Reinhard1941
New Member
- Aug 30, 2010
- 2
- 0
Wapendwa,
mimi ni Mjerumani. Najitahidi kujifunza Kiswahili.
Swali langu: Je, kuna neno katika lugha ya Kiswahili linalotumiwa kuonyesha kwamba wanaarusi wawili walifunga ndoa yao, kama neno la "couple" katika lugha ya Kingereza?
Kuna neno tofauti kwa ndoa ya Kikristo ya mtu mmoja na mke mmoja? Au ni neno lilelile kwa ndoa za wake wengi za Waislamu?
Au neno la ndoa au arusi zinaruhusu ndoa za wake wa kila namba?
Poleni, jamani,
Jibuni tafadhali.
reinhard1941
mimi ni Mjerumani. Najitahidi kujifunza Kiswahili.
Swali langu: Je, kuna neno katika lugha ya Kiswahili linalotumiwa kuonyesha kwamba wanaarusi wawili walifunga ndoa yao, kama neno la "couple" katika lugha ya Kingereza?
Kuna neno tofauti kwa ndoa ya Kikristo ya mtu mmoja na mke mmoja? Au ni neno lilelile kwa ndoa za wake wengi za Waislamu?
Au neno la ndoa au arusi zinaruhusu ndoa za wake wa kila namba?
Poleni, jamani,
Jibuni tafadhali.
reinhard1941