Islam Under Scrutiny by Ex-Muslims

Islam Under Scrutiny by Ex-Muslims

Last warning!!!!
Mod kama utaendelea kuruhusu kundi la wahuni wachache wanaotusi dini za watu kwenye hii forum.tutaprint huu upuuzi na kuusambaza kwa wenye dini waone nini kinaendelea.
Hamuwezi kuubadili uislamu kwa forums its too late! Jaribuni njia nyingine,kuna dini yenye matatizo kama ukiristo ushoga, zinaa,uchafu from the so called pastors,sistors, etc tatueni kwanza uchafu wenu huo.ndio muongee mengine.
Kama mtaendelea na matusi, basi mtakuwa mmechagua forum yote iwe ya matusi ila msiombe msaada serikalini.

Ohh umeingilia choo cha kike naona..matusi yako wapi. Hebu tuoneshe japo moja tu.
 
nadhani hapa panaongelewa vitu viwili tofauti, kuna dini ya kimwli na kuna ya kiroho,
Bwana Yesu mbona kaeleza mifano mingi tu, NI KAMA KABULI AMBALO LIMEPAMBWA NJE KWA MARUMARU NA KILA AINA YA MAPAMBO, LAKINI NDANI NI MIFUPA NA UOZO TU, KWA HIYO MTU HATA HAKIOGA 70 MARA 7 KAMA NAFSI YAKO NI CHAFU UWEZI KUUONA UFALME WA MUNGU,

I suspect ulikuwa unaamaanisha dini ya kimwili. Dini ya kimwili mi nadhani haina tafauti saana na cult..

Nways nlikua sijenda kwene hiyo link. Nimeona kuna hadi maelekezo ya ni rangi gani inaruhusiwa kupaka ndevu na masharubu..Mashalah naona kweli chama limekamilika..he he he..
 
It is BIG problem when tradition becomes a religion!! Imagine tradition ya kulipizana visasi ikawa ndiyo dini ya watz na ikaspread duniani!
 
It is BIG problem when tradition becomes a religion!! Imagine tradition ya kulipizana visasi ikawa ndiyo dini ya watz na ikaspread duniani!

Halafu tukisema wengine wanasema tunatukana wakti kila kitu kipo hadharani..hatuongezi wala kupunguza neno ati.

Farting is problematic in Islam. During prayer, a worshipper must not fart. Sahih Bukhari (1.4.137) writes that Allah will not accept a Muslim's prayer if he/she passes wind during the ritual. The exception occurs if the worshipper farts silently, or the fart does not smell. In such a case, he/she may continue with the prayer (ibid, 1.4.139).
Sunaan Nasai (1.162) writes that if you fart during a prayer you must redo ablution. Sahih Bukhari (9.86.86) says that for a "farter" Allah will not accept his/her prayer until he/she performs another ablution.
Hii khabari inapatikana kwenye posts # 35 & 36 etc etc kadr ya Sahih Bukhari.
 
Last warning!!!!
Mod kama utaendelea kuruhusu kundi la wahuni wachache wanaotusi dini za watu kwenye hii forum.tutaprint huu upuuzi na kuusambaza kwa wenye dini waone nini kinaendelea.
Hamuwezi kuubadili uislamu kwa forums its too late! Jaribuni njia nyingine,kuna dini yenye matatizo kama ukiristo ushoga, zinaa,uchafu from the so called pastors,sistors, etc tatueni kwanza uchafu wenu huo.ndio muongee mengine.
Kama mtaendelea na matusi, basi mtakuwa mmechagua forum yote iwe ya matusi ila msiombe msaada serikalini.

Unatutisha? Kawaambie bana sisi huwa hatudhuriki na sala za albadir bana!
 
Last warning!!!!
Mod kama utaendelea kuruhusu kundi la wahuni wachache wanaotusi dini za watu kwenye hii forum.tutaprint huu upuuzi na kuusambaza kwa wenye dini waone nini kinaendelea.
Hamuwezi kuubadili uislamu kwa forums its too late! Jaribuni njia nyingine,kuna dini yenye matatizo kama ukiristo ushoga, zinaa,uchafu from the so called pastors,sistors, etc tatueni kwanza uchafu wenu huo.ndio muongee mengine.
Kama mtaendelea na matusi, basi mtakuwa mmechagua forum yote iwe ya matusi ila msiombe msaada serikalini.
We mfuasi wa mwa-mad usitishe watu hapa unasikia.
Tena elewa kuwa ushoga na zinaa chimbuko lake ni kwenye dini yenu hiyo. Hivyo tena hilo usilizungumzie maana tutaanza thread ya kueleza uchafu huu unavyotokea kwenye dini zenu na kusambaa kwa nguvu ya cults tokea kwenu huko huko.
 
