Islam Under Scrutiny by Ex-Muslims

naona wewe unaingilia shamba la mbigiri bila viatu..

hivi ni wapi hii thread inaongela ukristo?

kwani ni wapi hii thread imeonglea shamba au mbigiri.

Nilichosema mijadala kwenye mijadala ya dini ndio tunaona watu tulivyomezeshwa sumu. Iwe uislam au dini yeyote sio utamaduni wetu.
 
MODS hii thread ni ya kwenye jukwaa la dini. Kuiacha hapa ni kuhatarisha umoja wana wa JF kwani wengine hawatakaa kimya kuona upuuzi kama huu wa kudhalilisha dini yao unakuwa katika sehemu isiyostahili

Nadhani kama ni upuuzi wewe ndio MPUUZI NAMBARI WANI pale unaposhindwa kuonesha upuuzi wa hii thread na jinsi inavyodhalilisha 'dini' fulani, wakati huoneshi ni kwa vipi na kuishia kuficha kichwa kwenye mchanga kaa ngamia. Kaa unaona thread ya moto ondoka jikoni.
 
Jamani msiogope hamna tusi humu, hizi imani tuliletewa na wageni na wazee wetu walizipokea bila kuuliza uliza japo naamini zingine walilazimishwa tu kuzikubali.
Wazee mwageni 'facts' Imani feki itaonekana tu kwa mambo yake ya uongo uongo, kubunibuni tu na kukopy vifungu kutoka kwenye imani nyingine!
Ni haki ya kila mtu kujua ukweli jama msitishe watu.
 
Jamani msiogope hamna tusi humu, hizi imani tuliletewa na wageni na wazee wetu walizipokea bila kuuliza uliza japo naamini zingine walilazimishwa tu kuzikubali.
Wazee mwageni 'facts' Imani feki itaonekana tu kwa mambo yake ya uongo uongo, kubunibuni tu na kukopy vifungu kutoka kwenye imani nyingine!
Ni haki ya kila mtu kujua ukweli jama msitishe watu.

Mkuu tupo pamoja.

Mimi sioni tatizo la mtu kuu-face ukweli na kuudhihirisha uongo. Kama yanayosemwa hapa ni uongo kwanini yatiliwe vikwazo na kutakiwa yaondolewe? Kuuficha ukweli ni aina nyingine ya ufisadi.
 
Mkuu tupo pamoja.

Mimi sioni tatizo la mtu kuu-face ukweli na kuudhihirisha uongo. Kama yanayosemwa hapa ni uongo kwanini yatiliwe vikwazo na kutakiwa yaondolewe? Kuuficha ukweli ni aina nyingine ya ufisadi.

Yaani hilo ndilo litalo iokoa Dunia kuepukana na Imani za uongo, ha! chambueni ukweli na kisemwe na kutolewa maelezo kila kilicho na utata....kuogopa kusikia ukweli si dawa...
Yaani mtu unakula embe bovu limejaa mafunza huku umefumba macho, kisa eti hutaki kuona kuwa limeoza!!! Ha! akili au matope?
 
Hizo ni lawama nzito ambazo kwanza naamini si za kweli. yaani una maanisha mods wana bias ya dini? thread ngapi zimeandishwa hapa zenye mada tofauti kuhusu dini tofauti hamkuomba zifutwe? Mods Pls answer these allegations
Kuna aliye omba hii thread ifutwe!?
 
Hapa patamu leo hapatoshi ngoja nione maana watu wameamua kuumiza vichwa na kutuletea mpunga humu.
 
voodoo%208_7.jpg
Allah has made the body‑waste of cattle as medicines for humans. In verses 36:71‑73 Allah says that he has created domestic cattle to be under the ownership of their owners, some to be used for transport and some to be eaten. To elaborate these verses ibn Kathir writes that cattle urine can be drunk as a medicine (also read part-3, Islamic Animals and Insects Voodoo).
To be sure that Allah did not make any mistakes in designating cattle urine/dung to be used as Islamic medicine, there are a number of ahadith where Muhammad has emphatically confirmed this divine medicine. Here is a partial list of ahadith to illustrate this guaranteed medicine of Allah:
  • <LI style="MARGIN-TOP: 12pt" class=MsoNormal>Horses’ dung and urine are pure: there are rewards for keeping a horse for Jihad; for what the horse has eaten, drank, and for its dung and urine...(Sahih Bukhari, 4.52.105) <LI class=MsoNormal>Camel’s milk and urine are medicines…(Sahih Bukhari, 7.71.589, 590, 623)
  • Drink camel’s urine and milk, they are good medicines…(Sunaan ibn Majah, 5.3503)
 
Allah has made the body&#8209;waste of cattle as medicines for humans. In verses 36:71&#8209;73 Allah says that he has created domestic cattle to be under the ownership of their owners, some to be used for transport and some to be eaten. To elaborate these verses ibn Kathir writes that cattle urine can be drunk as a medicine (also read part-3, Islamic Animals and Insects Voodoo).
See they not that it is We Who have created for them - among the things which Our hands have fashioned - cattle, which are under their dominion?-
And that We have subjected them to their (use)? of them some do carry them and some they eat: And they have (other) profits from them (besides), and they get (milk) to drink. Will they not then be grateful?

Surat Ya-Sin (36):71-73
Na wanapata kwa hao vitu vya kuwapa manufaa, kama sufi, na manyoya, na nywele, na ngozi, na mafupa, na vinywaji kutokana na maziwa yao. Je! Wanasahau neema hizi hata wamekuwa hawamshukuru aliye waneemesha?
[/QUOTE]
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom