Is Tanzania a primitive State?

Is Tanzania a primitive State?

Hizo tatu uwezo wake bado sana. Fauda yake hata kama ipo ni ndogo sana maana inafanya kazi route za ndani tu ambazo hazina pesa nyingi.

Hizi kubwa zikifanya safari kubwa za ndege ndio zenye pesa.
Ninavyoona faida itachukua muda kuonekana. Hizo tatu zenyewe zimenunuliwa juzi juzi tu. So bado sana faida kuonekana
Kama taifa la watu waliopigwa na Umaskini kuwekeza mapesa mengi kwenye Project za maika mingi bila kuwa na uhakika wa namna gani hiyo Hela itaingia kwenye Mzunguko wa watu wako
nikutofikiri vizuri
 
wanasema itaongeza revenues,hivyo itasaidia serikali kutoa nhuduma nyingine za jamii...sijui hizo tatu zimefanya nini?,mie sitashangaa kuletwa madege mengine makubwa yasiyotusaidia….hii serikali hata mtoto mdogo angeongoza vyema.
B
Bora wangeboresha na kufufua viwanda vya vitenge na khanga na viatu maana hayo ndiyo mahitaji ya watanzania wengi. Wakati wa Uchaguzi yale makhanga na tshirt vingeingiza pesa kibao kuliko madege. Uwe tajiri uwe maskini kila mtu anahitaji kuvaa lakini si kila mtu anahitaji kupanda ndege.
 
Sasa unaandika kwa Kiingereza ili uonekane "umeendelea"? Ha ha ha, wewe ndio bado unaishi mwituni na manyani wenzako. Huo ndio ulimbukeni wenyewe.
Ulichofanya wewe wanakiita Inferior Complex Kiinglishi sini Lugha tu wee jadili alichoandika
 
Inategemea na frame of reference yako ni ipi, isitoshe kila kitu hapa Duniani ni relative, hivyo inategemea kama unalinganisha TZ yetu na USA ndiyo ni primitive na ndo maana tunaitwa third World.
Tatizo lako unaiangalia TZ kwa jicho la Muzungu wakati wewe siyo Muzungu labda unasahu hilo na kwamba hata ujitofautishe vipi na kujifanya Muzungu lkn kwa Muzungu wewe, wazazi wako na wote ni backward niggas tu.

Hivyo kukujibu swali lako tunaishi TZ na siyo USA na Watanzania hili kwetu ni big deal kwani hatujawahi kumiliki ndege kama hiyo na Raisi wetu ni sisi na ndo maana tumemchagua kwa maana ni sehemu yetu hivyo kama inakukera unaweza kuhamia kwa Muzungu lkn bado atakuona primitive monkey tu hata ufanyeje!
Ushamba wa ndege wa raisi unatuingiza kwenye hasara kubwa. Hakuna kipya hakuna jipya shirika lilikufa inakuwaje unalifufua bila kujua kwa nini lilikufa
 
may be I cant link between the two,but you failed to show us what exactly has been done by previous three planes, second,kwa taifa changa kama Tanzania kununua mandege makubwaa manne ni kumisuse resources! bajeti yetu ya fedha ni ndogo na priorities ziwe kwingine,afterall hao watalii mnaowasema kwani wanakuja Tanzania kwa mamilioni kiasi tutake kuwa na mandege mengi?????????,Magufuli anakosea lakini kuwa na wateteaji kama wewe kunanishangaza sana
Ni wakati wetu kurudisha kwenye jamii, matunda ya elimu na ujuzi tulioupata bure enzi za utawala wa Mwl. Nyerere. Sisi tunaongozwa na elimu, siyo hisia kama wafanyavyo wachangiaji wa JF wengine. Je, wewe uko upande upi?
 
Ai agrii withi yu...bati du yu mini hizi ekselensi ambasada ofu USA izi primitivu ezi weli? Ifu yesi, keni yu plizi difaini ze temu primitivu?

Ai hedi in hia(TZ), inglishi izi touti in swahili.......
Kwa balozi wa Marekani ni hatua chanya kwa soko la makampuni yao kuzidi kupanuka ili waendelee kupata kodi, wananchi wapate ajira nk!
 
There's no day like today that I ever felt shy like. When I saw my president being in a motorcade and hustling to the Airport so as to launch a plane that has arrived today from the US.

Was there any necessity to have our president in the scene? Is a plane so strange and austere to us in such a way that it was very much obligatory to have a head of state in place?

In this world of high class science and technology particularly in this 21st century, is a plane still a new thing to us?

The president's slogan lives by "Tanzania ya Viwanda " and not by 'Tanzania ya ndege ",so he should have just walked by his slogan in order to build more factories which would possibly have hired a big number of people, unlike planes.

I have seen the CCM fans clapping their hands on the arrival of the plane. To them, their chairman does not go wrong, he is their godfather.

A plane is just a sky bus, so having the government entourage in the Airport has exposed us internationally as the primitive state.
Lack of appreciation is the greatest primitive wichcraft in Africa... tena wewe umeonyesha highest degree by feeling shy about it badala ya kuappreciate..... hii nchi tunairoga wenyewe bila kujua..
 
