayahudi wanaotajwa wa Kabila la Dan, huko Uajemi (Iran) wapo pia hata vitabu vya Esta, Ezra, Nehemiah vineelezea vizuri visa hivi.

je wale Wayahudi wa kale walikuwa na asili ya Ulaya magharibi maana hata Ibrahim asili yake ni huko mesopotamia.

Mathanzua
 
Hakuna taifa litakuwa na nguvu milele
Hakuna chama duniani kitaishika madaraka milele kuna siku kitaporomoka tu.
Ilikuwepo Manchester united miaka ya 92
Ilikuwepo Basalona
ilikuwepo Real madrid
ilikuwepo Brazil
Timu hizo zikivuma uwanjani
Hakuna hesabu yoyote dunian inakubali hayo.
Isreal inajidanganya kuwaua palestina kwamba ndio is hashindwi dunia
Tukisoma history ya zamani Tanzania iliitawala uengereza kabla uengereza kuja kuitawala tz.
Kuna siku waengereza na America watakuja kuomba hifadhi ya makazi maeneo ya Manzese na Mbagala
Unajitekenya na kucheka mwenyewe kwa taarifa yako Israel mpaka kiama watakuwepo....
 
Mkuu taifa kubwa hutokea kwa mataifa yenye strong mentality. Haitokei tu. Unadhani Palestina atakuja kuwa Taifa kubwa? Unadhani Tanzania atakuja kuwa Taifa kubwa? Unless u change mentality. Wewe ukishakuwa na mentality ya kutaka kufa, utatawaliwa tu.

Hakuna taifa litakuwa na nguvu milele
Hakuna chama duniani kitaishika madaraka milele kuna siku kitaporomoka tu.
Ilikuwepo Manchester united miaka ya 92
Ilikuwepo Basalona
ilikuwepo Real madrid
ilikuwepo Brazil
Timu hizo zikivuma uwanjani
Hakuna hesabu yoyote dunian inakubali hayo.
Isreal inajidanganya kuwaua palestina kwamba ndio is hashindwi dunia
Tukisoma history ya zamani Tanzania iliitawala uengereza kabla uengereza kuja kuitawala tz.
Kuna siku waengereza na America watakuja kuomba hifadhi ya makazi maeneo ya Manzese na Mbagala
 
Mkuu taifa kubwa hutokea kwa mataifa yenye strong mentality. Haitokei tu. Unadhani Palestina atakuja kuwa Taifa kubwa? Unadhani Tanzania atakuja kuwa Taifa kubwa? Unless u change mentality. Wewe ukishakuwa na mentality ya kutaka kufa, utatawaliwa tu.
Unasoma history wewe. Unajua kama American walikuwa watumwa na wakilimishwa miwa tena jua linawaka?
 
Kumbe hawamtambui Yesu ambaye kimsingi ndio Mungu!?? Sasa kwanini mnawaita taifa teule ilihali hawamtambui Mungu? Kwa mujibu wa Biblia mbinguni huiingii kama hujamkiri Yesu meaning hawa waliopo sasa hapo Israel wote kuzimu inawahusu.

Cha ajabu mnawaita taufa teule wakati huo huo mbinguni hawaendi!! Ndio nini sasa hiki?
Tulia hivyo hivyo magaidi mshughulikiwe. Si mlianza wenyewe uchokozi October 7.
 
Thamani ya muisrael 1 ni sawa na wapelestina 50. UtajumlIsha idadi hapo.
Mkuu kuweka idadi sawa walisema 1 wetu akiuwawa tunaua 100 kwenu
NA Hiyo ilikua zamani tu.
Sasa mmeenda kuua 1000,jamaa wanatafuta kuua laki 1.
Iwe magaidi,panya,mamazao,watoto wa magaidi hadi mende ni kipigo tu.
Hata Nzi akisogea anatandikwa..
Sikiliza taarifa ya kesho idadi.
 
Si tulishakubaliana kuwa tusiwape Ujiko hao makafir? Tulikubaliana vizuri tuseme wameshindwa. Sasa hayo ya nguvu yanatoka wapi? Na kwa sasa tunashukuru waisrael wote wameshtakiwa na watafungwa Ritz ina maana kuna kukosekana mawasiliano? Hao waisrael hao muda si mrefu wote watakuwa magerezani. Ritz ameshazungumzia hili. Na nchi yao itabaki bila mtu sisi ndo tutaenda kuishi makafiri wakiwa magerezani.

ujinga wa waafrika.jpeg
 
Back
Top Bottom