Is Tanzania a primitive State?

Is Tanzania a primitive State?

Hakuna mji unaitwa Bombay, bwege wewe

Huo mji uweza kuita vovote unavotaka either MUMBAI or BOMBAY bcoz in Aviation mtu anayeenda MUMBAI boarding pass yake na tag ya mzigo huwa vmeandikwa BOM ambayo ndo MUMBAI.
 
Ai agrii withi yu...bati du yu mini hizi ekselensi ambasada ofu USA izi primitivu ezi weli? Ifu yesi, keni yu plizi difaini ze temu primitivu?

Ai hedi in hia(TZ), inglishi izi touti in swahili.......
Hi seidi weni wi komenti oni zati pleni wi wili geti tabu sana...atarara nao mbere
 
Bombay ni mji katika india, nimeishi mda mredu tu huu mji so before you urgue fanya research
Kama ungekuwa unajuwa kufanya research ungejuwa kwa urahisi tu kwamba India hakuna mji unaoitwa Bombay bali kuna Mumbai.

Halafu unabana puwa mbele ya wanaume hapa eti nimeishi huko miaka mingi pumbavu kabisa, nyinyi ndio yale majinga mliokwenda kupokea ndege wakati hakuna jambo lolote jipya wala la ajabu.

FB_IMG_1531117071141.jpg
FB_IMG_1523941334229.jpg
 
Wati didi yu eksipeti fromu Mista Embasada wulidi duu? hi wozi jasti akomplishingi hizi protokoo he kulidinti refyuzi ze wito.

Hanesti spikingi wi azi Tanzanians, wi aa rili skrudi apu thisi taimu, leti mi endi hia ai hedi fromu the owuna of DSM thati wi wili bi delti withi. thekth!
 
There's no day like today that I ever felt shy like. When I saw my president being in a motorcade and hustling to the Airport so as to launch a plane that has arrived today from the US.

Was there any necessity to have our president in the scene? Is a plane so strange and austere to us in such a way that it was very much obligatory to have a head of state in place?

In this world of high class science and technology particularly in this 21st century, is a plane still a new thing to us?

The president's slogan lives by "Tanzania ya Viwanda " and not by 'Tanzania ya ndege ",so he should have just walked by his slogan in order to build more factories which would possibly have hired a big number of people, unlike planes.

I have seen the CCM fans clapping their hands on the arrival of the plane. To them, their chairman does not go wrong, he is their godfather.

A plane is just a sky bus, so having the government entourage in the Airport has exposed us internationally as the primitive state.
Sasa unaandika kwa Kiingereza ili uonekane "umeendelea"? Ha ha ha, wewe ndio bado unaishi mwituni na manyani wenzako. Huo ndio ulimbukeni wenyewe.
 
Tanzanians...they oppose everything and propose nothing
 
There's no day like today that I ever felt shy like. When I saw my president being in a motorcade and hustling to the Airport so as to launch a plane that has arrived today from the US.

Was there any necessity to have our president in the scene? Is a plane so strange and austere to us in such a way that it was very much obligatory to have a head of state in place?

In this world of high class science and technology particularly in this 21st century, is a plane still a new thing to us?

The president's slogan lives by "Tanzania ya Viwanda " and not by 'Tanzania ya ndege ",so he should have just walked by his slogan in order to build more factories which would possibly have hired a big number of people, unlike planes.

I have seen the CCM fans clapping their hands on the arrival of the plane. To them, their chairman does not go wrong, he is their godfather.

A plane is just a sky bus, so having the government entourage in the Airport has exposed us internationally as the primitive state.
May be you have primitive illusion about a kite.
I did not expect such gabbage from a 23 pair of chromosome creature like you.
Acha wivu wa nyani.
 
IT'S YOU WHO'RE THE PRIMITIVE MATERIALIST WHO CAN'T APPRECIATE THE FACT THAT ONE STEP IS PART OF A THOUSAND MILE JOURNEY!
NB: Those 'MZUNGUS' you worship so much will bring you a pencil from Europe and you will be primitive enough not to appreciate your gift!
Kishimbe, my village's priority is water, availability of fish, enough food and reasonable price of building materials. Since we have no water which we had never seen since independence, I can not praise a president for bringing a plane which only 5% of Tanzanians a capable of purchasing the tickets.
 
wanasema itaongeza revenues,hivyo itasaidia serikali kutoa nhuduma nyingine za jamii...sijui hizo tatu zimefanya nini?,mie sitashangaa kuletwa madege mengine makubwa yasiyotusaidia….hii serikali hata mtoto mdogo angeongoza vyema.
Kwa taarifa za kibunge hasara yashirika la ndege Tanzania lilitoka bil tisini na kitu na kupanda hadi mia na kumi na moja na ushee.
 
Kishimbe, my village's priority is water, availability of fish, enough food and reasonable price of building materials. Since we have no water which we had never seen since independence, I can not praise a president for bringing a plane which only 5% of Tanzanians a capable of purchasing the tickets.
aslilina tano (5%) ya watanzania ni takriban watu milion 2.5. Ni soko zuri hilo kwa biashara ya ndani ikiwa wote watashawishiwa wapande ndege.
 
Ai agrii withi yu...bati du yu mini hizi ekselensi ambasada ofu USA izi primitivu ezi weli? Ifu yesi, keni yu plizi difaini ze temu primitivu?

Ai hedi in hia(TZ), inglishi izi touti in swahili.......
Kama hujajua kwanini Balozi wa US kaenda pale ikiwa ndege imenunuliwa Nchini kwake basi watz tunatatizo kubwa kuliko tunavyodhani...m
Ngoja nikusaidie Balozi alienda pale kuendelea kupalilia Dili lingine la Nchi yake kuwapiga Srepa nyingine ya ndege
Ulimsikia ujumbe aliotoa Rais kwa huyo
Balozi kama hukumbukia nitag nitakwambia
 
IT'S YOU WHO'RE THE PRIMITIVE MATERIALIST WHO CAN'T APPRECIATE THE FACT THAT ONE STEP IS PART OF A THOUSAND MILE JOURNEY!
NB: Those 'MZUNGUS' you worship so much will bring you a pencil from Europe and you will be primitive enough not to appreciate your gift!
Unamsaga mzungu lkn umekamua wananchi wako umeenda kumlipa huyo mzungu Rundo la mahela nani mwenye akili hapo
 
The incidence was overrated if you define your development in terms of what other nations have done. Well to Ethiopia with 100 flight fleet it would be weird to celebrate reception of a single plane.
But if you define your development in your terms, what was done was correct, it was a commercial advert with wide coverage alarting the world that ATC is back in business. It wasn't about a having a plane in place as a nation, but it was about business.
Ila watanzani tunaipenda sana Nchi yetu kiasi kwamba tunaamini kila tunaloambiwa na watawala
Kwa muono wako Atcl inarudi kuwa shirika la maana la Usafiri wa ANGA umeshajua faida kiasi gani imepatikana tangu ndege za Mwanzo zianze kufanyakazi
 
Acha ujinga wewe..!! Kwanini wewe siku ya graduation na kupokea cheti chako ulifanya sherehe..whyyy...this is the biggest achievement ever happened in our shdevelopment..since independence..and this is happening because people have for the first time paid taxes required and thus reflected to this achievement..we cannot undermine our collectivelly big efforts made so far.we cannot, never..we need to recognize this today and whichever new scene..happening. we cannot STOP..
Inaonekana wakati wa Nyerere haya madude yalivyokuwepo ulikuwa bado hujaja duniani
Ukweli nikwamba yalikuwapo na Nyerere hakuwahi kufunga Ofisi kuzungumzia vitu vidogo namna hii....
Wengine sisi haya tunayaona ni mambo ya zamani kwa watu wapya!
 
may be I cant link between the two,but you failed to show us what exactly has been done by previous three planes, second,kwa taifa changa kama Tanzania kununua mandege makubwaa manne ni kumisuse resources! bajeti yetu ya fedha ni ndogo na priorities ziwe kwingine,afterall hao watalii mnaowasema kwani wanakuja Tanzania kwa mamilioni kiasi tutake kuwa na mandege mengi?????????,Magufuli anakosea lakini kuwa na wateteaji kama wewe kunanishangaza sana
Sio kwaanaezinunua wala washangiliaji mwenye majibu ya ulichouliza zaidi ya Assumption na wakiona unawazi hoja watatuma NOAH au NISSAN
 
aslilina tano (5%) ya watanzania ni takriban watu milion 2.5. Ni soko zuri hilo kwa biashara ya ndani ikiwa wote watashawishiwa wapande ndege.
Kushawishiwa au kuwezeshwa? Sasa hivi kila mtu anajiuliza atapata wapi pesa ya karo na kodi achilia mbali chakula ambacho ni mhimu halafu awaze kupanda ndege? Mtu anayetoka Dar kwenda Moro atapanda lini ndege? Train ningesema vizuri sana. Hata wa Kigoma ni wangapi wana uwezo wa kupanda ndege? Nimeweka 5% kuangalia wale ambao wana kipato ila si wote wanahitaji kupanda ndege.
 
Inategemea na frame of reference yako ni ipi, isitoshe kila kitu hapa Duniani ni relative, hivyo inategemea kama unalinganisha TZ yetu na USA ndiyo ni primitive na ndo maana tunaitwa third World.
Tatizo lako unaiangalia TZ kwa jicho la Muzungu wakati wewe siyo Muzungu labda unasahu hilo na kwamba hata ujitofautishe vipi na kujifanya Muzungu lkn kwa Muzungu wewe, wazazi wako na wote ni backward niggas tu.

Hivyo kukujibu swali lako tunaishi TZ na siyo USA na Watanzania hili kwetu ni big deal kwani hatujawahi kumiliki ndege kama hiyo na Raisi wetu ni sisi na ndo maana tumemchagua kwa maana ni sehemu yetu hivyo kama inakukera unaweza kuhamia kwa Muzungu lkn bado atakuona primitive monkey tu hata ufanyeje!
Hapa ndio mnapojidanganya unasema kama Taifa hatujawahi kumiliki Ndege kubwa REALLY? labda ulikuwa hujaja huku Duniani
 
Back
Top Bottom