Ni wakati wetu kurudisha kwenye jamii, matunda ya elimu na ujuzi tulioupata bure enzi za utawala wa Mwl. Nyerere. Sisi tunaongozwa na elimu, siyo hisia kama wafanyavyo wachangiaji wa JF wengine. Je, wewe uko upande upi?

mnhhhhhhhh
 
Ushamba wa ndege wa raisi unatuingiza kwenye hasara kubwa. Hakuna kipya hakuna jipya shirika lilikufa inakuwaje unalifufua bila kujua kwa nini lilikufa


Huo huo ,,ushamba" ndiyo tuliouchagua, na 2020 tutauchagua tena, utapata tabu saana!
 
Wewe utakuwa umetawaliwa na uzungu mwingi. Unasema katika ulimwengu huu karne ya sayansi huelewi kwamba hiyo ni general, sayansi iliyoko Ulaya ndo iliyoko Tz? je si zote ziko karne moja? kama haziko sawa maana yake ni kwamba kuna vitu katika hayo maendeleo wanatofautiana na maana yake ni kwamba kila analo kuzidi mwenzio ni hatua kubwa katika teknolojia. Hatukuwahi kuwa na ndege ya hivi na tumechukua miaka mingi sana kuwa na idadi ya ndege kiasi hiki. Tunajua hatuna uwezo wa kurusha sattelite ya kwetu ambayo ni made in Tanzania by Tanzanians lakini hii ndege ni hatua kwetu, tutafika tu huko japo itatuchukua mda.

Mwaka 1956 Kennedy alihudhuria urushaji wa shuttle anga za mbali kwasababu ilikuwa ni stage ya juu kwao kutoka ile iliyokuwepo
Bombay ni mji katika india, nimeishi mda mredu tu huu mji so before you urgue fanya research
Shule ya siku hizi sijui wanafundisha nini hata sijui, yaani unakuta mtu anamaliza f.6 hajui kama kuna mji unaitwa Bombay. Fantastic colla
 
There's no day like today that I ever felt shy like. When I saw my president being in a motorcade and hustling to the Airport so as to launch a plane that has arrived today from the US.

Was there any necessity to have our president in the scene? Is a plane so strange and austere to us in such a way that it was very much obligatory to have a head of state in place?

In this world of high class science and technology particularly in this 21st century, is a plane still a new thing to us?

The president's slogan lives by "Tanzania ya Viwanda " and not by 'Tanzania ya ndege ",so he should have just walked by his slogan in order to build more factories which would possibly have hired a big number of people, unlike planes.

I have seen the CCM fans clapping their hands on the arrival of the plane. To them, their chairman does not go wrong, he is their godfather.

A plane is just a sky bus, so having the government entourage in the Airport has exposed us internationally as the primitive state.
Wewe utakuwa na wivu wa kike. Pole sana @Ciprofloxacin
 
There's no day like today that I ever felt shy like. When I saw my president being in a motorcade and hustling to the Airport so as to launch a plane that has arrived today from the US.

Was there any necessity to have our president in the scene? Is a plane so strange and austere to us in such a way that it was very much obligatory to have a head of state in place?

In this world of high class science and technology particularly in this 21st century, is a plane still a new thing to us?

The president's slogan lives by "Tanzania ya Viwanda " and not by 'Tanzania ya ndege ",so he should have just walked by his slogan in order to build more factories which would possibly have hired a big number of people, unlike planes.

I have seen the CCM fans clapping their hands on the arrival of the plane. To them, their chairman does not go wrong, he is their godfather.

A plane is just a sky bus, so having the government entourage in the Airport has exposed us internationally as the primitive state.
when we don't have you talk too much, and when we have it regardless how you also talk too much nonsense!!
 
Ciprofloxacin. rais hakwenda kushangaa ndege. Bali alienda kuzindua Air Tanzania mpya. Kwa akili yako kwa viongozi au hata watu wa kawaida wote waliofika pale hawajawahi panda au kuona (hata kwenye picha) ndege?? Jamani jitahidini kutumia vizuri uwezo wenu wa kufikiri. Miaka yoote hatujawahi miliki ndege kubwa kama hiyo hukuona aibu na wala hukuona kama waTanzania ni washamba (primitive). Lakini leo kushangilia jitihada zetu zilizozaa matunda ya kupata ndege mpya ambayo kwa bara letu la Afrika ni nchi chache zimeweza unaona aibu!!!!???? mimi hapo sijakuelewa. Aibu ilibidi iwe kipindi ambacho hatuna ndege lkn si kipindi cha kuipokea.
 
Dah... teki faiv furom mi braza...furom mai hati .....🙂
Mi hepu yu, USA ambasada izi zea tu du bizinesi fo hizi kantre wisi za blaindizi hia yu sei vipofu, hi keni iveni silipu ini e tembe no probulemu ifu yu bai anaza puleni.
 
Ni aibu sana ya viongozi kujazana airport eti kupokea ndege. Kitu ambacho hakiwasaidii chochote watu wa hali ya chini. Ambao hata nauli za mabasi kuzungukuka maeoneo yao ya karibu zinawashinda.
 
Back
Top Bottom