Is Tanzania a primitive State?

Is Tanzania a primitive State?

The incidence was overrated if you define your development in terms of what other nations have done. Well to Ethiopia with 100 flight fleet it would be weird to celebrate reception of a single plane.
But if you define your development in your terms, what was done was correct, it was a commercial advert with wide coverage alarting the world that ATC is back in business. It wasn't about a having a plane in place as a nation, but it was about business.
Thanks for underpinning the idea and fact of ATCL back to business commercial advert out of the yesterday's event.
 
wanasema itaongeza revenues,hivyo itasaidia serikali kutoa nhuduma nyingine za jamii...sijui hizo tatu zimefanya nini?,mie sitashangaa kuletwa madege mengine makubwa yasiyotusaidia….hii serikali hata mtoto mdogo angeongoza vyema.
It is only the doomed brain that can't see the value of getting Tanzania flag carrier back into the international sky business!
 
wanasema itaongeza revenues,hivyo itasaidia serikali kutoa nhuduma nyingine za jamii...sijui hizo tatu zimefanya nini?,mie sitashangaa kuletwa madege mengine makubwa yasiyotusaidia….hii serikali hata mtoto mdogo angeongoza vyema.
Mnhh.. Taratibu Mama..

Bashite
Kashaomba kupambana na wakosoaji.
 
There's no day like today that I ever felt shy like.
When I saw my president being in a motorcade and hustling to the Airport so as to launch a plane that has arrived today from the US.
Was there any necessity to have our president in the scene?
Is a plane so strange and austere to us in such a way that it was very much obligatory to have a head of state in place?
In this world of high class science and technology particularly in this 21st century, is a plane still a new thing to us?
The president's slogan lives by "Tanzania ya Viwanda " and not by 'Tanzania ya ndege ",so he should have just walked by his slogan in order to build more factories which would possibly have hired a big number of people, unlike planes.
I have seen the ccm fans clapping their hands on the arrival of the plane.
To them, their chairman does not go wrong, he is their godfather.
A plane is just a sky bus,so having the government entourage in the Airport has exposed us internationally as the primitive state.
Acha ujinga wewe..!! Kwanini wewe siku ya graduation na kupokea cheti chako ulifanya sherehe..whyyy...this is the biggest achievement ever happened in our shdevelopment..since independence..and this is happening because people have for the first time paid taxes required and thus reflected to this achievement..we cannot undermine our collectivelly big efforts made so far.we cannot, never..we need to recognize this today and whichever new scene..happening. we cannot STOP..
 
It is only the doomed brain that can't see the value of getting Tanzania flag carrier back into the international sky business!

hizo tatu zilizokuja before zimefanya nini? tunataka vitu evidence based,you must be mad wananchi wako wanategemea kilimo kama uti wa mgongo then una invest kwenye mandege!
 
D4526773-12E0-4321-9227-621383BFE0E9.jpeg
 
hizo tatu zilizokuja before zimefanya nini? tunataka vitu evidence based,you must be mad wananchi wako wanategemea kilimo kama uti wa mgongo then una invest kwenye mandege!
A yet doomed brain statement if can't link economic [agric.] growth with air transport!
 
  • Thanks
Reactions: cpt
A yet doomed brain statement if can't link economic [agric.] growth with air transport!

may be I cant link between the two,but you failed to show us what exactly has been done by previous three planes, second,kwa taifa changa kama Tanzania kununua mandege makubwaa manne ni kumisuse resources! bajeti yetu ya fedha ni ndogo na priorities ziwe kwingine,afterall hao watalii mnaowasema kwani wanakuja Tanzania kwa mamilioni kiasi tutake kuwa na mandege mengi?????????,Magufuli anakosea lakini kuwa na wateteaji kama wewe kunanishangaza sana
 
There's no day like today that I ever felt shy like.
When I saw my president being in a motorcade and hustling to the Airport so as to launch a plane that has arrived today from the US.
Was there any necessity to have our president in the scene?
Is a plane so strange and austere to us in such a way that it was very much obligatory to have a head of state in place?
In this world of high class science and technology particularly in this 21st century, is a plane still a new thing to us?
The president's slogan lives by "Tanzania ya Viwanda " and not by 'Tanzania ya ndege ",so he should have just walked by his slogan in order to build more factories which would possibly have hired a big number of people, unlike planes.
I have seen the ccm fans clapping their hands on the arrival of the plane.
To them, their chairman does not go wrong, he is their godfather.
A plane is just a sky bus,so having the government entourage in the Airport has exposed us internationally as the primitive state.


Inategemea na frame of reference yako ni ipi, isitoshe kila kitu hapa Duniani ni relative, hivyo inategemea kama unalinganisha TZ yetu na USA ndiyo ni primitive na ndo maana tunaitwa third World.
Tatizo lako unaiangalia TZ kwa jicho la Muzungu wakati wewe siyo Muzungu labda unasahu hilo na kwamba hata ujitofautishe vipi na kujifanya Muzungu lkn kwa Muzungu wewe, wazazi wako na wote ni backward niggas tu.

Hivyo kukujibu swali lako tunaishi TZ na siyo USA na Watanzania hili kwetu ni big deal kwani hatujawahi kumiliki ndege kama hiyo na Raisi wetu ni sisi na ndo maana tumemchagua kwa maana ni sehemu yetu hivyo kama inakukera unaweza kuhamia kwa Muzungu lkn bado atakuona primitive monkey tu hata ufanyeje!
 
Guys give us a break. You are trying to think but you are not thinking critically.

With me, the participation of the president was very beneficial than his non participation. Just think how now it has been discussed by different people in different states . This is one of the advertisement strategy that our Dreamliner is now known to many because he was there. The other thing is to give a high obligation to those who are authorized to run the project - ATCL. The president has shown them that the while country expect high performance of the project.

It is also his way to clear one of his promise during 2015 presidential campaign.
Don't forget also that he has been doing the same to industrial slogan. He has been to Tanga, Mwanza, Singida, Morogoro and so on.

Guys it seems we are not all in Tanzania some are in other countries and they don't follow us daily.

Kudos to the President of the Republic of Tanzania H.E JPM.
 
wanasema itaongeza revenues,hivyo itasaidia serikali kutoa nhuduma nyingine za jamii...sijui hizo tatu zimefanya nini?,mie sitashangaa kuletwa madege mengine makubwa yasiyotusaidia….hii serikali hata mtoto mdogo angeongoza vyema.
Hizo tatu uwezo wake bado sana. Fauda yake hata kama ipo ni ndogo sana maana inafanya kazi route za ndani tu ambazo hazina pesa nyingi.

Hizi kubwa zikifanya safari kubwa za ndege ndio zenye pesa.
Ninavyoona faida itachukua muda kuonekana. Hizo tatu zenyewe zimenunuliwa juzi juzi tu. So bado sana faida kuonekana
 
Ai agrii withi yu...bati du yu mini hizi ekselensi ambasada ofu USA izi primitivu ezi weli? Ifu yesi, keni yu plizi difaini ze temu primitivu?

Ai hedi in hia(TZ), inglishi izi touti in swahili.......
wheni ini Roma du ezi Romanzi du, hi wozi duingi dipromasia ovu e selizimani onli.
 
Ai agrii withi yu...bati du yu mini hizi ekselensi ambasada ofu USA izi primitivu ezi weli? Ifu yesi, keni yu plizi difaini ze temu primitivu?

Ai hedi in hia(TZ), inglishi izi touti in swahili.......
Dah... teki faiv furom mi braza...furom mai hati .....🙂
 
There's no day like today that I ever felt shy like.
When I saw my president being in a motorcade and hustling to the Airport so as to launch a plane that has arrived today from the US.
Was there any necessity to have our president in the scene?
Is a plane so strange and austere to us in such a way that it was very much obligatory to have a head of state in place?
In this world of high class science and technology particularly in this 21st century, is a plane still a new thing to us?
The president's slogan lives by "Tanzania ya Viwanda " and not by 'Tanzania ya ndege ",so he should have just walked by his slogan in order to build more factories which would possibly have hired a big number of people, unlike planes.
I have seen the ccm fans clapping their hands on the arrival of the plane.
To them, their chairman does not go wrong, he is their godfather.
A plane is just a sky bus,so having the government entourage in the Airport has exposed us internationally as the primitive state.
Not Tanzania! You have primitive mind ever!
 
Inategemea na frame of reference yako ni ipi, isitoshe kila kitu hapa Duniani ni relative, hivyo inategemea kama unalinganisha TZ yetu na USA ndiyo ni primitive na ndo maana tunaitwa third World.
Tatizo lako unaiangalia TZ kwa jicho la Muzungu wakati wewe siyo Muzungu labda unasahu hilo na kwamba hata ujitofautishe vipi na kujifanya Muzungu lkn kwa Muzungu wewe, wazazi wako na wote ni backward niggas tu.

Hivyo kukujibu swali lako tunaishi TZ na siyo USA na Watanzania hili kwetu ni big deal kwani hatujawahi kumiliki ndege kama hiyo na Raisi wetu ni sisi na ndo maana tumemchagua kwa maana ni sehemu yetu hivyo kama inakukera unaweza kuhamia kwa Muzungu lkn bado atakuona primitive monkey tu hata ufanyeje!

Think about this, hiyo ndege haikuwepo kwenye budget yetu, na ni very expensive. Ili kununua hiyo ndege imebidi baadhi ya vipaumbele vyetu vya kwenye budget viondelewe au vipunguzwe ili tuweze kufanya jambo ambalo ni unbudgetted. Swali ni je, eneo hilo la kwenye budget ambalo limekuwa affected ni kwa namna gani litafidiwa na ujio wa hiyo ndege? Note that we are making loss in the aviation business as we speak.
 
Hivi jamani, maendeleo si yanakuja kwa one step at a time au kwa mkupuo? Nchi kubwa kama Tanzania bila kuwa na ndege yake yenyewe ni haibu kubwa sana. We are a rich country, why pay Ethiopia Airline kama unataka kwenda India when we have our own plane? Kama tuna routes za kwenda Mecca kuhiji ama Uingereza, why pay fees to other Airlines ili uende huko when you have Air Tanzania na isitoshe itakuwa rahisi kwa wahujaji wa Mecca kuzungumza lugha yao Mama na wahudumu wa kwao. Watanzania mnaboa sana, hamuoni mbali kazi kulalamika tu bila kufikiri. Watu wanawacheka.
 
Back
Top Bottom