Kipala
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 3,763
- 699
Asante kwa majibu, nakuweka kwa red kwa majibu yangu:
Kwa lengo langu elimishi nililo kusudia; Ni kweli kabisa bendera nyeusi ya uislamu inapepea na si ubalozi wa us tunisia bali dunia nzima inashangaa na hiyo kero!
Sina uhakika kama unafuata habari za uwogo au unajaribu kuepukana na jibu. Lakini nilivyokuambia: hakuna bendera nyeusi juu ya ubalizo wa Marekani Tunis (jinsi ulivyotangaza) wala haikuwepo (ila kwa dakika chache juu ya ukuta wa ubalozi)
Hayo ni mafunuo ya allah kwa kipenzi chake muhammad ili waumini wayatekeleze! usipoyatekeleza, usijipe moyo kwamba nawe ni muumini bali ni kaafir tu!
Hii ilikuwa kuhusu ayat Q9:29 lakini bado hujasema ni nini unayoelewa kama amri kwa Waislamu. Wafanye nini kwa ufahamu wangu??
Na hii -jinsi unavyoelewa- inatekelezwa wapi duniani?
Hao wachache ndio waislamu na bila shaka wamepata thawabu kwa allah! Hao wengi dhamira tu iliyowasukuma, lakini siku za baadaye inshaallah nao watakuwa waumini!
Unachukua wapi kipimo kusema wale wahalifu waliomwua mbalozi walikuwa Waislamu wa kweli na unajuaje walipata thawabu?? Kwa nini hupendi kuwaamini hao wengi waliowafukuza kuwa hao ni waislamu?
Namna gani wewe usiye Mwislamu unapenda kujivalia kofia ya mwalimu na hakimu na kuamua ni nani Mwislamu???
Kwa lengo langu elimishi nililo kusudia; Ni kweli kabisa bendera nyeusi ya uislamu inapepea na si ubalozi wa us tunisia bali dunia nzima inashangaa na hiyo kero!
Sina uhakika kama unafuata habari za uwogo au unajaribu kuepukana na jibu. Lakini nilivyokuambia: hakuna bendera nyeusi juu ya ubalizo wa Marekani Tunis (jinsi ulivyotangaza) wala haikuwepo (ila kwa dakika chache juu ya ukuta wa ubalozi)
Hayo ni mafunuo ya allah kwa kipenzi chake muhammad ili waumini wayatekeleze! usipoyatekeleza, usijipe moyo kwamba nawe ni muumini bali ni kaafir tu!
Hii ilikuwa kuhusu ayat Q9:29 lakini bado hujasema ni nini unayoelewa kama amri kwa Waislamu. Wafanye nini kwa ufahamu wangu??
Na hii -jinsi unavyoelewa- inatekelezwa wapi duniani?
Hao wachache ndio waislamu na bila shaka wamepata thawabu kwa allah! Hao wengi dhamira tu iliyowasukuma, lakini siku za baadaye inshaallah nao watakuwa waumini!
Unachukua wapi kipimo kusema wale wahalifu waliomwua mbalozi walikuwa Waislamu wa kweli na unajuaje walipata thawabu?? Kwa nini hupendi kuwaamini hao wengi waliowafukuza kuwa hao ni waislamu?
Namna gani wewe usiye Mwislamu unapenda kujivalia kofia ya mwalimu na hakimu na kuamua ni nani Mwislamu???