"Hawatakuwa radhi juu yako Mayahudi wala Wakristo mpaka ufuate mila zao".
Q2:120
 
unaeza kuona wakoloni sumu walituachia kwa mijadala kama hii. Muslim na christian ni moja kati ya sumu za kikoloni zilizovuruga na zimeendelea kudumaza utamaduni wetu na uwezo wetu wa kufikiri.

Na hii sumu kazi sana kuiondoa as long as tulishaaminishwa kuwa babu zetu walikuwa wanaamin miungu.
 
unaeza kuona wakoloni sumu walituachia kwa mijadala kama hii. Muslim na christian ni moja kati ya sumu za kikoloni zilizovuruga na zimeendelea kudumaza utamaduni wetu na uwezo wetu wa kufikiri.

Na hii sumu kazi sana kuiondoa as long as tulishaaminishwa kuwa babu zetu walikuwa wanaamin miungu.

naona wewe unaingilia shamba la mbigiri bila viatu..

hivi ni wapi hii thread inaongela ukristo?
 
"Hawatakuwa radhi juu yako Mayahudi wala Wakristo mpaka ufuate mila zao".
Q2:120

kwa hiyo unasema wayahudi na wakristu wanaoneaga gere hizo 'mila' za kukamua kinyesi maiti? he he he..labda waje wenyewe hapa wathibitishe
 
kwa hiyo unasema wayahudi na wakristu wanaoneaga gere hizo 'mila' za kukamua kinyesi maiti? he he he..labda waje wenyewe hapa wathibitishe

"Hawatakuwa radhi juu yako Mayahudi wala Wakristo mpaka ufuate mila zao".
Q2:12
 
"Hawatakuwa radhi juu yako Mayahudi wala Wakristo mpaka ufuate mila zao".
Q2:12

Sasa dugu utnatoa reference ya kitabu hicho hicho si ndo kwanza unaprove hate katika kitabu hicho dhidi ya wakristo na wayahudi braza?
 
Sasa dugu utnatoa reference ya kitabu hicho hicho si ndo kwanza unaprove hate katika kitabu hicho dhidi ya wakristo na wayahudi braza?
Kwani ulikuwa hujui? ulidhani tukisema hawa ni maadui wa msalaba hujaelewa tu?
 
Sasa dugu utnatoa reference ya kitabu hicho hicho si ndo kwanza unaprove hate katika kitabu hicho dhidi ya wakristo na wayahudi braza?
Kwani ni uongo si tunaona humu JF jinsi mlivyo na wala si siri... Chuki mlizonazo ndani ya vifua vyenu ni kubwa kuliko zile mnazo zionyesha.
 
Kwani ni uongo si tunaona humu JF jinsi mlivyo na wala si siri... Chuki mlizonazo ndani ya vifua vyenu ni kubwa kuliko zile mnazo zionyesha.

Sasa kitabu chenu hicho chenye hizo verse si ndo kinaeneza chuki zaidi be honest nani mwenye chuki kati yenu na sisi humu duniani kial siku tinaona chuki zenu zinavyofanya kazi
 
MODS hii thread ni ya kwenye jukwaa la dini. Kuiacha hapa ni kuhatarisha umoja wana wa JF kwani wengine hawatakaa kimya kuona upuuzi kama huu wa kudhalilisha dini yao unakuwa katika sehemu isiyostahili
 
Sasa kitabu chenu hicho chenye hizo verse si ndo kinaeneza chuki zaidi be honest nani mwenye chuki kati yenu na sisi humu duniani kial siku tinaona chuki zenu zinavyofanya kazi
Wewe ukiwa mmoja wapo mwenye chuki mpaka zingine zinakumwagika.
 
MODS hii thread ni ya kwenye jukwaa la dini. Kuiacha hapa ni kuhatarisha umoja wana wa JF kwani wengine hawatakaa kimya kuona upuuzi kama huu wa kudhalilisha dini yao unakuwa katika sehemu isiyostahili
Kwani unao semwa hapa si ukilisto ati... hii thread ingekuwa inahusu ukilisto Mods wangekwisha hiona zamani.
 
Kwani unao semwa hapa si ukilisto ati... hii thread ingekuwa inahusu ukilisto Mods wangekwisha hiona zamani.

Hizo ni lawama nzito ambazo kwanza naamini si za kweli. yaani una maanisha mods wana bias ya dini? thread ngapi zimeandishwa hapa zenye mada tofauti kuhusu dini tofauti hamkuomba zifutwe? Mods Pls answer these allegations
 
Back
Top Bottom