little hulk
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 1,610
- 558
kuharakia kuoa na kuzaa mapema katika ndoa kunakufanya uumkose huyo intern.. Karma ain't bitch to you...... ni wewe kutokuwa na mapenzi tena na mkeo sio kama ulikuwa unaiba huku moyo umelala kwa mkeo...No!... umekutana na soulmate wako hauwezi ficha hisia zako kwakwe kwa mkeo.
Umenifundisha kusubiri maana haujui lini na yupi atakuwa sahihi... ujana unahitaji kujifunza mengi thoroughly kuliko kukimbilia kufanya maamuz katika hayo mengi...
Umenifundisha kusubiri maana haujui lini na yupi atakuwa sahihi... ujana unahitaji kujifunza mengi thoroughly kuliko kukimbilia kufanya maamuz katika hayo mengi...