Ishawahi kukukuta hii?

Ishawahi kukukuta hii?

hahahahahaha mi nataka kujua hapo kwa huyo mkaka huo mpini ni sentimita ngapi

kwani unaona kama ni kibamia kweli? kitu nchi 18 kamili...

si unaona mwanamke mwenzio anavyohaha kutafuta usalama wake!!?

yani hapo angekubali tu kulaleki, ambulance zingehusika sana kuwahisha mtu MUHIMBILI!!
 
Hahahahahaha

patam hapo!! hapo jamaa ili kuituliza asipatwe na aibu kulaleki, inabidi ajifanye kupoa kwenye maji kwanza mashine ipoe...

haya ndo matatizo ya kukaa mwaka mzima bila bila...
 
kwani unaona kama ni kibamia kweli? kitu nchi 18 kamili...

si unaona mwanamke mwenzio anavyohaha kutafuta usalama wake!!?

yani hapo angekubali tu kulaleki, ambulance zingehusika sana kuwahisha mtu MUHIMBILI!!

hahahahahaha tatizo hajui mbinu mkaka angempigisha mbizi humo humo majini
 
hahahahahaha tatizo hajui mbinu mkaka angempigisha mbizi humo humo majini

kwanza walikuwa kwenye ka kina kafuuupi!!

huyu jamaa inaonekana hajui mbinu za medani eenh!! angempeleka kwenye maji saizi ya kifua kulaleki.. hapo yani vitu vinakutana kwenye ubaridi wa maji.. rahatupu kabisa!!

baada ya hapo anapata ujauzito wa samaki! hahahahaaaa!!
 
Last edited by a moderator:
1900008_781762671836854_975816663_n.jpg


Jamani hawa wadau wako beach!

sasa naona mshakaji.. dah! sasa huu ni ukame ama?

safi kabisa inaprove ni mzima....
 
Hahaha.. Kuwa single kunahitaji strategy aisee.. nikiwa na wenge huwa naendaga beach kutafuta kadharau kidogo... A much less interestered to extremes especially uncovered/exposed human beings at first sight.
Excel jamaa alichemsha utaendaje beach na mhemko bana mnamaliza kwanza mambo ndio unaelekea huko ukiwa mwepesi kama unyoya
Iwakute utafiti, Tized, Mndengereko na Ntuzu
 
1900008_781762671836854_975816663_n.jpg


Jamani hawa wadau wako beach!

sasa naona mshakaji.. dah! sasa huu ni ukame ama?

Huyu jamaa ndimu kweli.. anaenda beach na midude yake kiunoni , ona sasa mgogoro umempata katikati ya watu.
 
1900008_781762671836854_975816663_n.jpg


Jamani hawa wadau wako beach!

sasa naona mshakaji.. dah! sasa huu ni ukame ama?

Hali hii ni ya kawaida kabisa, dawa yake ni kubana machine kwa juu.
technic simple and effective.
 
ahsante mkuu kwa kuniita this is awkward moment to be honest ilikuwa inanitokea back then though mara chachechace ila now nimejifunza,hahahah ila aibu dah.

Yaani mkuu Mndengereko huyo jamaa hafai kwenye kundi kama la #teamrafiki maana hakuutendea mema uanaume wake mpaka hali hiyo inamkuta aipaswa awe amesharekebisha mambo kabla ya kukutana na kitu kama hicho
Na hapo alipaswa pia akiona mambo yanaharibika sio kupanda juu ya maji bali unazama majini mambo mengine yaishe
Imfikie Excel na Tized na utafiti na Karucee (miss u sana dear)
 
Last edited by a moderator:
Yaani mkuu Mndengereko huyo jamaa hafai kwenye kundi kama la #teamrafiki maana hakuutendea mema uanaume wake mpaka hali hiyo inamkuta aipaswa awe amesharekebisha mambo kabla ya kukutana na kitu kama hicho
Na hapo alipaswa pia akiona mambo yanaharibika sio kupanda juu ya maji bali unazama majini mambo mengine yaishe
Imfikie Excel na Tized na utafiti na Karucee (miss u sana dear)

Naomba asijekuomba uanachama huyu jamaa, abaki huko huko #teambazazi
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mleta mada nimependa ujumbe wako hapo kwenye avatar
 
Back
Top Bottom