Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
X wangu amegeuka hataki tuachane,
nimemuonyesha msimamo wangu,
sasa amekuja na sharti/ombi jipya.
Eti nimtafutie mwanaume wa kuchukua nafasi yangu.
I thought she was jocking but dud, she keep on calling,
nipeni ushauri wakuu. how can i get rid of her once and for all
kwani mimi Sasa hivi nina mwingine.
NB: sababu ya kuachana ni tofauti za kidini, kati yetu hakuna aliyekubali kubadili
nimemuonyesha msimamo wangu,
sasa amekuja na sharti/ombi jipya.
Eti nimtafutie mwanaume wa kuchukua nafasi yangu.
I thought she was jocking but dud, she keep on calling,
nipeni ushauri wakuu. how can i get rid of her once and for all
kwani mimi Sasa hivi nina mwingine.
NB: sababu ya kuachana ni tofauti za kidini, kati yetu hakuna aliyekubali kubadili