Isidingo, it's black now

Isidingo, it's black now

Deep Horizon ni kijiji kwenye mgodi wa dhahabu, maisha ya hapo ni ya jamii mchanganyiko, hivi karibuni tulianza kushuhudia wazungu mmojammoja akiondoka na mpaka sasa wamebaki weusi tu. Baada ya kubaki weusi tunashuhudia ulevi na mapenzi tu na uchimbaji dhahabu haupo, nani anajua ni nini kimetokea Deep Horizon!
Who cares? Kwani si hadithi tu hiyo?
 
Unaongelea Sebeko Gold Mine? Isindigo ishaisha sisi tuko nyuma ya muda waliamua kuimaliza kwasaabbu ilikuwa hailipi tena. Uwa nikitazama maisha ya Sessaba na Lincoln Sebeko kwenye tamthilia halafu nikawaza pesa wanayolipwa haifiki hata milion mbili kama main character nasema Yeeeh afadhali waendelee kuishi kwenye tamthlia
Ya Sauzi tuyaache huko kama tunavyoyaacha ya Japani, hizi gari mpya toka Japani huko haziruhusiwi kutembea! Twende na tamthilia kama ilivyo kwenye mabadiliko, inatuonesha nini weusi! Tuanpenda pombe na mapenzi? Hakuna tena uchimbaji wa dhahabu! Muda wote ndani ya Shebeen! Na umkhomboti? Kwa kifupi kuna harufu ya ubaguzi wa rangi ukihusisha dharau kwa weusi.
 
Mnatuletea habari za isidingo huku uswailini
 
Ya Sauzi tuyaache huko kama tunavyoyaacha ya Japani, hizi gari mpya toka Japani huko haziruhusiwi kutembea! Twende na tamthilia kama ilivyo kwenye mabadiliko, inatuonesha nini weusi! Tuanpenda pombe na mapenzi? Hakuna tena uchimbaji wa dhahabu! Muda wote ndani ya Shebeen! Na umkhomboti? Kwa kifupi kuna harufu ya ubaguzi wa rangi ukihusisha dharau kwa weusi.
Mbona wanachimba, hadi wamegundua new gold belt... Mbona safi tu unless kama unaitazama kwa angle hiyo ya ubaguzi. Kwani huwaoni wakina Sibiya mara kadhaa wako machimboni? Huoni hadi wanajengewa nyumba mpya kuwa reallocated ili waweze kuchimba dhahabu mpya zilizovumbuliwa?
Isindigo inaenda kwa trend ya kuwasilisha msg flani kwa kipindi flani, iwe cancer, betrayal, sex harassment, na mambo mengine. Mbona kwa sasa watu mle wenye pesa ni blacks wazungu wasugua shaba tu
 
Derrick Nyathi ndo alikuwa icon ya Isidingo
 
  • Thanks
Reactions: amu
Nimekua naisikia ila sijawahi kuielewa. Sidhani kama ni hadithi ile.
Waulize akina Bishanga, Single na wengine walioingia mitini miaka ile tukiwa washamba wa TV, lugha baba ni tatizo waliokosa SunSet! Na ndiyo ukawa mwisho wa akina Bishanga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom