Ijuganyondo
Member
- Jan 13, 2011
- 62
- 1
Eti jamani hii ni kweli? Eti mapenzi ni pesa?!eti bila fyeza hakuna luv? Sisi masikin tuta-survive kweli?
Hakuna mwenye pesa akakimbiwa na mwanamke hata kama ile kitu imelala forever.
Pendana na masikini wenzako. Sasa wewe huna hata baiskeli halafu unamtaka mtoto wa EL
Eti jamani hii ni kweli? Eti mapenzi ni pesa?!eti bila fyeza hakuna luv? Sisi masikin tuta-survive kweli?
usitumie pesa kama fimbo kakaaaa mambo ya pesa huwa na makubaliano hapo ndipo pesa huwa na dhamani eeeeh!