Ha
Kupata elimu bure, kodi yetu iligharimiaNi wakati wetu kurudisha kwenye jamii, matunda ya elimu na ujuzi tulioupata bure enzi za utawala wa Mwl. Nyerere. Sisi tunaongozwa na elimu, siyo hisia kama wafanyavyo wachangiaji wa JF wengine. Je, wewe uko upande upi?